CHADEMA is my loving, my amazing and my awesome Political Party, I dedicate to Tanzanians

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
48,757
102,104
CHADEMA is my loving, my amazing and my awesome Political Party, I dedicate to Tanzanians

Kwa mtu mwenye mawazo huru atakubaliana na mimi kuwa CHADEMA hii ya kabla na baada ya uchaguzi wa 2010 ndiyo inayotoa muelekeo wa vipi Tanzania inatakiwa kuwa.

Juzi kupitia ITV saa mbili usiku ikaja habari kuwa Makamanda wamekutana kwa dharura kujadili juu ya mustakabali wa nchi. Moyo wangu ukafarijika sana nikajawa na amani. Taswira ya mwenyekiti Freeman Mbowe ikanitia ujasiri sana (hii hunitokea mara zote napomuona Mbowe katika video), nikamuona pia Prof. Baregu na J.J Mnyika wakiwa deep in brainstorming. Baadaye akatokea aliyekuwa mgombea wa UKAWA Ndugu na kipenzi cha Watanzania, mwana-amani Edward Lowasa. Hapo ndipo roho ya uvumilivu na mapenzi ya dhati kwa watu wangu ikanijia. Kwamba ninaweza kudhurumiwa sana lakini ni lazima busara itumike katika kupata haki yangu. Sijawahi kuona mwanasiasa mvumilivu kama Edward Lowasa.

Nikirejesha mawazo yangu katika mkutano wa CCM kumkabidhi Rais Magufuli uenyekiti wa CCM, nikawaonea huruma sana Watanzania. Watanzania wanadanganywa sana na CCM. CCM inatumia ujinga wa baadhi yetu kujinufaisha.

Sasa nikueleze kwa nini naipenda sana CHADEMA

1. Terehe 23 July, 2016 Kikwete na wenzake walikiri kwa dhati kabisa kuwa 2015 ilikuwa chupuchupu. Na nakwambieni magumu ya kumuingiza Magufuli madarakani ni zaidi ya yanayotajwa. Kikwete, Dr.Shein, Jaji Lubuva na Jecha wa Jecha wanajua. Sina uhakika kama wameshamlilia Mungu awasamehe kwa waliyoyafanya. Huo ni muziki wa Chadema unawafanya sasa CCM wajirudi kwa Watanzania.

2. CHADEMA huwa inamuumbua sana Magufuli. Magufuli amekuwa miaka 20 madarakani . Leo anaiambia Tanzania kuwa ni kweli yale yaliyopiganiwa na yanayopiganiwa na CHADEMA ni kweli tupu. Ajabu tu anasahau kuwaambia Watanzania kwa nini hakusema kabla? Kwa nini hakusema haya kabla mambo hayajaharibika zaidi. Pengine majizi yasingekuwa mengi namna hii.

3. Kuna watu walidharau sana harakati za BAVICHA za hivi majuzi kuhusu kupigania haki ya kufanya siasa. Kuna walevi wa madaraka walidiriki mpaka kukataza mikutano ya ndani. Kiko wapi leo wamebana-wameachia, mikutano ya ndani inafanyika na hata mikutano ya wazi inayofanywa na CCM inawaumbua wale wote waliounga mkono katazo la mikutano ya kisiasa. Wanabaki kushangaa tu. Kama si BAVICHA leo ingekuwaje?

4. Wakati watanzania wakijiuliza kulikoni Tanzania ya Magufuli?Mbona hali inakuwa mbaya kila siku kwa kila mtu. Mbona ubabe unakuwa mwingi?, Makamanda wa CHADEMA wamekutana kwa siku mbili kupata majibu ya maswali hayo. Watawapa majibu hivi punde.

5. Wakati CHADEMA na BAVICHA wakipigania haki ya kufanya siasa iliyokatazwa na Rais Magufuli na kuungwa mkono na wanafiki, jana Kikwete anaiunga mkono CHADEMA kuwa viongozi wa CCM wanatakiwa kwenda kuwatembelea wanachama kwenye maeneo yao. CCM inaumbuka.

