CHADEMA, Intelijensia iliyotumika kumfukuza Zitto ilikuwa wapi kwa Nassari?

Zitto kutumwa au kutaka kugombea uenyekiti ni kuua chama? Kivipi?
Yaani mwanachama wa chama cha kidemokrasia kutaka kugombea uenyekiti kwenye uchaguzi halali wa chama ni kuua chama?
Kama wanachama mlijua hilo kwanini asiachwe agombee afu msimpe kura ili baada ya afeli kidemocrasia? Why chama hakiku opt njia hii ambayo ni pure democratically ku eliminate threat ya kuua chama kama unavyosema?
Viongozi na wanachama wa Kanda ile hawakutaka Zitto agombee maana influence yake kati ya wanachama ni kubwa kuliko mwenyekiti na ungefanyika uchaguzi fair and square zitto angeshinda. Period
Walifikia hatua ya kufanya udukuzi kwenye simu za Zitto, gazeti lao (Mwanahalisi) likachapisha taarifa za mawasiliano ya Zitto na Rostam, na Jack Zoka.
 
Wasalaam wakuu.
Nimekaa chini na kutafakari saga na hatimaye maamuzi ya kumfukuza Uanachama Zitto miaka almost mitano iliyopita na issue ya ‘Dogo janga’ mapema mwaka huu.

Kwanza, kama ni kweli ulikua mpango, basi niisifu intelligence ya CCM kwenye issue ya Ubunge wa Nassari, ulipangwa na kutekelezwa kwa ustadi wa hali ya juu. Ni kete ambayo Chadema/ Ukawa hawakuona ikichezwa, wamekua typical outclassed.

Je, kuna sababu tofauti na bias ya ukanda zilizosababisha swala la Nassari lisionwe na kushughulikiwa na Chadema mapema? Intelligence ya chama ilikua wapi kuliona hili? Viongozi na Wazee wa chama je?

Hata baada ya maamuzi ya kuvuliwa ubunge wake, bado kulikua na divided opinion ndani ya CHADEMA kuhusu Nassari, vijana makini kama Godlisten Malisa waliweka wazi wasiwasi wao kwa hoja kwamba ni issue staged lakini viongozi wakubwa bado wakaendelea kumuamini dogo janja, hii ikikua ni nafasi ya pili kwa intelligence ya chama kurekebisha makosa yao ( baada ya kushindwa ‘kuzuia’ hii blunder kutokea’) lakini inaonekana wali-side na Viongozi wakubwa walio bias , na uthibitishi wa hilo ni Nassari alivyopewa nafasi ya kufanya Press ofisi kuu ya chama Kinondoni na kutoa sababu dhaifu za kutoonekana bungeni ambazo actually zilikua ni insult kwa wapiga kura wake waliomtuma akawawakilishe Bungeni. Again, sababu kuu iliyoruhusu hili ni ile ile, bias kwa sababu ya Ukanda unaoendelea kuitafuna Chadema.

Issue ya Nassari ni big win kwa CCM na ni matokeo ya kuaminiana kikanda huku mkiamini watu wa maeneo mengine ndani ya Chama ni maadui zenu pale wanaonekana ambitious zaidi ndani ya chama, ukweli ni kuwa watu tofauti na wa kanda ‘ile’ ni walio contained na wasio ambitious.

Ukiachana na malalamiko mengine kuhusu ‘viti maalum’ and the likes, na despite ya makosa ambayo yawezekana Zitto aliyafanya ( kama waliyofanya kina Antony Komu dhidi ya Mayor Jacob, tuhuma za mwenyekiti Mbowe kutumia chama kama leverage kwenye issue zake za biashara, kufutiwa madeni etc na makosa ya viongozi wengine) bado dini na kanda ya Zitto vilisababisha issue yake iwe handled ilivyokua na karma will hit this party hard
Shughulikieni mgogoro ndani ya chama chenu kabla ya kurukia CDM
 
we ndugu

oneni aibu na chadema mlipofika, chutama

zitto hakuwahi kuwa sehemu ya CCM, wala kutaka kuiua chadema

kosa la zitto ni kutaka uenyekiti ambao mumempa mbowe maisha yake yote

sawa na CCM walivyojipa Tanzania yote (mko sawa)

