CHADEMA jitoeni kwenye maridhiano na Rais Samia, endapo Wabunge 19 watalindwa na Bunge

Cathelin

JF-Expert Member
Sep 21, 2018
2,071
3,992
Kubali ukatae Samia bado anawaitaji Sana Chadema, ndo maana mwanzoni mwa utawala wake alikuwa anaongea kwa jeuri, kiburi juu ya Chadema na Kesi ya Mbowe, aliwaona Chadema kama Chama kidogo Ila kesi ya Mbowe, ilimfundisha pakubwa.

Baada ya kesi ya Mbowe, Samia alikumbana na kitu kizito Sana, si nchini au Ughaibuni, kila alikoenda Ni Mbowe, Mbowe, uku nchini ilikuwa Mbowe, Mbowe baada ya Moto kuwaka ndani na nje, akabadirika akamuachia ndo Mambo ya Maridhiano yakaanza.

Sasa unataka maridhiano ya kweli uku unamchezea rafu unayetaka maridhiano naye, huu Ni uhuni. Endapo Bunge la CCM litawakumbatia Covid-19, Basi Chadema wajitoe kwenye maridhiano ya Samia, wamwache Samia na CCM yake.

Na Mbowe alisema Kama muafaka hautapatikana kwa maridhiano watarudi kwenye ground yaani kwa Wananchi, hii ni Mbaya maana Samia anajua akimdhibiti Mbowe kwa Dora ni dosari kwenye utawala wake mbele ya macho ya Dunia.

So Chadema you have nothing to lose. Wabunge 19 wakikubaliwa Bungeni jitoeni kwenye maridhiano Rais Samia abaki na vyama shikizi
 
Udhaifu wake wa kiuongozi na kutojiamini utasababisha apelekeshwe sana na wapinzani na kuitwa majina yote.

JK alijaribu kutafuta muafaka na hao jamaa akaishia kubakia na kinana na nape tu kwenye chama. Wanaccm walimuacha na upinzani ukawa unashangilia kuwa chama kinamfia mikononi na kwamba anaenda kuweka historia ya mwenyekiti wa kwanza ccm kufiwa na chama mkononi.
 
Hili wazo zuri, naona kuna umuhimu wa Chadema kuonesha msimamo wao hadharani kila mtanzania aujue, na bahati nzuri watanzania sio wajinga wanaujua na kuuona ukweli.

Chadema wameonesha wako tayari kwa maridhiano ndio maana wanakaa na Samia ikulu, na huko ikulu wanajadiliana kuhusu uvunjifu wa sheria unaofanywa na serikali ya CCM.

Uvunjifu huo ni pamoja na kukataza mikutano ya siasa, na ule uovu uliofanyika kwenye uchaguzi mkuu uliopita huku Samia akiwa mshiriki, alikuwa sehemu yake.

Lakini kama unakaa na mtu kwenye maridhiano kuhusu uvunjifu wa sheria, halafu katikati ya maridhiano yenu bado anaendelea kuvunja sheria kwa kuwakumbatia kina Mdee bungeni, huyo anakudharau.

Kama yeye anavyopenda kuhimiza aheshimiwe kama mama, basi nae awaheshimu wenzie kama kina baba, kinyume na hapo Chadema wajitoe kwenye meza ya mazungumzo ikulu.
 
Udhaifu wake wa kiuongozi na kutojiamini utasababisha apelekeshwe sana na wapinzani na kuitwa majina yote.

JK alijaribu kutafuta muafaka na hao jamaa akaishia kubakia na kinana na nape tu kwenye chama. Wanaccm walimuacha na upinzani ukawa unashangilia kuwa chama kinamfia mikononi na kwamba anaenda kuweka historia ya mwenyekiti wa kwanza ccm kufiwa na chama mkononi.
Jiwe aliyetumia mkono wa Chuma alifanikiwa? We unadhani angekubalika angeiba uchaguzi kishamba
 
Hili wazo zuri, naona kuna umuhimu wa Chadema kuonesha msimamo wao hadharani kila mtanzania aujue, na bahati nzuri watanzania sio wajinga wanaujua na kuuona ukweli.

Chadema wameonesha wako tayari kwa maridhiano ndio maana wanakaa na Samia ikulu, na huko ikulu wanajadiliana kuhusu uvunjifu wa sheria unaofanywa na serikali ya CCM.

Uvunjifu huo ni pamoja na kukataza mikutano ya siasa, na ule uovu uliofanyika kwenye uchaguzi mkuu uliopita huku Samia akiwa mshiriki, alikuwa sehemu yake.

Lakini kama unakaa na mtu kwenye maridhiano kuhusu uvunjifu wa sheria, halafu katikati ya maridhiano yenu bado anaendelea kuvunja sheria kwa kuwakumbatia kina Mdee bungeni, huyo anakudharau.

