mkalamo
JF-Expert Member
- Sep 7, 2013
- 324
- 347
- Thread starter
- #41
Vizuri kama hamuwatambui hao kuwa wanachama wenu swali langu kwako je mnalitambua bunge na mnatambua mchakato mzima wa uchaguzi wa 2020 kuwa ni halali?huyu mtoa mada hajielewi alafu anauliza majibu anajijibu kisha aelewi anachojibu, hivi wewe unaona wametokana na chama gani na wamepitishwa na nani mpaka kuwa wabunge wa kuteuliwa?mbona macho na masikio unayo?kwanini unasumbua watu watafakari andishi lako?sisi kama chadema hatuwatambui elewa hivyo