Chadema mbona mnamkataa kamanda wenu Shubuda!
Inawezekana chinchilla ndiye Shibuda mwnyewe anajaribu kutest upepo.
Marando alisema,shibuda si chadema bali ni mbunge wa chadema.
Mi nahisi kama vile cdm wameahirisha matatizo....Chadema wametumia busara kubwa kutokumfukuza Shibuda katika chama..........
Wakuu JF
Ni ushahuri ninautoa kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Kama kweli mna dhamira ya dhati ya kushinda ubunge kwenye uchaguzi mdogo wa Arumeru Mashariki. Mtumueni John Shibuda, kuwa mkuu wa kampeni.
Ni mtu makini mwenye huwezo wa kujenga hoja za kuwavuta wapiga kura. Kama mtamuweka pembeni na huu uchaguzi basi mtakuwa mmefanya makosa makubwa.
Marando alisema,shibuda si chadema bali ni mbunge wa chadema.
Political prostitutes hawatakiwi kabisa huko,mwisho atadai posho ya MWIGA
Huo ushauri wa kumpeleka Shibuda Meru wape CCM maana Shibuda ni mamluki ndani ya CDM.
Marando alisema,shibuda si chadema bali ni mbunge wa chadema.