Mchambuzi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2007
- 4,850
- 9,405
Katika kipindi cha hivi karibuni, vyama vya upinzani nchini Tanzania vimekuja na mbinu mpya za kisiasa ambazo zinahusisha Political Movements (vuguvugu la kisiasa); Vyama hivi ni viwili – Chadema (M4C) na CUF (F4C), lakini kwa sababu fulani fulani, mjadala mkubwa kuhusu mbinu hizi mpya za kisiasa umekuwa unakigusa zaidi Chadema na M4C, huku jamii ikigawanyika kuhusu maudhui na umuhimu wa M4C katika kipindi hiki; Kumekuwepo na mijadala mbalimbali juu ya M4C ambayo imetupatia elimu kubwa kuhusu suala hili kwa ujumla wake, lakini kwa kiasi fulani, binafsi naona kwamba bado kuna pengo kubwa ambalo mijadala hii haijaliziba, hasa kutokana na mijadala mingi juu ya M4C kuendeshwa kishabiki zaidi na pande zote mbili – yani Chadema na CCM, badala ya mjadala kutumia 'a relevant analytical framework' ; Nia ya mjadala wangu ni kuziba pengo hilo, hasa kwa kufanya mambo makuu mawili:
Kwanza, kwa kuwasilisha 'analytical framework' ambayo itatupatia mwongozo kuhusu tofauti baina ya A Political Party na A Political Movement, kwa mujibu wa gwiji wa siasa za Africa (Goran Hyden); na Pili, ni kujadili dhana ya M4C katika muktadha wa maswali makuu sita kama ifuatavyo:
Below, ni tofauti kuu baina ya Political Movements na Political Parties Per Goran Hyden, ambayo itakuwa ndio 'KEY Analytical Framework' ya kufanikisha malengo ya mjadala wetu;
Ni matumaini yangu kwamba mjadala wetu utatawaliwa na HOJA na sio VIROJA na ushabiki wa Kisiasa; Lakini kwa vile mjadala huu ni wa Kisiasa, ushabiki kuwepo ni jambo la kawaida lakini hata ushabiki upo wa HOJA na VIROJA; Kwa mfano, mimi ni mwana CCM na from time to time, nitakuwa na hoja za kishabiki juu ya kwanini ilikuwa ni muhimu kwa TANU kuwa a political movement katika kipindi kabla ya uhuru; Lakini pia from time to time, nitakuja na hoja zangu binafsi kama mtanzania kuelezea kwanini hata katika nyakazi hizi, kuna umuhimu wa kuwa na Political Movements, hasa kwa kuwa Tanzania as a state, is still at its formation stage, that's why it is weak, fragile, and may even fail/collapse before our eyes, kama hatutakuwa makini;
Ni imani yangu kwamba mwisho wa siku tutafanikiwa kuja na mjadala ambao utatusaidia kuelewa suala hili more SYSTEMATICALLY, hasa:
Last but not least, ningependa kusema kwamba - mara nyingi, political movements na mass – based parties huenda sambamba; ingawa kwa sasa, enzi za mass – based political parties imepitwa na wakati katika demokrasia zote za uliberali duniani, muitikio wa Umma kwa M4C unaashiria kwamba we have a failed state in Tanzania (nitalijadili hili kwa kina baadae), na pengine Chadema inakaribia kugeuza historia right before our eyes; Vinginevyo katika hali ya kawaida, chini ya mfumo wa sasa wa uliberali (kiuchumi, kijamii na kisiasa), jamii za leo zipo very diverse in terms of matarajio from political processes, matabaka, n.k, kiasi cha kutowezesha mazingira ya mass – based political parties kushamiri; Na hii sio kwa Tanzania tu bali karibia mataifa yote duniani yanayoendeshwa chini ya mfumo wa demokrasia ya uliberali;
Pamoja na uwepo wa mabadiliko haya – yani ya kuporomoka kwa mfumo wa mass – based political parties, bado kuna ishara kubwa kwamba, kwa upande mmoja CCM inajaribu kuendeleza mfumo wa a mass – based party kama njia ya ku justify its popular support, na kwa upande mwingine, Chadema nayo inajaribu kuiga mfumo huu ili nao wawe ni mbadala wa CCM in terms of being a substitute mass – based party with popular support; Vyama vyote viwili vinafanya juhudi hizi ndani ya mazingira ambayo in the long run, sio CCM wala Chadema itaweza fanikisha hili kwa urahisi, kwani - key determinants ya chama kuwa mass based ni pamoja na:
Yote haya kwa sasa yapo in reverse, hence signaling kwamba days of mass - based political parties are not numbered by they are over and done; Na hii sio kwa Tanzania tu bali katika nchi zote zinazoendesha siasa zake chini ya mfumo wa demokrasia ya uliberali; Kwa maana nyingine, downward trend ya factors hizi maana yake ni kwamba mass - based political parties are loosing ground in liberal democracies na zinakuwa replaced na aina nyingine za vyama vya siasa, hasa 'Cartel Parties' - which is literally a consortium of elites; Tutalijadili hili kwa kina baadae;
Ni matumaini yangu kwamba mjadala huu utatufundisha mengi juu ya changamoto hizi na kwa pamoja tutaibuka kama watu tulioelimika zaidi juu ya demokrasia na umuhimu wake kwa maendeleo ya walio wengi;
Kwanza, kwa kuwasilisha 'analytical framework' ambayo itatupatia mwongozo kuhusu tofauti baina ya A Political Party na A Political Movement, kwa mujibu wa gwiji wa siasa za Africa (Goran Hyden); na Pili, ni kujadili dhana ya M4C katika muktadha wa maswali makuu sita kama ifuatavyo:
- Je watanzania wanaelewa tofauti iliyopo baina ya 'A political Party' and 'A political Movement'?
- Je ni watanzania wangapi wanaelewa kwamba hata TANU (CCM) ilianza kama 'A Political Movement', kabla ya kuwa ‘A Political Party'?
- Je, 'Political Movements' huzaliwa katika mazingira gani?
- Je, kwanini imechukua zaidi ya miaka 50 kabla ya Political Movements kuzaliwa tena Tanzania? Hii ni tofauti na 'political pressure groups' kama vile DP ya Mtikila;
- Je vyama vya Siasa kwa mfano (Chadema na CUF), vinawezaje kuchanganya dhana hizi mbili kwa ufanisi – yani kwa upande mmoja kuwa ‘A Political Party' na kwa Upande mwingine kuwa ‘A Political Movement'?
- Na Mwisho, Je, ni mahitaji gani ya wananchi ambayo hayawezi kupatikana kupitia Political Parties peke yake, hivyo kuhitaji Political Movements?
Below, ni tofauti kuu baina ya Political Movements na Political Parties Per Goran Hyden, ambayo itakuwa ndio 'KEY Analytical Framework' ya kufanikisha malengo ya mjadala wetu;
VARIABLE | POLITICAL MOVEMENT | POLITICAL PARTY |
Orientation | Cause | Issues |
Level of Operation | Regime | Government |
Main Arena of Operation | Society | Parliament |
Method of Operation | Mobilization | Persuasion |
Member Orientation | Diffuse | Specific |
Claims to Resources | No Formal Limits | Constrained by Rule of Law |
Ni matumaini yangu kwamba mjadala wetu utatawaliwa na HOJA na sio VIROJA na ushabiki wa Kisiasa; Lakini kwa vile mjadala huu ni wa Kisiasa, ushabiki kuwepo ni jambo la kawaida lakini hata ushabiki upo wa HOJA na VIROJA; Kwa mfano, mimi ni mwana CCM na from time to time, nitakuwa na hoja za kishabiki juu ya kwanini ilikuwa ni muhimu kwa TANU kuwa a political movement katika kipindi kabla ya uhuru; Lakini pia from time to time, nitakuja na hoja zangu binafsi kama mtanzania kuelezea kwanini hata katika nyakazi hizi, kuna umuhimu wa kuwa na Political Movements, hasa kwa kuwa Tanzania as a state, is still at its formation stage, that's why it is weak, fragile, and may even fail/collapse before our eyes, kama hatutakuwa makini;
