johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,796
- 141,694
Ikumbukwe kuwa wagombea wengi wa ubunge wa Chadema katika majimbo mwaka 2015 ni wale waliotoka CCM baada ya kushindwa kura za maoni na kumfuata Lowassa pale Ufipa.
Mwaka huu fursa hiyo haitakuwepo na hivyo Chadema inategemewa kuwa na wagombea ubunge wachache sana watakaotokea maeneo ya mijini tu.
Maendeleo hayana vyama!
Mwaka huu fursa hiyo haitakuwepo na hivyo Chadema inategemewa kuwa na wagombea ubunge wachache sana watakaotokea maeneo ya mijini tu.
Maendeleo hayana vyama!