MZEE WA KARATU
Member
- Apr 26, 2012
- 15
- 9
Makamanda wa Chadema ninawaarifu kuwa chama katika Wilaya ya Karatu watafanya Mikutano Mikubwa katika Tarafa ya Endabassh, Karatu na Eyasi.
Mikutano hiyo itahudhuriwa na Mhe. Israel Natse Mbunge Mwenyeji Jimbo la Karatu, Mhe. Zito Zuberi Kabwe na Tundu Lissu. Pamoja na Wabunge wa Viti Maalum Mbunge Rose Sukum na Paulina Gekul
MAKAMBA JUU Hoyeeeee!!!!!!!!!!!!!!!
Mikutano hiyo itahudhuriwa na Mhe. Israel Natse Mbunge Mwenyeji Jimbo la Karatu, Mhe. Zito Zuberi Kabwe na Tundu Lissu. Pamoja na Wabunge wa Viti Maalum Mbunge Rose Sukum na Paulina Gekul
MAKAMBA JUU Hoyeeeee!!!!!!!!!!!!!!!