VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
CHADEMA ni chama makini. CCM ni chama tawala.Sifa hizo mbili zinavitofautisha vyama hivi na kuonyesha nguvu zao.CHADEMA ina safari ndefu ya kuikomboa nchi hii.Ijikite kwenye kutekeleza ahadi zao kwa wananchi kwa yale Majimbo inayoyaongoza.Isipelekeshwe na kesi za uchaguzi.Wananchi hawatapima,mwaka 2015,nani alishinda kesi wapi bali nani katekeleza nini.Mwenye masikio na asikie...