6. Kuna watu walikimbilia CHADEMA katika uchaguzi wa 2015. Watu wakapiga kelele kwamba wanakuja kukisambaratisha chama. Mbowe ni mtoto wa mjini. Hivi unawezaje kumkatalia mtu asiwe mwanachama, mwache matendo yake na njaa zake vitamuumbua. Njaa imemuumbua Mgana Msindai na Fred Mpendazoe. Walikuja kusaka vyeo wamekuta patupu. Huku CHADEMA watu tunahatarisha maisha yetu bila hata sumni. Mimi sijawahi hata kuonana na Mbowe na Mnyika au Tundu Lissu. Lakini tunakomaa mpaka CCM itoke madarakani.

7. CHADEMA inasemwa sana kwa mazuri na mabaya, hii ni kwa sababu ndiye mchezaji mwenye mpira. Mtangazaji wa mpira mara zote humtangaza mchezaji mwenye mpira.

CHADEMA is my loving, my amazing and my awesome Political Party, I dedicate to Tanzanians. Nitafia CHADEMA…………………………………….Mungu niweke hai mpaka nishuhudie CHADEMA ikiingia madarakani na kufanya kazi yako.
...............................................................................................................................
Hii ni vita ambayo tutashinda.Tutabadili silaha na position lakini target ni ileile
 
Utaandika kiswanglish chote , lakini hakuna kitu huko Chadema hivi sasa, waziri Mkuu mstaafu anapotaka kuwa Mwenyekiti wa Wilaya ujue chama kimekwisha.
 
CHADEMA-LOGO.png


swissme
 
Utaandika kiswanglish chote , lakini hakuna kitu huko Chadema hivi sasa, waziri Mkuu mstaafu anapotaka kuwa Mwenyekiti wa Wilaya ujue chama kimekwisha.
,,Kama Hamna kitu Mbona mkutano mzima mlikuwa mkiwazungumzia???? Mkasahau kunadi sera Za ccm mkaishia kuwananga chadema!!,hatakama mtu alianza kupoteza imani na chadema,,kwa ule mkutano imani imerudi maradufu,chadema ni tishio kwa watawala
 
Naona makamanda wameamua kutoa stress
Hivi kamati kuu bado inakutana au kunatamko lolote limetoka
 
Umeongea vema, kuna mtu anamnanga sumaye kugombea cheo cha chini, je angegombea uenyekit taifa ungemshangilia?? So sitegemei kauli nzuri toka kwa mpinzani. Ila nampongeza sumaye kuanzia chini maana angeanzia juu ingekua shida ziad . Mgesema amekuja kutaka madaraka makubwa makubwa aliokosa ccm. Na kwa vile mtu wa kaskazn mngesema wanarithisha!! Kwenda zenu huko!!
 
CHADEMA is my loving, my amazing and my awesome Political Party, I dedicate to Tanzanians

Kwa mtu mwenye mawazo huru atakubaliana na mimi kuwa CHADEMA hii ya kabla na baada ya uchaguzi wa 2010 ndiyo inayotoa muelekeo wa vipi Tanzania inatakiwa kuwa.

Juzi kupitia ITV saa mbili usiku ikaja habari kuwa Makamanda wamekutana kwa dharura kujadili juu ya mustakabali wa nchi. Moyo wangu ukafarijika sana nikajawa na amani. Taswira ya mwenyekiti Freeman Mbowe ikanitia ujasiri sana (hii hunitokea mara zote napomuona Mbowe katika video), nikamuona pia Prof. Baregu na J.J Mnyika wakiwa deep in brainstorming. Baadaye akatokea aliyekuwa mgombea wa UKAWA Ndugu na kipenzi cha Watanzania, mwana-amani Edward Lowasa. Hapo ndipo roho ya uvumilivu na mapenzi ya dhati kwa watu wangu ikanijia. Kwamba ninaweza kudhurumiwa sana lakini ni lazima busara itumike katika kupata haki yangu. Sijawahi kuona mwanasiasa mvumilivu kama Edward Lowasa.

