CHADEMA itaweza kukaa meza moja na CUF?

Mathias Byabato

JF-Expert Member
Nov 24, 2010
1,020
690
Hii ni kwa maoni yangu.

Chama cha wananchi CUF kina mizizi tosha kule Zanzibar na CHADEMA kina Mizizi ya kutosha Bara.

CUF wapo katika umoja na CCM na wachambuzi wnakifafanisha CUF na sehemu ya CCM yahani CCM B.

Sasa mawazo ya CHADEMA na watu wengine kudhani CCM -B inaweza kuungana na CHADEMA kutengeza upinzani bungeni ni kujidanganya tu.

Wenye mawazo hayo ni kutaka kusema kuwa sasa CUF itakuwa ikijiuma na kupuliza kitu ambacho hakiwezekani.

Katibu mkuu wa CUF yupo IKULU zanzibar na Dk Sheini wa CCM wakipanga namna ya kuongoza nchi kisha wabunge wa CUF waungane na CHADEMA kukosoa mambo fulani yanayofanywa serikali ya CCM hili haliwezekani.

CHADEMA tafuta mbinu mbadala achana na CUF

Byabato
 
Hoja ya kuunganisha upinzani aidha ndani ya bunge au nje ya bunge haina mashiko. Mpaka sasa tushajua ni chama gani ni cha upinzani kweli na vipi ni makapi na vipi ni washirika wa CCM. Na kwa kuwa vyama vyote havina malengo yanayofanana basi ni upumbavu kulazimisha muungano.
 
hii ni kwa maoni yangu.

Chama cha wananchi cuf kina mizizi tosha kule zanzibar na chadema kina mizizi ya kutosha bara.

Cuf wapo katika umoja na ccm na wachambuzi wnakifafanisha cuf na sehemu ya ccm yahani ccm b.

Sasa mawazo ya chadema na watu wengine kudhani ccm -b inaweza kuungana na chadema kutengeza upinzani bungeni ni kujidanganya tu.

Wenye mawazo hayo ni kutaka kusema kuwa sasa cuf itakuwa ikijiuma na kupuliza kitu ambacho hakiwezekani.

Katibu mkuu wa cuf yupo ikulu zanzibar na dk sheini wa ccm wakipanga namna ya kuongoza nchi kisha wabunge wa cuf waungane na chadema kukosoa mambo fulani yanayofanywa serikali ya ccm hili haliwezekani.

Chadema tafuta mbinu mbadala achana na cuf

byabato

kweli hakuna haja ya kuhangaika na ccm b ilhali cdm inajitosheleza kwa kila kitu
 
Hii iko wazi Byabato. Huwezi kuweka cuf (Chama cha ugaidi na ufisadi) pamoja na Chadema. ni vitu viwili tofauti sana. Chadema kaeni mbali na CUF alafu wacha waone mchezo unavyochezwa wao waendelee kuwa visiwani na sisi tuwe bara tuone upinzani wa kweli utakuwa wapi!
 
CCM wakimsimamisha Mkatoliki mwenzenu, nyie nyote mtarudi huko mlipokimbia. Hapo ndipo mtakapokuja kujua kuwa nyie mlikuwa CCM-A na sumu zenu za udini mlizolambishwa na viongozi wenu wa dini zitawasuta! WANAFIKI WAKUBWA!
 
Hii iko wazi Byabato. Huwezi kuweka cuf (Chama cha ugaidi na ufisadi) pamoja na Chadema. ni vitu viwili tofauti sana. Chadema kaeni mbali na CUF alafu wacha waone mchezo unavyochezwa wao waendelee kuwa visiwani na sisi tuwe bara tuone upinzani wa kweli utakuwa wapi!

Usisahau CUF ni chama cha kidini zaidi kuliko kisiasa ! Kuungana nao ni kijibebesha timed bombs
 
CUF ni wakuwaogopa hawakawii kulipuka na kusababisha maafa maana wanaimani Kali ya mabikira 72 kwa siku 72! Wala si wakuzungumza nao!
 
