CHADEMA Kanda ya Nyasa wafika Gereza la Ruanda kumuona Mdude Nyagali

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,377
217,438
Subpost 2 - Leo Mwenyekiti wa @chadematzofficial Kanda ya Nyasa Mhe @pmsigwa_ am ( 650 X 640 ).jpg

Wakiongozwa na Mwenyekiti wa kanda hiyo Mh Msigwa, viongozi wazito wa Kanda hiyo wamefika ndani ya Gereza hilo la Ruanda na kumsalimia ofisa wa kanda hiyo aliyewekwa kwenye gereza hilo kwa zaidi ya siku 250 baada ya kushitakiwa kwa makosa yasiyo na dhamana .

Hata hivyo katika hali ya kushangaza wamemkuta Mdude akiwa katika hali ya furaha na bashasha huku akiwapa ujumbe mzito kwamba AMEFUNGWA MWILI LAKINI HAJAFUNGWA AKILI NA FIKRA .

Mungu ibariki CHADEMA
 
Kila mchuma janga hula na wa kwao. Mdude alichuma Janga akidhani atakula na kina Mbowe, Lissu, Sugu na viongozi wengine wa juu. Sasa mambo yamemgeukia si Mbowe wala Lissu aliefika kumuona. Kwa kiswahili cha fasta fasta tunasema "anapambana na hali yake". Hata hao wamefika baada ya kuona zimeandikwa thread kibao humu zinazozungumzia kutelekezwa kwake.
 
Kila mchuma janga hula na wa kwao. Mdude alichuma Janga akidhani atakula na kina Mbowe, Lisu, Sugu na viongozi wengine wa juu. Sasa mambo yamemgeukia si Mbowe wala Lisu aliefika kumuona. Kwa kiswahili cha fasta fasta tunasema "anapambana na hali yake". Hata hao wamefika baada ya kuona zimeandikwa thread kibao humu zinazozungumzia kutelekezwa kwake.
Amka kumekucha
 
Kila mchuma janga hula na wa kwao. Mdude alichuma Janga akidhani atakula na kina Mbowe, Lisu, Sugu na viongozi wengine wa juu. Sasa mambo yamemgeukia si Mbowe wala Lisu aliefika kumuona. Kwa kiswahili cha fasta fasta tunasema "anapambana na hali yake". Hata hao wamefika baada ya kuona zimeandikwa thread kibao humu zinazozungumzia kutelekezwa kwake.
Usilolijua ni sawa na usiku wa kiza
 
Kila mchuma janga hula na wa kwao. Mdude alichuma Janga akidhani atakula na kina Mbowe, Lisu, Sugu na viongozi wengine wa juu. Sasa mambo yamemgeukia si Mbowe wala Lisu aliefika kumuona. Kwa kiswahili cha fasta fasta tunasema "anapambana na hali yake". Hata hao wamefika baada ya kuona zimeandikwa thread kibao humu zinazozungumzia kutelekezwa kwake.
Umasikini wa akili ni aibu kubwa kuliko zote
 
Umasikini wa akili ni aibu kubwa kuliko zote
Mdude ukosefu wake wa elimu ndio uliomponza, na ikawa rahisi kwa viongozi wa CDM kumtumia kama daraja la kuvukia kuelekea ktk upande wanaoutaka. Kwa bahati nzuri serikali ilicheza kama mvua ya alnino ambayo ilinyesha na kusambaratisha daraja hilo lililokuwa linatumiwa na wajanja wachache kufikia malengo yao ya kisiasa
 
Pole sana Mdude,nadhani umepewa moyo kua hauko peke yako.
 
Pamoja na hii thread bado kesho ataibuka mjinga mwingine aseme CHADEMA wamemtelekeza Mdude gerezani, kweli wajinga hawaishi duniani.
 
Back
Top Bottom