CHADEMA iwafidie wakulima wa nyanya wa Dumila na Kitele

JERUSALEMU

JF-Expert Member
Sep 19, 2012
3,106
3,523
Habari wanabodi!

Kufuatia hasara kubwa walio pata wakulima wa nyanya wa Dumila mkoani Morogoro na Kitele mkoani Mtwara, nashauri CHADEMA ichukue jukumu la kuwafidia wakulima wale japo fedha kidogo ili kuwafariji.

Kule Kitele mkoani Mtwara kuna vijana waliohitimu masomo yao St Agustine University wakaamua kujiajiri kwenye kilimo cha nyanya na Mahindi solo la nyanya limewaathiri sana.

CHADEMA wachukue hii kama fursa muhimu kwa kuwafidia japo fedha kidogo ikiwa kama mkakati wa kujijenga vijijini

Wakizembea wao sisi tuoneshe tofauti yetu na wao.wao wanataka wakulima wajiongeze, sisi tuwaongezee wakulima matumaini na faraja.
 
ukitaka serekali iwafidie basi Lowassa awatembelee ndio utajua serekali ipo
 
Awamu hii ni awamu ya GUNDU kwa wakulima na hata kwa sekta nyinginezo kama biashara na viwanda. Yaani nyanya hapa Dumila watu hawanunui sokoni badala yake wanakwenda kuchuma bure kwenye mashamba yaliyotelekezwa. Hatari sana.
 
ukitaka serekali iwafidie basi Lowassa awatembelee ndio utajua serekali ipo
Chadema lazima ichukue jukumu la chama dola. Wao wameamua kulala basi sisi tutoke kivingine.kama kila mkulima Wa Dumola na Kitele akipewa laki mbili itamfariji sana lakini kama chama itatujengea heshima na kupendwa mpaka vijijini.
 
Mwenyewe sijaelewa
Watoto wadogo hamuwezi kujua mikakati ya kisayansi.kujenga chama vijijini kunahitaji kuweka chambo.Fursa ikitokea tumia.Wale wakulima hawana hamu na serkali na chama cha mapinduzi kwa kueahamasisha walime lakini wameshindwa kuwatafutia soko.
 
Chadema imetoka wapi hapooooo?
Soma uelewe mantiki take kwanza usikurupuke kama chama kile. Chama chenye nia ya kushika dola lazima kiwe na mikakati mtambuka na endelevu.

Wale wakulima wanefadhaika na kukata tamaa.Chadema waitumie halo hii kujinufaisha kisiasa. Wawape kipooza maumivu.Hivyo watajijenga vijijini ili 2020 tusipate taabu ya kujinadi.
 
Chenge aliiagiza serikali bungeni itoe sababu za kutosha kwa nini inawazuia wakulima kuuza mazao yao nje ya nchi.

Waambie wasubiri majibu ya serikali tukufu.!
 
Awamu hii ni awamu ya GUNDU kwa wakulima na hata kwa sekta nyinginezo kama biashara na viwanda. Yaani nyanya hapa Dumila watu hawanunui sokoni badala yake wanakwenda kuchuma bure kwenye mashamba yaliyotelekezwa. Hatari sana.
Hatari sana
 
Habari wanabodi!

Kufuatia hasara kubwa walio pata wakulima wa nyanya Wa Dumila mkoani Morogoro na Kitele mkoani Mtwara, nashauri Chadema ichukue jukumu la kuwafidia wakulima wale japo fedha kidogo ili kuwafariji.

Kule Kitele mkoani Mtwara kuna vijana walio hitimu masomo yao st Agastine university wakaamua kujiajiri kwenye kilimo cha nyanya na Mahindi.solo la nyanya lime waathiri sana.

Chadema wachukue hii kama fursa muhimu kwa kuwafidia japo fedha kidogo ikiwa kama mkakati Wa kujijenga vijijini

Wakizembea wao sisi tuoneshe tofauti yetu na wao.wao wanataka wakulima wajiongeze, sisi tuwaongezee wakulima matumaini na faraja.


Hujui tofauti ya chama na serikali????
hilo ombi nahis lingekuwa sahihi kabisa kama ungeiomba serikali tukufu ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania iliyoko chini ya Rais John Joseph Pombe Magufuri ili iangalie namna ya kuwasaidia wakulima wote waliokutwa na tatizo hilo!!!!!
Serikali imejisahau xn na ndio mana watu weng tunavijua xn vyama vya siasa badala ya serikali kuu
 
Awamu hii ni awamu ya GUNDU kwa wakulima na hata kwa sekta nyinginezo kama biashara na viwanda. Yaani nyanya hapa Dumila watu hawanunui sokoni badala yake wanakwenda kuchuma bure kwenye mashamba yaliyotelekezwa. Hatari sana.
Poleni sana mkuu!

cc PNC 1 mkuu hali ikoje shambani kwako??
 
Wanapoenda Bukoba tuu ni shida,je wakienda huko mashambani?
"Tumehairisha ziara huko nje tutayashughulikia yote na hili la nyanya mniombee hiiiii"
 
Habari wanabodi!

Kufuatia hasara kubwa walio pata wakulima wa nyanya Wa Dumila mkoani Morogoro na Kitele mkoani Mtwara, nashauri Chadema ichukue jukumu la kuwafidia wakulima wale japo fedha kidogo ili kuwafariji.

Kule Kitele mkoani Mtwara kuna vijana walio hitimu masomo yao st Agastine university wakaamua kujiajiri kwenye kilimo cha nyanya na Mahindi.solo la nyanya lime waathiri sana.

Chadema wachukue hii kama fursa muhimu kwa kuwafidia japo fedha kidogo ikiwa kama mkakati Wa kujijenga vijijini

Wakizembea wao sisi tuoneshe tofauti yetu na wao.wao wanataka wakulima wajiongeze, sisi tuwaongezee wakulima matumaini na faraja.
Hebu waone viongozi wa chadema kwenye kanda hizo muone namna mnavyoweza kujua hasara iliyotokea ili kwa kushauriana mje na mpango wa kutatua , nipo tayari kuchangia kiasi fulani .
 
Back
Top Bottom