CHADEMA ikae njoo kiama chao kipo jikoni,tunamalizia kuwatimua mafisadi ndani ya chama.....wanatumia huu mwanya kujifurahisha wakidhani itasambaratika.RAI yangu kwa wapenda amani wawe watulivu ktk kipindi hiki cha mageuzi ndani ya chama ,waisaidie serikali kufichua wabadilifu wa fedha za umma bila kuchagua ukabila au udini....tuseme kweli ktk misingi ya haki.Vijana wa CCM tuwe wamoja na tulete mapinduzi ya kweli ndani ya chama chetu kwa maslahi ya taifa lote.
Naamini Vijana ndiyo wenye dhamana ya kujenga taifa hili lakini msikubali kutumiwa na mafisadi ambao hawaitakii mema nchi yetu.CHADEMA inafanya propaganda za kihuni kwa kudanganya umma.Walikataa posho tukidhani wantutete wanyonge ,leo hii wanalamba matapishi yao...wanataka posho iongezwe kama alivyopigania msanii mwenzao SHIBUDA......heri ya ZITTO +January Makamba walimananisha hilo kwa dhati, .......Watanzania tutafakari kwa dhati juu ya maisha yetu...tufanye bidii katika kazi zetu za kujiletea kipato.....dhani ya huduma za jamii kupatikana bure napingana nalo...hata kama CHADEMA watapata misaada ya Cameron(Ze Ushoga) haitatokea kamweeeeeee.
Naamini Vijana ndiyo wenye dhamana ya kujenga taifa hili lakini msikubali kutumiwa na mafisadi ambao hawaitakii mema nchi yetu.CHADEMA inafanya propaganda za kihuni kwa kudanganya umma.Walikataa posho tukidhani wantutete wanyonge ,leo hii wanalamba matapishi yao...wanataka posho iongezwe kama alivyopigania msanii mwenzao SHIBUDA......heri ya ZITTO +January Makamba walimananisha hilo kwa dhati, .......Watanzania tutafakari kwa dhati juu ya maisha yetu...tufanye bidii katika kazi zetu za kujiletea kipato.....dhani ya huduma za jamii kupatikana bure napingana nalo...hata kama CHADEMA watapata misaada ya Cameron(Ze Ushoga) haitatokea kamweeeeeee.