CCM wakimsimamisha Mkatoliki mwenzenu, nyie nyote mtarudi huko mlipokimbia. Hapo ndipo mtakapokuja kujua kuwa nyie mlikuwa CCM-A na sumu zenu za udini mlizolambishwa na viongozi wenu wa dini zitawasuta! WANAFIKI WAKUBWA!

CUF wanadai hawaachi nguruwe (ccm) wamalize shamba huku wakishangilia matokeo ya urais yaliyochakachuliwa, sasa huo kama si unafiki ni nini? Waendelee kula matunda ya ufisadi na mwanandoa mwenzao, ccm, historia itawahukumu milele!
 
CCM wakimsimamisha Mkatoliki mwenzenu, nyie nyote mtarudi huko mlipokimbia. Hapo ndipo mtakapokuja kujua kuwa nyie mlikuwa CCM-A na sumu zenu za udini mlizolambishwa na viongozi wenu wa dini zitawasuta! WANAFIKI WAKUBWA!

Halafu nimegundua wale washabiki wengi wa Chadema ni watu wanaopenda ubaguzi, udini, na Ukabila. Hiyo kweli, CCM wakimsimamisha Mkatoliki utaona watu wote hapa wanatoka Chadema na kwenda CCM. Sasa hivi, kuna wanachama hao hao wanaoipenda Chadema, wanaandika kwamba Lowassa ndiye awe mgombea wa CCM 2015 ili wapate kumpigia kura.

Dr. Slaa kaingizwa mkenge na hawa jamaa.
 
Guys this is too much sasa!

katiba ikibadilishwa na tukawa na serikali ya mseto, then chadema itakuwa CCM-C?

Tangu lini chadema wamakijua kuwa cuf ni cha kidini? maana miaka iliyopita kulikuwa na ushirikiano

Guys, who says that chadema will prevail by this tactics??

Kumbukeni, hii hali inaingia mpaka ndani ya chadema.
 
Hii ni kwa maoni yangu.

Chama cha wananchi CUF kina mizizi tosha kule Zanzibar na CHADEMA kina Mizizi ya kutosha Bara.

CUF wapo katika umoja na CCM na wachambuzi wnakifafanisha CUF na sehemu ya CCM yahani CCM B.

Sasa mawazo ya CHADEMA na watu wengine kudhani CCM -B inaweza kuungana na CHADEMA kutengeza upinzani bungeni ni kujidanganya tu.

Wenye mawazo hayo ni kutaka kusema kuwa sasa CUF itakuwa ikijiuma na kupuliza kitu ambacho hakiwezekani.

Katibu mkuu wa CUF yupo IKULU zanzibar na Dk Sheini wa CCM wakipanga namna ya kuongoza nchi kisha wabunge wa CUF waungane na CHADEMA kukosoa mambo fulani yanayofanywa serikali ya CCM hili haliwezekani.

CHADEMA tafuta mbinu mbadala achana na CUF

Byabato

Yaani wewe haujui maana ya serikali ya mseto, ni kusema kuwa nchi zote ambazo kuna serikali ya mseto hakuna upinzani, guys mnajiaibisha mpaka basi, wakongwe wanawaangalia mnvyomwaga sumu humu

That means chadema ilivyokuwa na umoja na ccm kigoma, then hawakuwa wapinzani tena??

mbona mnapotosha umma na kujiaibisha, mabadiliko ya katiba tunataka nini sana sana kama siyo vitu kama serilai ya mseto, mbona mnaweka room ya ccm kutawala milele?
 
Ndugu zangu yatupasa tujitahidi kuukwepa udini., kubaguana kwa misingi ya kidini au tofauti yeyote ni sumu kubwa katika ukombozi wa nchi yetu.. Ni kweli ccm wameshindwa kumeet our expectations, What we are supposed to do now..? tugombane kwa misingi ya hawa CUF (eti sijui wa dini fulani) na hawa CHADEMA (eti wa dini nyingine..) LA HASHA! Huo ni upumbavu.. CUF imewabidi kuunda serikali ya umoja wa kitaifa kwa manufaa ya watu wa Zanzibar-tusiwalaumu, na CHADEMA inatofautiana na Serikali ya ccm kwa manufaa ya watu wa Tanzania-tusiwalaumu pia.. Cha msingi tuangalie wapi tunaweza kushirikiana-Tushirikiane... Ni vipi tunaweza kubring change & unity to our societies while ourselfs are not united..? TUSIGOMBANE TUKAWAFAIDISHA CCM NDUGU ZANGU!
 
