Elections 2010 CHADEMA katika kampeni

hAKUNA ALIYEONGWA MAFUTA YA GARI,PIKIPIKI,KHANGA,KOFIA,CHUPI,CHUMVI ,tZS5000,NA UJINGA WAO WOOOTE. CHADEMAAAAAAAAAA!
 
Ndugu inawezekana kabisa hata huelewi Slaa ni mtu wa aina gani ,yaani inashangaza kuona mtu anaunga mkono ,japo anaeungwa mkono ana matatizo ambayo yapo wazi ,imehojiwa kuwa Slaa ameshindwa ndani ya chama chake na anachokifanya ni kutumia nguvu na kuwaweka watu wa ukoo wake karibi ,yaani amezunguukwa na jamaa zake ,analolitaka ndilo lifanywalo ,sasa mtu kama huyo akipata Uraisi si atajijengea himaya' nasema kuweni macho let us compare our wagombea from the inner circle of their mazingira ,and not let propaganda drown you ,kuweni watu yakinifu na wenye msimamo ,narudia tena hivi wasomi wa kweli mliopo Jf mnatuchagulia Slaa awe ndio Raisi ,tuseme mngependa yeye awe ndie Raisi ,wasomi kazi kwenu ? No Jazba pleaze !
 
Ndugu inawezekana kabisa hata huelewi Slaa ni mtu wa aina gani ,yaani inashangaza kuona mtu anaunga mkono ,japo anaeungwa mkono ana matatizo ambayo yapo wazi ,imehojiwa kuwa Slaa ameshindwa ndani ya chama chake na anachokifanya ni kutumia nguvu na kuwaweka watu wa ukoo wake karibi ,yaani amezunguukwa na jamaa zake ,analolitaka ndilo lifanywalo ,sasa mtu kama huyo akipata Uraisi si atajijengea himaya' nasema kuweni macho let us compare our wagombea from the inner circle of their mazingira ,and not let propaganda drown you ,kuweni watu yakinifu na wenye msimamo ,narudia tena hivi wasomi wa kweli mliopo Jf mnatuchagulia Slaa awe ndio Raisi ,tuseme mngependa yeye awe ndie Raisi ,wasomi kazi kwenu ? No Jazba pleaze !
Poor you? na hii inafutwa sasa hivi!!
 
Mwiba angalia kuna ban ya 10 inakuja,isije ikawa yako!

Jamani natania mie ndio kwanza naanza kutambaa.
 
Ndugu inawezekana kabisa hata huelewi Slaa ni mtu wa aina gani ,yaani inashangaza kuona mtu anaunga mkono ,japo anaeungwa mkono ana matatizo ambayo yapo wazi ,imehojiwa kuwa Slaa ameshindwa ndani ya chama chake na anachokifanya ni kutumia nguvu na kuwaweka watu wa ukoo wake karibi ,yaani amezunguukwa na jamaa zake ,analolitaka ndilo lifanywalo ,sasa mtu kama huyo akipata Uraisi si atajijengea himaya' nasema kuweni macho let us compare our wagombea from the inner circle of their mazingira ,and not let propaganda drown you ,kuweni watu yakinifu na wenye msimamo ,narudia tena hivi wasomi wa kweli mliopo Jf mnatuchagulia Slaa awe ndio Raisi ,tuseme mngependa yeye awe ndie Raisi ,wasomi kazi kwenu ? No Jazba pleaze !



Hao jamaa zake ni akina nani na wana wadhifa gani? Wataje kwa majina ili hoja yako iwe na nguvu. La sivyo ni upuuzi kama ule ule unaoenezwa na ndugu zako wa CCM kwamba kuna mgombea anataka kumwaga damu. It's time you stopped this nonsense.
 
Hivi kumbe Dr Slaa ana chama chake?

Hivi CHAMA CHA Dr. Slaa (mali yake) ni kipi hasa hapa Tanzania?