Kama yeye anavyopenda kuhimiza aheshimiwe kama mama, basi nae awaheshimu wenzie kama kina baba, kinyume na hapo Chadema wajitoe kwenye meza ya mazungumzo ikulu.
Uzuri Mbowe ,Lissu hawayumbishwi lazima watajitoa
 
Kubali ukatae Samia bado anawaitaji Sana Chadema, ndo maana mwanzoni mwa utawala wake alikuwa anaongea kwa jeuri, kiburi juu ya Chadema na Kesi ya Mbowe, aliwaona Chadema kama Chama kidogo Ila kesi ya Mbowe, ilimfundisha pakubwa.

Baada ya kesi ya Mbowe, Samia alikumbana na kitu kizito Sana, si nchini au Ughaibuni, kila alikoenda Ni Mbowe, Mbowe, uku nchini ilikuwa Mbowe, Mbowe baada ya Moto kuwaka ndani na nje, akabadirika akamuachia ndo Mambo ya Maridhiano yakaanza.

Sasa unataka maridhiano ya kweli uku unamchezea rafu unayetaka maridhiano naye, huu Ni uhuni. Endapo Bunge la CCM litawakumbatia Covid-19, Basi Chadema wajitoe kwenye maridhiano ya Samia, wamwache Samia na CCM yake.

Na Mbowe alisema Kama muafaka hautapatikana kwa maridhiano watarudi kwenye ground yaani kwa Wananchi, hii ni Mbaya maana Samia anajua akimdhibiti Mbowe kwa Dora ni dosari kwenye utawala wake mbele ya macho ya Dunia.

So Chadema you have nothing to lose. Wabunge 19 wakikubaliwa Bungeni jitoeni kwenye maridhiano Rais Samia abaki na vyama shikizi
Naunga mkono hii hoja..CDM wasiwadissapoint members na supporter wao.
 
Maridhiano gani? Mbowe kasemehewa kesi yake ya UGAIDI, kapewa 'na masharti ya kuwaonya wafuasi wake kutokutukana mitandaoni 'na kuheshimu mawazo ya watu wengine , sasa Hivi kawa mpoleee!! Aaaahh, alafu bado mnajipa matumaini kuwa maridhiano, siasa ni techniques, Sasa Hivi yupo 'na mzée wa miundombinu( Kinana) kashawatengenezea mgogoro 'na hata hamjielewi, sasa Hivi mtaimba mdee mdee, Kesi mahakamni leo kesho , kesho kutwa, mda unaenda watu wako Bungeni, Kesi iko mahakamni serikali haiwezi kuingilia wala bunge, mda unaenda 'na mnazidi kuvurugana. Mpaka mje kuamka ni 2025 'na mda huo covid 19 wanakimbilia ACT.
 
Hili wazo zuri, naona kuna umuhimu wa Chadema kuonesha msimamo wao hadharani kila mtanzania aujue, na bahati nzuri watanzania sio wajinga wanaujua na kuuona ukweli.

Chadema wameonesha wako tayari kwa maridhiano ndio maana wanakaa na Samia ikulu, na huko ikulu wanajadiliana kuhusu uvunjifu wa sheria unaofanywa na serikali ya CCM.

Uvunjifu huo ni pamoja na kukataza mikutano ya siasa, na ule uovu uliofanyika kwenye uchaguzi mkuu uliopita huku Samia akiwa mshiriki, alikuwa sehemu yake.

Lakini kama unakaa na mtu kwenye maridhiano kuhusu uvunjifu wa sheria, halafu katikati ya maridhiano yenu bado anaendelea kuvunja sheria kwa kuwakumbatia kina Mdee bungeni, huyo anakudharau.

Kama yeye anavyopenda kuhimiza aheshimiwe kama mama, basi nae awaheshimu wenzie kama kina baba, kinyume na hapo Chadema wajitoe kwenye meza ya mazungumzo ikulu.
Lini Chadema wamekaa, 'Ikulu?

Unaweza unakanionyesha hata Picture ya Viongozi wa Chadema wameenda Ikulu, 'na kujadili maridhiano?
 
Udhaifu wake wa kiuongozi na kutojiamini utasababisha apelekeshwe sana na wapinzani na kuitwa majina yote.

JK alijaribu kutafuta muafaka na hao jamaa akaishia kubakia na kinana na nape tu kwenye chama. Wanaccm walimuacha na upinzani ukawa unashangilia kuwa chama kinamfia mikononi na kwamba anaenda kuweka historia ya mwenyekiti wa kwanza ccm kufiwa na chama mkononi.

Magufuli alitumia mabavu kupambana na upinzani, mbona ilibidi atumie vyombo vya usalama na genge la watu wasiojulikana kupora uchaguzi? Mama Samia anaweza kutumia mabavu kwani hakuna namna nyingine ya ccm kuendelea kubaki madarakani kwa ridhaa ya wananchi. Ila mabavu ya ccm yanakaribia kufika mwisho.
 
