Chadema kanda ya kaskazini: Walimu wa kindi kati Kilimanjaro wapewa msaada Wa Computer kwa Msaada wa Diwani wa CHADEMA

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
Siku ya Jumanne Novemba 13, 2018 Diwani wa Kata ya Kindi Kati na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Moshi Vijijini Mhe.Michael Kilawila kwa ushirikiano wa Marafiki zake kutoka Ujerumani wakiongozwa na Sebastian Schneider, walitoa misaada ya IPad 20 pamoja na Chaja 5 za nishati ya jua katika Shule ya Sekondari ya Kindi Kati.

Lengo la mradi huo ni kuwasaidia Wanafunzi na Walimu wa shule hiyo kuingia kwenye ulimwengu wa teknolojia.

IPad hizo zina programu mbalimbali za kujifunzia nje ya mtandao(offline).

Hata hivyo Mhe.Kilawila pamoja na marafiki zake hao wana mipango mingi na mikubwa na sehemu ya mipango hiyo ni kuwa na Maabara ya Kompyuta ya kisasa (Computer Lab), pia wanatarajia Waalimu wawe wanaandaa mitihani ya kila wiki hivyo kuwafanya wanafunzi kuwa na majaribio mbalimbali.

Jumatano Novemba 21, 2018 mmoja wa wafadhili ataenda kutoa mafunzo ya matumizi ya Ipads zilizokabidhiwa shuleni hapo.

Jamii ya Kata ya Kindi Kati Sekondari wameshukuru sana kwa msaada huo, Wanafunzi na Waalimu wameahidi kuzitunza na kuzitumia IPad hizo kwa uangalifu mkubwa na kwa malengo yaliyokusudiwa.

IMG-20181118-WA0003.jpg
IMG-20181118-WA0001.jpg
IMG-20181118-WA0002.jpg

IMG-20181118-WA0000.jpg
 
Kibaya zaidi mwisho wa siku maendeleo yote tutasema yameletwa na Serikali ya CCM
 
Siku ya Jumanne Novemba 13, 2018 Diwani wa Kata ya Kindi Kati na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Moshi Vijijini Mhe.Michael Kilawila kwa ushirikiano wa Marafiki zake kutoka Ujerumani wakiongozwa na Sebastian Schneider, walitoa misaada ya IPad 20 pamoja na Chaja 5 za nishati ya jua katika Shule ya Sekondari ya Kindi Kati.

Lengo la mradi huo ni kuwasaidia Wanafunzi na Walimu wa shule hiyo kuingia kwenye ulimwengu wa teknolojia.

IPad hizo zina programu mbalimbali za kujifunzia nje ya mtandao(offline).

Hata hivyo Mhe.Kilawila pamoja na marafiki zake hao wana mipango mingi na mikubwa na sehemu ya mipango hiyo ni kuwa na Maabara ya Kompyuta ya kisasa (Computer Lab), pia wanatarajia Waalimu wawe wanaandaa mitihani ya kila wiki hivyo kuwafanya wanafunzi kuwa na majaribio mbalimbali.

Jumatano Novemba 21, 2018 mmoja wa wafadhili ataenda kutoa mafunzo ya matumizi ya Ipads zilizokabidhiwa shuleni hapo.

Jamii ya Kata ya Kindi Kati Sekondari wameshukuru sana kwa msaada huo, Wanafunzi na Waalimu wameahidi kuzitunza na kuzitumia IPad hizo kwa uangalifu mkubwa na kwa malengo yaliyokusudiwa.

View attachment 938192View attachment 938194View attachment 938195
View attachment 938196
Watakatazwa kuzitumia kwenye madarasa ya shule, maendeleo hayana chama!
 
Siku ya Jumanne Novemba 13, 2018 Diwani wa Kata ya Kindi Kati na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Moshi Vijijini Mhe.Michael Kilawila kwa ushirikiano wa Marafiki zake kutoka Ujerumani wakiongozwa na Sebastian Schneider, walitoa misaada ya IPad 20 pamoja na Chaja 5 za nishati ya jua katika Shule ya Sekondari ya Kindi Kati.

Lengo la mradi huo ni kuwasaidia Wanafunzi na Walimu wa shule hiyo kuingia kwenye ulimwengu wa teknolojia.

IPad hizo zina programu mbalimbali za kujifunzia nje ya mtandao(offline).

Hata hivyo Mhe.Kilawila pamoja na marafiki zake hao wana mipango mingi na mikubwa na sehemu ya mipango hiyo ni kuwa na Maabara ya Kompyuta ya kisasa (Computer Lab), pia wanatarajia Waalimu wawe wanaandaa mitihani ya kila wiki hivyo kuwafanya wanafunzi kuwa na majaribio mbalimbali.

Jumatano Novemba 21, 2018 mmoja wa wafadhili ataenda kutoa mafunzo ya matumizi ya Ipads zilizokabidhiwa shuleni hapo.

Jamii ya Kata ya Kindi Kati Sekondari wameshukuru sana kwa msaada huo, Wanafunzi na Waalimu wameahidi kuzitunza na kuzitumia IPad hizo kwa uangalifu mkubwa na kwa malengo yaliyokusudiwa.

View attachment 938192View attachment 938194View attachment 938195
View attachment 938196
Huyo Shneider ajiangalie passport yake wataikamata soon
 
HIVI HII ID NI ILE NINAYOIFAHAMU AU NI PHOTOCOPY? KAMA NI YENYEWE ORIGINAL BASI NIKUTAKIE BARAKA TELE ZA MUNGU KWA KUKUBALI WOKOVU HUU MKUU
Hii inanipa pocha kiwa hata Ambar rutu aitafika mahali ataokoka na kuacha dhambi na Mungu atamsamehe wewe na mimi tutaingia motobi hivi hivi, Imhotep atakuwa ndiye Mwigulu huyu.
 
Maendeleo ya wasiojulikana ndio yapoje?
Wanakujengea daraja huku wanakulipua mabomu, risasi, virungu, kutekwa, kuawa na kudhalilishwa.
Wakati madaraja hayana umuhimu mkubwa asa long as hayajajengwa kwenye mto.
 
Sio zile samani za msaada tulizopigwa changa la macho,hizi IPad zimelipiwa kodi huenda zimeongezewa mara tatu....laana iwaendee wale wezi wa makontena.
 
Wanakujengea daraja huku wanakulipua mabomu, risasi, virungu, kutekwa, kuawa na kudhalilishwa.
Wakati madaraja hayana umuhimu mkubwa asa long as hayajajengwa kwenye mto.
Wapi wamejenga daraja kusiko na mto?
 
Back
Top Bottom