Malafyale
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 13,813
- 11,123
Sio tu kuwa Regia Mtema (kilombero) na Rachel Mashishanga (Segerea)warudishwe haraka kwenye nafasi za kuwa wagombea halali wa majimbo waliyoshinda kwenye kura za maoni kupitia CHADEMA bali pia Kamati kuu ya CHADEMA iwaombe radhi wagombea hawa wawili haraka sana kwa mtafaruku huu usio na ulazima wowote ule!
Kumtoa mgombea aliyeshinda kwenye kura za maoni kwa sababu yeyote tofauti na yeye mwenyewe kujiuzuru au kuachia jimbo kwa hiari yake ni ubakaji mkubwa wa kidemokrasia;na hali inakuwa mbaya zaidi kama anayeomba aachie jimbo aliloshinda ni Mwanamke na anayepigiwa chapuo nje ya kidemokrasia kulichukua ni Mwanamme;watu wanaweza wakahusisha jambo hili la CHADEMA na "Gender biased"na sidhani kama CHADEMA watakuwa na jibu lolote valid kutujibu wakihusishwa na "unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya mwanamke"!
Acheni demokrasia ichukue mkondo wake;Regina na Rachel waachiwe nafasi zao maana walishinda kihalali kabisa;kama uliwaomba na wao walikataa hamna cha kufanya isipokuwa ni kuheshimu matakwa yao,kujaribu kutumia aina yeyote ile ya ushawishi tofauti na matakwa yao basi tusubiri aibu kubwa toka kwa watu wapenda demokrasia na tutahoji sasa CHADEMA inatofauti gani na kamati kuu ya CCM?
Gender sensitivity ni kitu cha kukiangalia sana mnapofanya uamuzi wenu wa nani agombee nyie CHADEMA;kumtoa Mwanamke aliyeshinda na kumpa nafasi hiyo Mwanamme ambaye ama alishindwa au hakuwepo kwenye kinyang'anyiro cha mwanzo kutaifanya CHADEMA nayo ihesabiwe kama chama hovyohovyo tu!
Kumtoa mgombea aliyeshinda kwenye kura za maoni kwa sababu yeyote tofauti na yeye mwenyewe kujiuzuru au kuachia jimbo kwa hiari yake ni ubakaji mkubwa wa kidemokrasia;na hali inakuwa mbaya zaidi kama anayeomba aachie jimbo aliloshinda ni Mwanamke na anayepigiwa chapuo nje ya kidemokrasia kulichukua ni Mwanamme;watu wanaweza wakahusisha jambo hili la CHADEMA na "Gender biased"na sidhani kama CHADEMA watakuwa na jibu lolote valid kutujibu wakihusishwa na "unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya mwanamke"!
Acheni demokrasia ichukue mkondo wake;Regina na Rachel waachiwe nafasi zao maana walishinda kihalali kabisa;kama uliwaomba na wao walikataa hamna cha kufanya isipokuwa ni kuheshimu matakwa yao,kujaribu kutumia aina yeyote ile ya ushawishi tofauti na matakwa yao basi tusubiri aibu kubwa toka kwa watu wapenda demokrasia na tutahoji sasa CHADEMA inatofauti gani na kamati kuu ya CCM?
Gender sensitivity ni kitu cha kukiangalia sana mnapofanya uamuzi wenu wa nani agombee nyie CHADEMA;kumtoa Mwanamke aliyeshinda na kumpa nafasi hiyo Mwanamme ambaye ama alishindwa au hakuwepo kwenye kinyang'anyiro cha mwanzo kutaifanya CHADEMA nayo ihesabiwe kama chama hovyohovyo tu!