Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
- Thread starter
- #41
Utawapenda bure kwa jinsi wanavyomwacha nyoka agonge wewe haalafu wana mla kuanzia mkiani...sasa wameshambulia wametumia polisi. Na wameenda ktk bunge na kila mahali kupiga propaganda.CDM wakawapa kubwa kuw ani wao na polisi.CCM wakdhani utani wakaanza pika habari kwa papara..sasa wameambiwa kuwa walirecodiwa kwa mitambo maalum ..Nyoka kilio kimeana.
No matter how poisonous CCM becomes,CDM will always take CCM for lunch,dinner or breakfast.
No matter how poisonous CCM becomes,CDM will always take CCM for lunch,dinner or breakfast.