Nikirejesha mawazo yangu katika mkutano wa CCM kumkabidhi Rais Magufuli uenyekiti wa CCM, nikawaonea huruma sana Watanzania. Watanzania wanadanganywa sana na CCM. CCM inatumia ujinga wa baadhi yetu kujinufaisha.

Sasa nikueleze kwa nini naipenda sana CHADEMA

1. Terehe 23 July, 2016 Kikwete na wenzake walikiri kwa dhati kabisa kuwa 2015 ilikuwa chupuchupu. Na nakwambieni magumu ya kumuingiza Magufuli madarakani ni zaidi ya yanayotajwa. Kikwete, Dr.Shein, Jaji Lubuva na Jecha wa Jecha wanajua. Sina uhakika kama wameshamlilia Mungu awasamehe kwa waliyoyafanya. Huo ni muziki wa Chadema unawafanya sasa CCM wajirudi kwa Watanzania.

2. CHADEMA huwa inamuumbua sana Magufuli. Magufuli amekuwa miaka 20 madarakani . Leo anaiambia Tanzania kuwa ni kweli yale yaliyopiganiwa na yanayopiganiwa na CHADEMA ni kweli tupu. Ajabu tu anasahau kuwaambia Watanzania kwa nini hakusema kabla? Kwa nini hakusema haya kabla mambo hayajaharibika zaidi. Pengine majizi yasingekuwa mengi namna hii.

3. Kuna watu walidharau sana harakati za BAVICHA za hivi majuzi kuhusu kupigania haki ya kufanya siasa. Kuna walevi wa madaraka walidiriki mpaka kukataza mikutano ya ndani. Kiko wapi leo wamebana-wameachia, mikutano ya ndani inafanyika na hata mikutano ya wazi inayofanywa na CCM inawaumbua wale wote waliounga mkono katazo la mikutano ya kisiasa. Wanabaki kushangaa tu. Kama si BAVICHA leo ingekuwaje?

4. Wakati watanzania wakijiuliza kulikoni Tanzania ya Magufuli?Mbona hali inakuwa mbaya kila siku kwa kila mtu. Mbona ubabe unakuwa mwingi?, Makamanda wa CHADEMA wamekutana kwa siku mbili kupata majibu ya maswali hayo. Watawapa majibu hivi punde.

5. Wakati CHADEMA na BAVICHA wakipigania haki ya kufanya siasa iliyokatazwa na Rais Magufuli na kuungwa mkono na wanafiki, jana Kikwete anaiunga mkono CHADEMA kuwa viongozi wa CCM wanatakiwa kwenda kuwatembelea wanachama kwenye maeneo yao. CCM inaumbuka.

6. Kuna watu walikimbilia CHADEMA katika uchaguzi wa 2015. Watu wakapiga kelele kwamba wanakuja kukisambaratisha chama. Mbowe ni mtoto wa mjini. Hivi unawezaje kumkatalia mtu asiwe mwanachama, mwache matendo yake na njaa zake vitamuumbua. Njaa imemuumbua Mgana Msindai na Fred Mpendazoe. Walikuja kusaka vyeo wamekuta patupu. Huku CHADEMA watu tunahatarisha maisha yetu bila hata sumni. Mimi sijawahi hata kuonana na Mbowe na Mnyika au Tundu Lissu. Lakini tunakomaa mpaka CCM itoke madarakani.

7. CHADEMA inasemwa sana kwa mazuri na mabaya, hii ni kwa sababu ndiye mchezaji mwenye mpira. Mtangazaji wa mpira mara zote humtangaza mchezaji mwenye mpira.

CHADEMA is my loving, my amazing and my awesome Political Party, I dedicate to Tanzanians. Nitafia CHADEMA…………………………………….Mungu niweke hai mpaka nishuhudie CHADEMA ikiingia madarakani na kufanya kazi yako.
Mpende mkeo wewe. Hiyo SACCOS itakufa tu.
 