Maridhiano gani? Mbowe kasemehewa kesi yake ya UGAIDI, kapewa 'na masharti ya kuwaonya wafuasi wake kutokutukana mitandaoni 'na kuheshimu mawazo ya watu wengine , sasa Hivi kawa mpoleee!! Aaaahh, alafu bado mnajipa matumaini kuwa maridhiano, siasa ni techniques, Sasa Hivi yupo 'na mzée wa miundombinu( Kinana) kashawatengenezea mgogoro 'na hata hamjielewi, sasa Hivi mtaimba mdee mdee, Kesi mahakamni leo kesho , kesho kutwa, mda unaenda watu wako Bungeni, Kesi iko mahakamni serikali haiwezi kuingilia wala bunge, mda unaenda 'na mnazidi kuvurugana. Mpaka mje kuamka ni 2025 'na mda huo covid 19 wanakimbilia ACT.

Yaani huu utoto umebeba matamanio yako yote na ya karibu kila mwanaccm.
 
Nashangaa Mbowe anafuata nini ikulu mara kwa mara, inafikia mpaka mahali anaelekezwa namna ya kufanya siasa, huku akiagizwa awaambie wafuasi wa cdm jinsi ya kufanya siasa. Lakini yeye anayotaka hakuna kiongozi yoyote wa ccm anayesema hadharani wala kuyakiri. Nadhani serikali inadhani Mbowe ana ubavu wa kuwaelekeza watumia mitandao wafanye siasa kama alivyoagizwa yeye huko ikulu.
 
Maridhiano gani? Mbowe kasemehewa kesi yake ya UGAIDI, kapewa 'na masharti ya kuwaonya wafuasi wake kutokutukana mitandaoni 'na kuheshimu mawazo ya watu wengine , sasa Hivi kawa mpoleee!! Aaaahh, alafu bado mnajipa matumaini kuwa maridhiano, siasa ni techniques, Sasa Hivi yupo 'na mzée wa miundombinu( Kinana) kashawatengenezea mgogoro 'na hata hamjielewi, sasa Hivi mtaimba mdee mdee, Kesi mahakamni leo kesho , kesho kutwa, mda unaenda watu wako Bungeni, Kesi iko mahakamni serikali haiwezi kuingilia wala bunge, mda unaenda 'na mnazidi kuvurugana. Mpaka mje kuamka ni 2025 'na mda huo covid 19 wanakimbilia ACT.
Ila ndoto zako ni za kijinga kwelikweli! Angalia usije ukaota unashusha mzigo ukachafua kitanda bure!
 
Magufuli alitumia mabavu kupambana na upinzani, mbona ilibidi atumie vyombo vya usalama na genge la watu wasiojulikana kupora uchaguzi? Mama Samia anaweza kutumia mabavu kwani hakuna namna nyingine ya ccm kuendelea kubaki madarakani kwa ridhaa ya wananchi. Ila mabavu ya ccm yanakaribia kufika mwisho.
Sio yanakaribia, yamefikia mwisho.
 
Jiwe aliyetumia mkono wa Chuma alifanikiwa? We unadhani angekubalika angeiba uchaguzi kishamba
Lini chadema walishindwa uchaguzi wakakubali? Lini chadema walishindwa kesi wakakubali. Uhalali wa chadema katika ushindi ni wanaposhinda wao jambo lolote, ila wakishindwa kwao ni haramu.

Ndio maana Jiwe hakuwaendekeza na huo upuuzi wa kitoto. Alijua mpo watoto wengi.
 
Lini Chadema wamekaa, 'Ikulu?

Unaweza unakanionyesha hata Picture ya Viongozi wa Chadema wameenda Ikulu, 'na kujadili maridhiano?
Mwenzao kaenda kuvuta hela wao huku wanaambiwa maridhiano. Juzi kaenda kumaliziwa pesa iliyobaki.
 
Lini Chadema wamekaa, 'Ikulu?

Unaweza unakanionyesha hata Picture ya Viongozi wa Chadema wameenda Ikulu, 'na kujadili maridhiano?
Mbowe ameanza kwenda, na taarifa zilizopo next time wataenda viongozi 10 wa Chadema, wa CCM, na wa serikali, najua ninachoandika.
 
Udhaifu wake wa kiuongozi na kutojiamini utasababisha apelekeshwe sana na wapinzani na kuitwa majina yote.

JK alijaribu kutafuta muafaka na hao jamaa akaishia kubakia na kinana na nape tu kwenye chama. Wanaccm walimuacha na upinzani ukawa unashangilia kuwa chama kinamfia mikononi na kwamba anaenda kuweka historia ya mwenyekiti wa kwanza ccm kufiwa na chama mkononi.
Wewe msambaa wa ajabu sana
 
Back
Top Bottom