Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,099
- 630
Wadau,
Kwa hali ya mambo inavyokwenda uchaguzi wa mwaka 2015 utakuwa kama mpira wa juzi wa Simba na Yanga. Ambapo Yanga walichezea kichapo cha haja.
Chadema bado kuna matatizo mengi ambayo hayajapatiwa ufumbuzi wa kutosha. Mfano safu ya Viongozi bado haiko vizuri, hakuna uchaguzi wa ndani, matumizi mabovu ya Fedha ndani ya chama.
Mabadiliko yanahitajika sasa, na tuanze sasa kuyafanya.
Kwa hali ya mambo inavyokwenda uchaguzi wa mwaka 2015 utakuwa kama mpira wa juzi wa Simba na Yanga. Ambapo Yanga walichezea kichapo cha haja.
Chadema bado kuna matatizo mengi ambayo hayajapatiwa ufumbuzi wa kutosha. Mfano safu ya Viongozi bado haiko vizuri, hakuna uchaguzi wa ndani, matumizi mabovu ya Fedha ndani ya chama.
Mabadiliko yanahitajika sasa, na tuanze sasa kuyafanya.