Mie nilidhani yuko CHADEMA ambako siku za nyuma walikuwa wakisema ni cha WACHAGA, yaani cha Mbowe na Baba Mkwe wake. Sasa huyu Dr Slaa mtu wa Karatu kumbe na yeye ni MCHAGA SIYO? Tena kutoka familia ya MBOWE aaaahhhhh Mtei samahani na kajaza ndugu zake wengi tu Wachaga kama Zitto Kabwe (nasikia baba yake anatoka Kahe).

Safi sana Mwiba kwa uchambuzi wako. Kweli wee ni Great Thinker mkuu wangu. Heshima kwa mbele saana.
 
Ndugu inawezekana kabisa hata huelewi Slaa ni mtu wa aina gani ,yaani inashangaza kuona mtu anaunga mkono ,japo anaeungwa mkono ana matatizo ambayo yapo wazi ,imehojiwa kuwa Slaa ameshindwa ndani ya chama chake na anachokifanya ni kutumia nguvu na kuwaweka watu wa ukoo wake karibi ,yaani amezunguukwa na jamaa zake ,analolitaka ndilo lifanywalo ,sasa mtu kama huyo akipata Uraisi si atajijengea himaya' nasema kuweni macho let us compare our wagombea from the inner circle of their mazingira ,and not let propaganda drown you ,kuweni watu yakinifu na wenye msimamo ,narudia tena hivi wasomi wa kweli mliopo Jf mnatuchagulia Slaa awe ndio Raisi ,tuseme mngependa yeye awe ndie Raisi ,wasomi kazi kwenu ? No Jazba pleaze !

Tafadhali, linganisha namna Kikwete alivyokibinafsisha chama cha CCM kwa familia yake. Je nani ni bora kati ya Slaa na Kikwete? Au wewe hujaona kwamba CCM sasa ni ya mama Salama, Miraji, Riziwani na Mrisho?

Ndio maana watanzania wamekuwa kama watu waliochomwa mwiba miguuni mwao, maisha yanashindikana, ni magumu na umaskini unaongezeka zaidi. Slaa anataka kuchomoa mwiba huo, ili watu waweze kuwa huru na kufurahia matunda ya raslimali za nchi yao. Ndio maana wote wanamgeukia Slaa...kama wewe bado upo kwa Riziwani, Miraji, Mrisho na Salma, huenda kuna faida unayoambulia. Endelea na wala usiache kumpigia kura Kikwete, lakini mimi na nyumba yangu, na majirani zangu 13 tumeamua wote, kumpa Dr Slaa kura za ndio, ili aongoze Tanzania. Kwaheri CCM, kwaheri Mwiba....
 
Ndugu inawezekana kabisa hata huelewi Slaa ni mtu wa aina gani ,yaani inashangaza kuona mtu anaunga mkono ,japo anaeungwa mkono ana matatizo ambayo yapo wazi ,imehojiwa kuwa Slaa ameshindwa ndani ya chama chake na anachokifanya ni kutumia nguvu na kuwaweka watu wa ukoo wake karibi ,yaani amezunguukwa na jamaa zake ,analolitaka ndilo lifanywalo ,sasa mtu kama huyo akipata Uraisi si atajijengea himaya' nasema kuweni macho let us compare our wagombea from the inner circle of their mazingira ,and not let propaganda drown you ,kuweni watu yakinifu na wenye msimamo ,narudia tena hivi wasomi wa kweli mliopo Jf mnatuchagulia Slaa awe ndio Raisi ,tuseme mngependa yeye awe ndie Raisi ,wasomi kazi kwenu ? No Jazba pleaze !

Mwiba mbona unatoa kwa uchungu hivyo. Inaelekea ushaziona dalili za mvua sasa. Pole ulichelewa kusoma alama za nyakati. Eti atajijengea himaya??? Anayeteka kujijengea himaya si waTZ wote washamuona, amesahau chama chake, mgombea mwenza na sasa ni yeu=ye tu na familia yake.............!! Kama wewe ndiyo unaona anafaa , mchague peke yako.....Sisi wenzako HATUDANGANYIKI...............!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom