Chadema kaeni njoo..tunamalizia kuwatimua mafisadi ndani ya ccm...

greenstar

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
390
53
CHADEMA ikae njoo kiama chao kipo jikoni,tunamalizia kuwatimua mafisadi ndani ya chama.....wanatumia huu mwanya kujifurahisha wakidhani itasambaratika.RAI yangu kwa wapenda amani wawe watulivu ktk kipindi hiki cha mageuzi ndani ya chama ,waisaidie serikali kufichua wabadilifu wa fedha za umma bila kuchagua ukabila au udini....tuseme kweli ktk misingi ya haki.Vijana wa CCM tuwe wamoja na tulete mapinduzi ya kweli ndani ya chama chetu kwa maslahi ya taifa lote.

Naamini Vijana ndiyo wenye dhamana ya kujenga taifa hili lakini msikubali kutumiwa na mafisadi ambao hawaitakii mema nchi yetu.CHADEMA inafanya propaganda za kihuni kwa kudanganya umma.Walikataa posho tukidhani wantutete wanyonge ,leo hii wanalamba matapishi yao...wanataka posho iongezwe kama alivyopigania msanii mwenzao SHIBUDA......heri ya ZITTO +January Makamba walimananisha hilo kwa dhati, .......Watanzania tutafakari kwa dhati juu ya maisha yetu...tufanye bidii katika kazi zetu za kujiletea kipato.....dhani ya huduma za jamii kupatikana bure napingana nalo...hata kama CHADEMA watapata misaada ya Cameron(Ze Ushoga) haitatokea kamweeeeeee.



 
Hili li-thread lako litachangiwa na watu wasiozidi kumi....ni uharo.
 
CHADEMA ikae njoo kiama chao kipo jikoni,tunamalizia kuwatimua mafisadi ndani ya chama.....wanatumia huu mwanya kujifurahisha wakidhani itasambaratika.RAI yangu kwa wapenda amani wawe watulivu ktk kipindi hiki cha mageuzi ndani ya chama ,waisaidie serikali kufichua wabadilifu wa fedha za umma bila kuchagua ukabila au udini....tuseme kweli ktk misingi ya haki.Vijana wa CCM tuwe wamoja na tulete mapinduzi ya kweli ndani ya chama chetu kwa maslahi ya taifa lote.

Naamini Vijana ndiyo wenye dhamana ya kujenga taifa hili lakini msikubali kutumiwa na mafisadi ambao hawaitakii mema nchi yetu.CHADEMA inafanya propaganda za kihuni kwa kudanganya umma.Walikataa posho tukidhani wantutete wanyonge ,leo hii wanalamba matapishi yao...wanataka posho iongezwe kama alivyopigania msanii mwenzao SHIBUDA......heri ya ZITTO +January Makamba walimananisha hilo kwa dhati, .......Watanzania tutafakari kwa dhati juu ya maisha yetu...tufanye bidii katika kazi zetu za kujiletea kipato.....dhani ya huduma za jamii kupatikana bure napingana nalo...hata kama CHADEMA watapata misaada ya Cameron(Ze Ushoga) haitatokea kamweeeeeee.



Post 17 GreenStar wewe ni mgonjwa, huwezi kutimua mafisadi CCM ukawamaliza, kuanzia mukuru wa boma hadi wapambe wake wote ni walewale!!!!!!!!!!Utatimua yupi umuache yupi wewe ni mgonjwa. Nape akulipa Shs ngapi kwa siku maana si bure unapost uozo hapa!!!!!!!!!!!
 
Naamini kwamba kufanya mageuzi ya kweli ndani ya CCM ni kufanya mapinduzi ndani ya serikali. Kwa CCM inawezekana? Kinachosemwe ni mbali na matendo halisi. Propaganda ipo wapi - CCM au CDM?
 
Lazima uwe mzalendo wakweli ktk kupambana na mafisadi.....NAPE anatekeleza maagizo ya NEC ....na siyo yeye binafsi kama nyie wavivu wa kufikiri mnavyochukulia juu ya haya mapambano....

Sina imani na CHADEMA coz hataukifanya uchunguzi utagundua wanaompigia debe LOWASA ni wafuasi wa CHADEMA......Jiulize,ni lini Kiongozi wa upinzani alishawahi kumutaja LOWASA kuwa ni FISADI au ndiyo kufyata mkia......Itafahamika.....kaeni chonjo......CCM siyo ya NAPE wala LOWASA ....tupo wengi wapambanaji ambao tutahakikisha amani na utulivu unadumishwa. better wazimu kuliko ufisaji

Mwenye macho haambiwi Tazama..........CHADEMA ni wa huni hata wakijificha kanisani au msikitini.....Tunapambana na mafisadi then tuta deal na wahuni.....kwa sasa polisi inafanya kazi yake.....wakishindwa tunaachia kitu cha JWTZ ndipo utajua mwisho wa wahuni. Njoo nikupe kadi ya CCM bwana mdogo maana CDM wanakupa wazimu




 
ogopa mbwa ambaye habweki.......yeye ni kung'ata tuuuu.....CHADEMA wanabweke lakini ni MBWA KOKO........CCM imeshamtimua ROSTAM wengine wanafuata jiandaeni!!!!!!!!!!!!!!!!
 
CHADEMA ikae njoo kiama chao kipo jikoni,tunamalizia kuwatimua mafisadi ndani ya chama.....wanatumia huu mwanya kujifurahisha wakidhani itasambaratika.RAI yangu kwa wapenda amani wawe watulivu ktk kipindi hiki cha mageuzi ndani ya chama ,waisaidie serikali kufichua wabadilifu wa fedha za umma bila kuchagua ukabila au udini....tuseme kweli ktk misingi ya haki.Vijana wa CCM tuwe wamoja na tulete mapinduzi ya kweli ndani ya chama chetu kwa maslahi ya taifa lote.

Naamini Vijana ndiyo wenye dhamana ya kujenga taifa hili lakini msikubali kutumiwa na mafisadi ambao hawaitakii mema nchi yetu.CHADEMA inafanya propaganda za kihuni kwa kudanganya umma.Walikataa posho tukidhani wantutete wanyonge ,leo hii wanalamba matapishi yao...wanataka posho iongezwe kama alivyopigania msanii mwenzao SHIBUDA......heri ya
ZITTO +January Makamba walimananisha hilo kwa dhati, .......Watanzania tutafakari kwa dhati juu ya maisha yetu...tufanye bidii katika kazi zetu za kujiletea kipato.....dhani ya huduma za jamii kupatikana bure napingana nalo...hata kama CHADEMA watapata misaada ya Cameron(Ze Ushoga) haitatokea kamweeeeeee.



Hv CCM mna nini siku hz? mbona kila mara mnamsifia ZITTO? kunani?
 
Ni kweli CDM wanatumia udhaifu wenu kujiimarisha na kuwakumbusha mlichopaswa au manachopaswa kufanya, kwa maana nyingine nguvu ya CDM iko mikononi mwenu. Ingawa utekelezaji wa hayo uliyoandika yana ugumu wake, lakini tekeleza wajibu wenu ipasavyo mwone kama kuna mwananchi ataenda kwenye maandamano ya CDM.
 
Isingekuwa CDM hata hiyo kuvua magamba ingetoka wapi? Wewe ndo mvivu wa kufikiri, huwezi kuongea unapitia thread za watu unarudi kulala siyo kutumwagia upupu.
 
Mshukuru Mungu huku hakuna silaha ila ole wenu zikijaanza kupatikana cjui mtajificha wapi
 
Lazima uwe mzalendo wakweli ktk kupambana na mafisadi.....NAPE anatekeleza maagizo ya NEC ....na siyo yeye binafsi kama nyie wavivu wa kufikiri mnavyochukulia juu ya haya mapambano....

Sina imani na CHADEMA coz hataukifanya uchunguzi utagundua wanaompigia debe LOWASA ni wafuasi wa CHADEMA......Jiulize,ni lini Kiongozi wa upinzani alishawahi kumutaja LOWASA kuwa ni FISADI au ndiyo kufyata mkia......Itafahamika.....kaeni chonjo......CCM siyo ya NAPE wala LOWASA ....tupo wengi wapambanaji ambao tutahakikisha amani na utulivu unadumishwa. better wazimu kuliko ufisaji

Mwenye macho haambiwi Tazama..........CHADEMA ni wa huni hata wakijificha kanisani au msikitini.....Tunapambana na mafisadi then tuta deal na wahuni.....kwa sasa polisi inafanya kazi yake.....wakishindwa tunaachia kitu cha JWTZ ndipo utajua mwisho wa wahuni. Njoo nikupe kadi ya CCM bwana mdogo maana CDM wanakupa wazimu

better uawazimu kuliko wafisadi
 
Back
Top Bottom