CHADEMA kamatia hapo hapo, tumechoka sasa mbwai mbwai

4 7mbatizaji

JF-Expert Member
Dec 8, 2019
5,967
6,763
Niwasalimu Wana jf popote mlipo, MOJA KWa moja kwenye hoja

Sio siri tena CHADEMA TZ mpaka mda huu tumepishana na jeshi la police tz , na waliotufikaisha hapa ni CCm kutumia vyombo vya dola kisa wapo madarakani, Hili limetuvulilugia sana nchi na kutengeneza mausiano mabaya Kati ya police na wenye nchi waliowengi. Why ccm mmefanya hivi

Hoja ya uzi huu


Nikutaka wambia CCM,na serikali kwamba moto ambao mmeuwasha KWa Chadema mtakoma , ona Sasa KILA pembe ya nchini ni moto tu wa CHADEMA au hamuoni ?

Mkimfunga Mbowe Mtakoma kuzaliwa, nyakati kwenu ni mbaya Sana, tulisema kwa mwenda zake ila mkaweka pamba ,Sasa Bwana anawonya KWa Mara nyingine
 
Hivi vichwa vya wanachadema vilifanyiwa upasuaji wa kutoa ubongo na kuwekewa kamasi? Ona huyu sijui kaandika nini!!
Acha ni kufafanulie maana akili yako ina umalaya wa kisasa huwezi kuelewa kirahisi.Ni CCM inajua na polisi wanajua wapokutanika CHADEMA wawili au zaidi kwa sasa moja ya agenda kuu ni polisi kwanza. Juzi tulikuwa na kikao mwenzetu akatoa wazo na namna ya kupambana ya Polisi ikitokea wakaja .Nisikufiche kuna inhalation anaesthetic drugs tulikuwa tumeziandaa technically kwa ajili ya polisi yoyote ataingia kwenye mkutano regardless ana bunduki.Umepata picha hapo
 
Back
Top Bottom