Zitto hakuwa na haja, wala hana haja ya ku hide 70% watu muhimu wa chadema wamerudi CCM, zitto hata angeenda CCM usingemlaumu wala asingeonekana wa ajabu

Zitto ka stick kwenye misimamo yake, nia zake, na kikubwa ndo kaonyesha upendo kwa chadema ambayo ishakufa(hata kama utabisha bila mzuka)..issue ya Lissu zitto ka handle kwa upendo, wakati Lissu ndio alisimamia show nzima

Narudia tena tuliokuwa chadema tangu 2007 zitto anataka kuogombea na kuzuiwa tunakumbuka

Neno chama cha demokrasia haliko ki uhalisia

Mbowe angeweza kupewa title ingine akawa juu ya kila mtu; kuweka kwenye katiba swala ambalo halifanyiwi kazi ni makosa na aibu nyie wafuata mkumbo

Tuweke rekodi sawa kabisa, zitto hakutaka kuua chadema

Upinzani saa hizi, leo hii, nyakati hizi ngumu aliyekomaa na kuufanya wangalau uonekane upo ni zitto na ACT yake

kudanganywa ulidanganywa sawa!..muda umeongea, bado bila aibu ukiwa uchi unarudi kwenye ule uongo?

chadema imefanya vingapi vya aibu??.vya kihistoria kumuacha slaa, kumleta EL ambaye karudi na kura zake 6m CCM bado haujaona aliyeua chadema??
Karudi na kura zake 6M???? Fanya research upya
 
Kwanza tambua mie sio chadema wala Act ila ninautaratibu wakufikili kitaifa(sipendi nijadili jambo kwamlengo wavyama vinavojinasibu kuleta maendeleo hadi kwetu nanyumbu zaman masasi pale kilimahewa),lazima ufikilie kwanza historia zawatu katika ongozi ,zito kalelewa nambowe kuanzia ujana wake kisiasa na napengine hatamakuzi(mbowe anaweza kua mlezi mkubwa wazito nje ya siaza).naomba nikujibu wazolako..mbowe amekua chadema iwe kwamaslahi yake binafsi au vingine japokua sipo kimlengo vyama ninamuheshimu kwani nimoja ya viongozi duniani wenyenia njema kiuongozi na kiutendaji ,kwani vyama vya tawala afrika namaeneo mengine kuchukua hatua thabiti kuangamiza au kuharibu taratibu makini zavyama vya upinzani(kuua viongozi wao,kuwanunua,au kufuta vyama vyenye nguvu).kuhusu zito kama angekua mtulivu,mnyenyekevu ,mstahimilivu asingekuja na hoja yakinafiki kugombea uenyekiti ndani yachama japokua sijamkatatalia kugombea lakini lazima chama kiwemakini..tunampaje zito nakwann aachane naunaibu katibu mkuu.pia kumbuka vyama Hivi afrika vinaukosefu wakifedha zito fedha angetoa wapi fedha kuiendesha chadema kisasa.ruzuku ilikua ndogo sana kulinganisha na sasa.elewa tu zito bado kijana nafasi ndani yachama alikua nayo.
Kwa hiyo mwenyekiti sharti kubwa ni pesa? Wampe chama mzee Sabodo?
 
Suala la ukanda linawashinda nguvu halafu ndio hao hao anapoteuliwa mtu wanaanza kusema ni wa kanda ya mheshimiwa JPM.

Usafi unaanzia nyumbani kwako ndipo unapokuwa na mamlaka ya kimaadili ya kukosoa uchafu wa nyumba ya jirani yako.
 
Inaonekana move ya zito hukuijua vizuri, rudia tena kuitafiti halafu uilinganishe na hii ya huyu dogo janja, move ya zito ilikuwa ni kukimeza chama kiwe kama cha nccr mageuzi, yaani kilichofanywa na mbatia nccr ndio alichokuwa anakifanya zito zidi ya chadema.
Na nado hakikata tamaa, alippshindwa ndani akaishia kujaribu kukimaliza akiwa nje ya chama kwa kutumia chama chake kilichokuwa kinabebwa na serikali ya mkwere.

