Dangire
JF-Expert Member
- Oct 5, 2011
- 221
- 68
Piga kazi kijana usitegemee wanasiasa watakupa maendeleo. Hata CHADEMA wakichukua nchi watagawa pesa au watakupa mkate kila siku?
ishu sio kupewa mkate. mabadiliko ni lazima ili tuanze kukimbia badala ya huku kutambaa ama kutembea tufanyako. vua gamba kijana.