maguzu masese
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 283
- 139
Maneno
hayo yalisemwa jana na Kamanda Mawazo wakati wa kuwaaga waandamanaji
waliotembea kilomita sita kumsindikiza mgombea .Aliwaambia hata
mamilioni ya Ngeleja hayawezi tena kuwashinda, hata bastola zake anazo
watishia hazina nguvu tena
hayo yalisemwa jana na Kamanda Mawazo wakati wa kuwaaga waandamanaji
waliotembea kilomita sita kumsindikiza mgombea .Aliwaambia hata
mamilioni ya Ngeleja hayawezi tena kuwashinda, hata bastola zake anazo
watishia hazina nguvu tena