Umesema kitu muhimu, yaani inteligensia ndani ya chama, iimarishwe. Kaka Rwakatare kazi hiyo.Kwa sasa inatakiwa CHADEMA kuwa makini kweli kweli kwani kuna MAMLUIKI kibao wanakimbia CCM na Kuingia CHADEMA ili kukiua kisiweze kushika Dola. Kila anayetoka CCM na kujiunga CHADEMA achunguzwe asije kutuulia Chama Chetu.
Ningekuwa na uwezo, ningemwambia Mwanafalsafa Isango aichmbue hii mada kwa undani zaidi. Natamani kuona Tanzania yenye watu wanaowajibika.Very good critical analysis.
Nikijaribu kulinganisha utendaji wa secretary ya CHADEMA vs CCM naona tofauti kubwa sana.
Kifupi CHADEMA wamejipanga vizuri sana kuongoza wananchi.
Hivi uchwara ni nini?
Rest in everlasting fire.Chadema hawawezi kupewa nchi mpaka Kanisa liwe halipati tena maslahi kutoka CCM
Cant be a coward, because I believe in God's righteousness, (Haki ya Mungu). Hiyo mabwepande ni ya Mashetani wa CCM.Nu pori moja uko dar linaitwa mabwepande........au kwa maelezo zaidi kamuulize rostam alikuwa anafanya kazi huko yeye anauzoefu.......
Wanakutisha na Mabwepande, si nasikia unakaa hukohuko.Cant be a coward, because I believe in God's righteousness, (Haki ya Mungu). Hiyo mabwepande ni ya Mashetani wa CCM.
Nimepata: Swahili Definition:-enye kutokuwa na thamani; duni; -a kudharaulika. Swahili Example: Huo ni uzushi wa nyie waandishi uchwara. Ninaendelea kusisitiza kuwa .Wenye majibu watakupatia Communist!
Kwa sasa inatakiwa CHADEMA kuwa makini kweli kweli kwani kuna MAMLUIKI kibao wanakimbia CCM na Kuingia CHADEMA ili kukiua kisiweze kushika Dola. Kila anayetoka CCM na kujiunga CHADEMA achunguzwe asije kutuulia Chama Chetu.