CHADEMA kama Yanga wakati CCM kama Simba 2015!!

Mandla Jr.

JF-Expert Member
Dec 15, 2013
3,099
630
Wadau,
Kwa hali ya mambo inavyokwenda uchaguzi wa mwaka 2015 utakuwa kama mpira wa juzi wa Simba na Yanga. Ambapo Yanga walichezea kichapo cha haja.

Chadema bado kuna matatizo mengi ambayo hayajapatiwa ufumbuzi wa kutosha. Mfano safu ya Viongozi bado haiko vizuri, hakuna uchaguzi wa ndani, matumizi mabovu ya Fedha ndani ya chama.

Mabadiliko yanahitajika sasa, na tuanze sasa kuyafanya.
 
Wadau,
Kwa hali ya mambo inavyokwenda uchaguzi wa mwaka 2015 utakuwa kama mpira wa juzi wa Simba na Yanga. Ambapo Yanga walichezea kichapo cha haja.

Chadema bado kuna matatizo mengi ambayo hayajapatiwa ufumbuzi wa kutosha. Mfano safu ya Viongozi bado haiko vizuri, hakuna uchaguzi wa ndani, matumizi mabovu ya Fedha ndani ya chama.

Mabadiliko yanahitajika sasa, na tuanze sasa kuyafanya.

Hata Rangi za Vyama na za Timu zinapingana na unachoongea.

Ungesema Chadema kama Simba na CCM kama Yanga!!
 
Wadau,
Kwa hali ya mambo inavyokwenda uchaguzi wa mwaka 2015 utakuwa kama mpira wa juzi wa Simba na Yanga. Ambapo Yanga walichezea kichapo cha haja.

Chadema bado kuna matatizo mengi ambayo hayajapatiwa ufumbuzi wa kutosha. Mfano safu ya Viongozi bado haiko vizuri, hakuna uchaguzi wa ndani, matumizi mabovu ya Fedha ndani ya chama.

Mabadiliko yanahitajika sasa, na tuanze sasa kuyafanya.

Kwa hiyo hii post ni ya siasa au michezo? Unaleta ukakasi kwa wasomaji.
 
Siku nyingine ficha ukakasi wako uko kwenu

izi pumba ukawape nguruwe ,wale wanenepe

siasa na mpira wapi na wapi?
 
Wadau,
Kwa hali ya mambo inavyokwenda uchaguzi wa mwaka 2015 utakuwa kama mpira wa juzi wa Simba na Yanga. Ambapo Yanga walichezea kichapo cha haja.

Chadema bado kuna matatizo mengi ambayo hayajapatiwa ufumbuzi wa kutosha. Mfano safu ya Viongozi bado haiko vizuri, hakuna uchaguzi wa ndani, matumizi mabovu ya Fedha ndani ya chama.

Mabadiliko yanahitajika sasa, na tuanze sasa kuyafanya.

kwanza nakataa mifano uloitumia.
Pili nakusahihisha, ungeandika, "matatizo ya cdm yatafutiwe suluhu ya haraka" ungeeleweka vyema.
Mtifuano wowote kweny oganization yoyote ni dalili za kuwepo afya katika oganization hiyo. Na any change bring challenges.
Mlio wengi mnaogopa mabadiliko ambayo kwangu huleta uimara. Tukubaliane nayo na kisha mvute subira kwani 2015 si mbali.
 
Back
Top Bottom