mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,219
- 6,650
Hapa chini ni hotuba ya Mh Mbowe, M/kiti wa CHADEMA kwenye kampeni za chaguzi ndogo.
Najiuliza tu, kama yaliyomo kwenye hotuba hii, yanawakilisha ilani ya chama iliyokuwa na kaulimbiu ya Ni Wakati wa Mabadiliko Kuondoa Umaskini Chagua Chadema, au ni majigambo, shutuma, na lawama?
Najiuliza tena, huyu Mh Mbowe akipewa madaraka kuiongoza nchi, hatutashuhudia kulipizana visasi?
Je, kuondoa umaskini ni kwa kufitinishana majukwaani au kuhubiri umoja kila unapopata nafasi ya kupanda jukwaani, kuongea na wapiga kura?
Kama M/kiti wa chama kikuu cha upinzani, Mh Mbowe, hiyo ndiyo siasa yake ya jukwaani, na ujumbe kwa wapiga kura ni huo, usio na ushahidi ila mihemko ya kiuhanarahati?
TUNA SAFARI NDEFU KUFIKIA UPINZANI WA KWELI Tanzania.
NI YANGU MAWAZO KUHUSU HATIMA YA TANZANIA YETU.
Najiuliza tu, kama yaliyomo kwenye hotuba hii, yanawakilisha ilani ya chama iliyokuwa na kaulimbiu ya Ni Wakati wa Mabadiliko Kuondoa Umaskini Chagua Chadema, au ni majigambo, shutuma, na lawama?
Najiuliza tena, huyu Mh Mbowe akipewa madaraka kuiongoza nchi, hatutashuhudia kulipizana visasi?
Je, kuondoa umaskini ni kwa kufitinishana majukwaani au kuhubiri umoja kila unapopata nafasi ya kupanda jukwaani, kuongea na wapiga kura?
Kama M/kiti wa chama kikuu cha upinzani, Mh Mbowe, hiyo ndiyo siasa yake ya jukwaani, na ujumbe kwa wapiga kura ni huo, usio na ushahidi ila mihemko ya kiuhanarahati?
TUNA SAFARI NDEFU KUFIKIA UPINZANI WA KWELI Tanzania.
NI YANGU MAWAZO KUHUSU HATIMA YA TANZANIA YETU.