Ni imani yangu kwamba mwisho wa siku tutafanikiwa kuja na mjadala ambao utatusaidia kuelewa suala hili more SYSTEMATICALLY, hasa:
- Kuelewa kiini cha Political Movements katika demokrasia ya uliberali;
- Kuelewa umuhimu wa Political Movements katika demokrasia ya uliberali;
- Kuelewa mipaka ya uhalali na uhalifu (kama ipo) ya 'Political Movements' ndani ya Demokrasia ya uliberali;
- Kuelewa changamoto zinazotokana na Chama kuanzisha ‘A Political Movement' Badala ya Chama Kuwa ni matokeo ya ‘A Political Movement'; mfano, trajectory ya Chadema na TANU zipo tofauti katika hili;
- Kujifunza zaidi juu ya Demokrasia ya Uliberali kwa ujumla wake;
Last but not least, ningependa kusema kwamba - mara nyingi, political movements na mass – based parties huenda sambamba; ingawa kwa sasa, enzi za mass – based political parties imepitwa na wakati katika demokrasia zote za uliberali duniani, muitikio wa Umma kwa M4C unaashiria kwamba we have a failed state in Tanzania (nitalijadili hili kwa kina baadae), na pengine Chadema inakaribia kugeuza historia right before our eyes; Vinginevyo katika hali ya kawaida, chini ya mfumo wa sasa wa uliberali (kiuchumi, kijamii na kisiasa), jamii za leo zipo very diverse in terms of matarajio from political processes, matabaka, n.k, kiasi cha kutowezesha mazingira ya mass – based political parties kushamiri; Na hii sio kwa Tanzania tu bali karibia mataifa yote duniani yanayoendeshwa chini ya mfumo wa demokrasia ya uliberali;
Pamoja na uwepo wa mabadiliko haya – yani ya kuporomoka kwa mfumo wa mass – based political parties, bado kuna ishara kubwa kwamba, kwa upande mmoja CCM inajaribu kuendeleza mfumo wa a mass – based party kama njia ya ku justify its popular support, na kwa upande mwingine, Chadema nayo inajaribu kuiga mfumo huu ili nao wawe ni mbadala wa CCM in terms of being a substitute mass – based party with popular support; Vyama vyote viwili vinafanya juhudi hizi ndani ya mazingira ambayo in the long run, sio CCM wala Chadema itaweza fanikisha hili kwa urahisi, kwani - key determinants ya chama kuwa mass based ni pamoja na:
- Chama kuwa na wanachama wengi sana na ambao wanalipia ada zao na pia kujishughulisha na chama husika katika muda mwingi wa maisha yao ya kila siku;
- Popular participation nyakazi za chaguzi kuu, kwa mujibu wa itikadi ya vyama kuwa kubwa sana;
- Na factors nyingine nyingi ambazo tutazijadili baadae;
Yote haya kwa sasa yapo in reverse, hence signaling kwamba days of mass - based political parties are not numbered by they are over and done; Na hii sio kwa Tanzania tu bali katika nchi zote zinazoendesha siasa zake chini ya mfumo wa demokrasia ya uliberali; Kwa maana nyingine, downward trend ya factors hizi maana yake ni kwamba mass - based political parties are loosing ground in liberal democracies na zinakuwa replaced na aina nyingine za vyama vya siasa, hasa 'Cartel Parties' - which is literally a consortium of elites; Tutalijadili hili kwa kina baadae;
Ni matumaini yangu kwamba mjadala huu utatufundisha mengi juu ya changamoto hizi na kwa pamoja tutaibuka kama watu tulioelimika zaidi juu ya demokrasia na umuhimu wake kwa maendeleo ya walio wengi;