CHADEMA is my loving, my amazing and my awesome Political Party, I dedicate to Tanzanians

Kwa mtu mwenye mawazo huru atakubaliana na mimi kuwa CHADEMA hii ya kabla na baada ya uchaguzi wa 2010 ndiyo inayotoa muelekeo wa vipi Tanzania inatakiwa kuwa.

Juzi kupitia ITV saa mbili usiku ikaja habari kuwa Makamanda wamekutana kwa dharura kujadili juu ya mustakabali wa nchi. Moyo wangu ukafarijika sana nikajawa na amani. Taswira ya mwenyekiti Freeman Mbowe ikanitia ujasiri sana (hii hunitokea mara zote napomuona Mbowe katika video), nikamuona pia Prof. Baregu na J.J Mnyika wakiwa deep in brainstorming. Baadaye akatokea aliyekuwa mgombea wa UKAWA Ndugu na kipenzi cha Watanzania, mwana-amani Edward Lowasa. Hapo ndipo roho ya uvumilivu na mapenzi ya dhati kwa watu wangu ikanijia. Kwamba ninaweza kudhurumiwa sana lakini ni lazima busara itumike katika kupata haki yangu. Sijawahi kuona mwanasiasa mvumilivu kama Edward Lowasa.

Nikirejesha mawazo yangu katika mkutano wa CCM kumkabidhi Rais Magufuli uenyekiti wa CCM, nikawaonea huruma sana Watanzania. Watanzania wanadanganywa sana na CCM. CCM inatumia ujinga wa baadhi yetu kujinufaisha.

Sasa nikueleze kwa nini naipenda sana CHADEMA

1. Terehe 23 July, 2016 Kikwete na wenzake walikiri kwa dhati kabisa kuwa 2015 ilikuwa chupuchupu. Na nakwambieni magumu ya kumuingiza Magufuli madarakani ni zaidi ya yanayotajwa. Kikwete, Dr.Shein, Jaji Lubuva na Jecha wa Jecha wanajua. Sina uhakika kama wameshamlilia Mungu awasamehe kwa waliyoyafanya. Huo ni muziki wa Chadema unawafanya sasa CCM wajirudi kwa Watanzania.

2. CHADEMA huwa inamuumbua sana Magufuli. Magufuli amekuwa miaka 20 madarakani . Leo anaiambia Tanzania kuwa ni kweli yale yaliyopiganiwa na yanayopiganiwa na CHADEMA ni kweli tupu. Ajabu tu anasahau kuwaambia Watanzania kwa nini hakusema kabla? Kwa nini hakusema haya kabla mambo hayajaharibika zaidi. Pengine majizi yasingekuwa mengi namna hii.

3. Kuna watu walidharau sana harakati za BAVICHA za hivi majuzi kuhusu kupigania haki ya kufanya siasa. Kuna walevi wa madaraka walidiriki mpaka kukataza mikutano ya ndani. Kiko wapi leo wamebana-wameachia, mikutano ya ndani inafanyika na hata mikutano ya wazi inayofanywa na CCM inawaumbua wale wote waliounga mkono katazo la mikutano ya kisiasa. Wanabaki kushangaa tu. Kama si BAVICHA leo ingekuwaje?

4. Wakati watanzania wakijiuliza kulikoni Tanzania ya Magufuli?Mbona hali inakuwa mbaya kila siku kwa kila mtu. Mbona ubabe unakuwa mwingi?, Makamanda wa CHADEMA wamekutana kwa siku mbili kupata majibu ya maswali hayo. Watawapa majibu hivi punde.

5. Wakati CHADEMA na BAVICHA wakipigania haki ya kufanya siasa iliyokatazwa na Rais Magufuli na kuungwa mkono na wanafiki, jana Kikwete anaiunga mkono CHADEMA kuwa viongozi wa CCM wanatakiwa kwenda kuwatembelea wanachama kwenye maeneo yao. CCM inaumbuka.

