CHADEMA iseme inataka nini kwa Wabunge 19 Viti Maalum

huyu mtoa mada hajielewi alafu anauliza majibu anajijibu kisha aelewi anachojibu, hivi wewe unaona wametokana na chama gani na wamepitishwa na nani mpaka kuwa wabunge wa kuteuliwa?mbona macho na masikio unayo?kwanini unasumbua watu watafakari andishi lako?sisi kama chadema hatuwatambui elewa hivyo
Vizuri kama hamuwatambui hao kuwa wanachama wenu swali langu kwako je mnalitambua bunge na mnatambua mchakato mzima wa uchaguzi wa 2020 kuwa ni halali?
 
Vizuri kama hamuwatambui hao kuwa wanachama wenu swali langu kwako je mnalitambua bunge na mnatambua mchakato mzima wa uchaguzi wa 2020 kuwa ni halali?
Kwa madai yao hawatambui matokeo ya uchaguzi 2020 ila wamepeleka barua bungeni kuwavua wanachama wao 19 uanachama. Sasa bunge ili lilitokana na uchaguzi wa mwaka gani kama sii wa 2020?
 
Back
Top Bottom