CUF wanadai hawaachi nguruwe (ccm) wamalize shamba huku wakishangilia matokeo ya urais yaliyochakachuliwa, sasa huo kama si unafiki ni nini? Waendelee kula matunda ya ufisadi na mwanandoa mwenzao, ccm, historia itawahukumu milele!

Hao viongozi wenu wamekula dongo wameshindwa kutoa huo ushahidi wa kura kuibiwa. Sasa mmebaki nyinyi waumini kurudiarudia hayo maneno kama KASUKU! Mlifanya hivi mlipodai kuwa JK amesema hataki kura za wafanyakazi LAKINI mwishowe mkachoka mkaanza kuingia kwenye mambo ya treni ya umeme Dar-Mwz masaa matatu na mfuko wa cement buku tano! Na haya pia mtayachoka unless nyie mna genes za KASUKU!
 
CUF ni wakuwaogopa hawakawii kulipuka na kusababisha maafa maana wanaimani Kali ya mabikira 72 kwa siku 72! Wala si wakuzungumza nao!

Yaani mapadri watafune mabikira ya kiume humu humu duniani na wengine ndiyo wasubiri mpaka wafe?
 
Ndugu zangu yatupasa tujitahidi kuukwepa udini., kubaguana kwa misingi ya kidini au tofauti yeyote ni sumu kubwa katika ukombozi wa nchi yetu.. Ni kweli ccm wameshindwa kumeet our expectations, What we are supposed to do now..? tugombane kwa misingi ya hawa CUF (eti sijui wa dini fulani) na hawa CHADEMA (eti wa dini nyingine..) LA HASHA! Huo ni upumbavu.. CUF imewabidi kuunda serikali ya umoja wa kitaifa kwa manufaa ya watu wa Zanzibar-tusiwalaumu, na CHADEMA inatofautiana na Serikali ya ccm kwa manufaa ya watu wa Tanzania-tusiwalaumu pia.. Cha msingi tuangalie wapi tunaweza kushirikiana-Tushirikiane... Ni vipi tunaweza kubring change & unity to our societies while ourselfs are not united..? TUSIGOMBANE TUKAWAFAIDISHA CCM NDUGU ZANGU!

Hekima na busasra zako haziwi-shared na wanachama wengi wa ukumbi huu. Wengi wao humu ukiwauliza uchaguzi wa 2005 walikuwa wanashabikia chama gani, watakwambia CCM (hata kama wanakataa) lakini pindi Mwongozo ulipotoka na wao wakageuka "wanaharakati".
 
Hawa KAFU hawana cha dili Tanzania Bara na wanaitia hasara tu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwani wana faida gani katika Bunge la Jamhuri ? Zawadi ya kuwapatia kama Wasaliti ni kuwanyima kura Tanzania Bara ili wasiwe dili kabisa . Wanaleta Kichefu chefu tu Tanzania Bara , Core value yao hawa ni dini hawa !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hawa KAFU hawana cha dili Tanzania Bara na wanaitia hasara tu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwani wana faida gani katika Bunge la Jamhuri ? Zawadi ya kuwapatia kama Wasaliti ni kuwanyima kura Tanzania Bara ili wasiwe dili kabisa . Wanaleta Kichefu chefu tu Tanzania Bara , Core value yao hawa ni dini hawa !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Jitu la kuwasili utalijua tu, hata Kiswahili cha mjini anachojaribu kuandika nacho kinamshinda. Kwanza kajifunze lugha ya mjini vizuri kabla ya kujifanya mtoto wa mjini na kutaka kuandika Kiswahili cha mjini.
 
Back
Top Bottom