6. Kuna watu walikimbilia CHADEMA katika uchaguzi wa 2015. Watu wakapiga kelele kwamba wanakuja kukisambaratisha chama. Mbowe ni mtoto wa mjini. Hivi unawezaje kumkatalia mtu asiwe mwanachama, mwache matendo yake na njaa zake vitamuumbua. Njaa imemuumbua Mgana Msindai na Fred Mpendazoe. Walikuja kusaka vyeo wamekuta patupu. Huku CHADEMA watu tunahatarisha maisha yetu bila hata sumni. Mimi sijawahi hata kuonana na Mbowe na Mnyika au Tundu Lissu. Lakini tunakomaa mpaka CCM itoke madarakani.

7. CHADEMA inasemwa sana kwa mazuri na mabaya, hii ni kwa sababu ndiye mchezaji mwenye mpira. Mtangazaji wa mpira mara zote humtangaza mchezaji mwenye mpira.

CHADEMA is my loving, my amazing and my awesome Political Party, I dedicate to Tanzanians. Nitafia CHADEMA…………………………………….Mungu niweke hai mpaka nishuhudie CHADEMA ikiingia madarakani na kufanya kazi yako.

Kwa jinsi ulivyoonyesha mahaba ni vigumu kwako kufikiri objectively, mabaya ya Chadema na viongozi wake kwako lazima yataonekana mazuri tu. Hamisha hayo mahaba uyaweke kwenye nchi yako, itakusaidia maana binadamu wanabadilika sana.
 
CHADEMA is my loving, my amazing and my awesome Political Party, I dedicate to Tanzanians

Kwa mtu mwenye mawazo huru atakubaliana na mimi kuwa CHADEMA hii ya kabla na baada ya uchaguzi wa 2010 ndiyo inayotoa muelekeo wa vipi Tanzania inatakiwa kuwa.

Juzi kupitia ITV saa mbili usiku ikaja habari kuwa Makamanda wamekutana kwa dharura kujadili juu ya mustakabali wa nchi. Moyo wangu ukafarijika sana nikajawa na amani. Taswira ya mwenyekiti Freeman Mbowe ikanitia ujasiri sana (hii hunitokea mara zote napomuona Mbowe katika video), nikamuona pia Prof. Baregu na J.J Mnyika wakiwa deep in brainstorming. Baadaye akatokea aliyekuwa mgombea wa UKAWA Ndugu na kipenzi cha Watanzania, mwana-amani Edward Lowasa. Hapo ndipo roho ya uvumilivu na mapenzi ya dhati kwa watu wangu ikanijia. Kwamba ninaweza kudhurumiwa sana lakini ni lazima busara itumike katika kupata haki yangu. Sijawahi kuona mwanasiasa mvumilivu kama Edward Lowasa.

Nikirejesha mawazo yangu katika mkutano wa CCM kumkabidhi Rais Magufuli uenyekiti wa CCM, nikawaonea huruma sana Watanzania. Watanzania wanadanganywa sana na CCM. CCM inatumia ujinga wa baadhi yetu kujinufaisha.

Sasa nikueleze kwa nini naipenda sana CHADEMA

1. Terehe 23 July, 2016 Kikwete na wenzake walikiri kwa dhati kabisa kuwa 2015 ilikuwa chupuchupu. Na nakwambieni magumu ya kumuingiza Magufuli madarakani ni zaidi ya yanayotajwa. Kikwete, Dr.Shein, Jaji Lubuva na Jecha wa Jecha wanajua. Sina uhakika kama wameshamlilia Mungu awasamehe kwa waliyoyafanya. Huo ni muziki wa Chadema unawafanya sasa CCM wajirudi kwa Watanzania.

2. CHADEMA huwa inamuumbua sana Magufuli. Magufuli amekuwa miaka 20 madarakani . Leo anaiambia Tanzania kuwa ni kweli yale yaliyopiganiwa na yanayopiganiwa na CHADEMA ni kweli tupu. Ajabu tu anasahau kuwaambia Watanzania kwa nini hakusema kabla? Kwa nini hakusema haya kabla mambo hayajaharibika zaidi. Pengine majizi yasingekuwa mengi namna hii.

