Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
- Thread starter
- #81
kama huna nia mbaya basi unasomeka vibaya ,just choose your words so careful zaidi ya hivyo unavyosema "nachagua maneno yangu vizuri" kama unaona unachagua maneno yako vizuri basi ongeza iwe na vizuri zaidi na zaidi.
Ningekuwa nazungumza na watu ambao wanashida ya kuelewa nilichoandika ningetafuta maneno mengine "mazuri zaidi". Kwa sasa ninayotumia yanajitosheleza.
Watu wame quote hapa maneno yako kuhusu CCM (NEC) kurudisha watu fulani kwa sababu unazoona ww za msingi ,Lakini hapa hutaki kitu kama hicho .Je leo ndio unaelewa maana ya demokrasia?
Kama hujasoma jibu langu, halafu nirudie jibu lile lile na wewe uulize swali lile lile hatutafika.
My take: kuhusu chama chochote kinacofanya kuhusu kuhusu wagombea wao ni kwa maslahi ya chama na wanakuwa na sababu na lazima kutakuwa na maongezi kwa wahusika na makubaliano.
Ni mfumo mbovu wakati wowote ambapo wapiga kura waliopiga kura kutoa pendekezo lao wanapopigiwa veto na watu ambao hawakupiga kura kwenye maeeneo hayo. Vinginevyo wasingewapa nafasi ya kupiga kura.
Pia kama mtu yeyote anaweza kujibu je ,je kura za maoni kwa kiasi gani zina reflect kura za wananchi wa jimbo hilo(ushindi)?Je analysis ikifanyika kuakikisha ushindi si vyema makubaliano yakawepo.?
Haijalishi; kura za maoni ni kwa ajili ya kupata mgombea wa chama fulani. Sasa kama wanachama wa huko watachagua mtu ambaye hachaguliki na wapiga kura wote hilo ni swala jingine.
Kwa kuwa hiini tetesi ,na mmoja wawahusika ni member hapa ,basi mimi naimani tutie subira tutakula vitamu.
hiyo inaitwa hekima.