Hivi kwenye hii serikali kuna waziri boga kama Ngeleja? ila si Sengerema peke yake Manyoni mashariki
kuna boga moja linaitwa J. Chiligati wana manyoni hawataki kumsikia,hivyo Chadema ijiandae kuchukua
jimbo pia.
Hapa inabidi elimu ya uraia kwa wapiga kura ndo uwe wimbo wa jimbo kwa wakazi wa sengerema.Maana huku maeneo ya vijijini hasa vijiji vya ndani ndani bado inahitajika kazi ya ziada.CDM ihakikishe kwamba kila kijiji,mtaa na vitongoji vyake kuna mashina ya CDM,hasa ukanda wa mwambao wa ziwa victoria,CHIFUNFU,LUGONGO,KASENYI,NYAMAHONA,KAMANGA,NYAMAZUGO,KATUNGURU,BUSISI,NYANZUMLA,etc...!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.