3. Kuna watu walidharau sana harakati za BAVICHA za hivi majuzi kuhusu kupigania haki ya kufanya siasa. Kuna walevi wa madaraka walidiriki mpaka kukataza mikutano ya ndani. Kiko wapi leo wamebana-wameachia, mikutano ya ndani inafanyika na hata mikutano ya wazi inayofanywa na CCM inawaumbua wale wote waliounga mkono katazo la mikutano ya kisiasa. Wanabaki kushangaa tu. Kama si BAVICHA leo ingekuwaje?

4. Wakati watanzania wakijiuliza kulikoni Tanzania ya Magufuli?Mbona hali inakuwa mbaya kila siku kwa kila mtu. Mbona ubabe unakuwa mwingi?, Makamanda wa CHADEMA wamekutana kwa siku mbili kupata majibu ya maswali hayo. Watawapa majibu hivi punde.

5. Wakati CHADEMA na BAVICHA wakipigania haki ya kufanya siasa iliyokatazwa na Rais Magufuli na kuungwa mkono na wanafiki, jana Kikwete anaiunga mkono CHADEMA kuwa viongozi wa CCM wanatakiwa kwenda kuwatembelea wanachama kwenye maeneo yao. CCM inaumbuka.

6. Kuna watu walikimbilia CHADEMA katika uchaguzi wa 2015. Watu wakapiga kelele kwamba wanakuja kukisambaratisha chama. Mbowe ni mtoto wa mjini. Hivi unawezaje kumkatalia mtu asiwe mwanachama, mwache matendo yake na njaa zake vitamuumbua. Njaa imemuumbua Mgana Msindai na Fred Mpendazoe. Walikuja kusaka vyeo wamekuta patupu. Huku CHADEMA watu tunahatarisha maisha yetu bila hata sumni. Mimi sijawahi hata kuonana na Mbowe na Mnyika au Tundu Lissu. Lakini tunakomaa mpaka CCM itoke madarakani.

7. CHADEMA inasemwa sana kwa mazuri na mabaya, hii ni kwa sababu ndiye mchezaji mwenye mpira. Mtangazaji wa mpira mara zote humtangaza mchezaji mwenye mpira.

CHADEMA is my loving, my amazing and my awesome Political Party, I dedicate to Tanzanians. Nitafia CHADEMA…………………………………….Mungu niweke hai mpaka nishuhudie CHADEMA ikiingia madarakani na kufanya kazi yako.
Kwa sababu hizo na uoza ulio ndani ya ccm ndio ulio tufanya mimi na wenzangu 1000 kuhamua kujiunga na chadema chama imara,chama dume la siasa hapa nchini tanzania na mfano bora kwa vyama vingine vya upinzani barani afrika
 
Utaandika kiswanglish chote , lakini hakuna kitu huko Chadema hivi sasa, waziri Mkuu mstaafu anapotaka kuwa Mwenyekiti wa Wilaya ujue chama kimekwisha.
Ccm kama ni gari sasa imeshakuwa mkweche na ni bora liende kwa kuchanganya oil chafu na mpya na makapi na nafaka mpya
 
,,Kama Hamna kitu Mbona mkutano mzima mlikuwa mkiwazungumzia???? Mkasahau kunadi sera Za ccm mkaishia kuwananga chadema!!,hatakama mtu alianza kupoteza imani na chadema,,kwa ule mkutano imani imerudi maradufu,chadema ni tishio kwa watawala
Ccm wanaitangaza cdm bila wao kujitambua
 
Kwa sababu hizo na uoza ulio ndani ya ccm ndio ulio tufanya mimi na wenzangu 1000 kuhamua kujiunga na chadema chama imara,chama dume la siasa hapa nchini tanzania na mfano bora kwa vyama vingine vya upinzani barani afrika

WEKA WALAU KAUSHAHIDI MKIPOKEA HIZO KADI ZA CHADEMA!! Hata picha tu ya kuonyesha hao wanachama hewa mkijiunga haipo!!!!!!!! UNACHEKESHA sana wewe na wanachama hewa wako koko elfu moja.
 
22 Reactions
Reply
Back
Top Bottom