Zitto huyu huyu leo anajiita mpinzani. Na anataka wapiga kura tumwamini. Mbona nina shaka sana???!!!
 
Alafu we jamaaa ! Kugombea uenyekiti ni kuua chama ? Jipangeni mje kivingne !mjibu hoja !
Sikila muda ufikilie kwamba kila intelijent uifanyie kazi tofauti yazito na dogo janga kama ulivomuita nikubwa mno.

Zitto alikuwa anataka kuua kabisa chama(ametumwa agombee uenyekiti),dogo janga Nassari ananunuliwa kuacha jimbo kama ilifanyika hivyo ilikua sawasawa kuachana nae aende

Hivyo chama kipo nawagombea watapatikana tu.Chini yamwenyekiti bingwa wamikakati yaushindi nasio mwenyekiti bingwa wamauaji
 
Kwanza tambua mie sio chadema wala Act ila ninautaratibu wakufikili kitaifa(sipendi nijadili jambo kwamlengo wavyama vinavojinasibu kuleta maendeleo hadi kwetu nanyumbu zaman masasi pale kilimahewa),lazima ufikilie kwanza historia zawatu katika ongozi ,zito kalelewa nambowe kuanzia ujana wake kisiasa na napengine hatamakuzi(mbowe anaweza kua mlezi mkubwa wazito nje ya siaza).naomba nikujibu wazolako..mbowe amekua chadema iwe kwamaslahi yake binafsi au vingine japokua sipo kimlengo vyama ninamuheshimu kwani nimoja ya viongozi duniani wenyenia njema kiuongozi na kiutendaji ,kwani vyama vya tawala afrika namaeneo mengine kuchukua hatua thabiti kuangamiza au kuharibu taratibu makini zavyama vya upinzani(kuua viongozi wao,kuwanunua,au kufuta vyama vyenye nguvu).kuhusu zito kama angekua mtulivu,mnyenyekevu ,mstahimilivu asingekuja na hoja yakinafiki kugombea uenyekiti ndani yachama japokua sijamkatatalia kugombea lakini lazima chama kiwemakini..tunampaje zito nakwann aachane naunaibu katibu mkuu.pia kumbuka vyama Hivi afrika vinaukosefu wakifedha zito fedha angetoa wapi fedha kuiendesha chadema kisasa.ruzuku ilikua ndogo sana kulinganisha na sasa.elewa tu zito bado kijana nafasi ndani yachama alikua nayo.

Nachokiona kwenye hoja yako ni uoga wa mabadiliko na ushahidi wa wazi kuwa Zitto angeshinda kama angegombea.
Nia njema ya mbowe kwa chama wanaCHADEMA si wanaijua vizuri? Kwanini wasimuache Zitto agombee afu wamkatae kwenye boksi la kura?
 
Walifikia hatua ya kufanya udukuzi kwenye simu za Zitto, gazeti lao (Mwanahalisi) likachapisha taarifa za mawasiliano ya Zitto na Rostam, na Jack Zoka.

Nakumbuka mkuu,
Chadema hawa kina Lema waliokua mabingwa wa kuingilia mawasiliano ya watu bila kuheshimu faragha zao leo wanalaumu Mawasiliano yao na wanasiasa wa CCM kuingiliwa? Wakati wanamfanyia Mwigamba walichomfanya kule Arusha na kuingilia mawasiliano ya Zitto hawakujua kuna right of privacy wanayolilia kwenye mitandao saizi
Karma is a bitch
 
Zitto huyu huyu leo anajiita mpinzani. Na anataka wapiga kura tumwamini. Mbona nina shaka sana???!!!

Come rain come sun Mungu akitujaalia Uzima Zitto lazima atakuja kuwa raisi wako bila kujali utampa au hutompa kura, ni swala la muda tu
 
Kama nyinyi wasifia upumbavu mlivyoishiwa hoja baada ya kushindwa kuiua chadema mmebaki kama mbwa anaeliwa na kundi la mijibwa dume kwa taarifa akitoka mbowe uenyekiti tunampa lissu yani kinatoka kisiki kinaingia kisiki mpaka mtajamba na kujinyea.

Mkuu,
You have to agree Chadema ina shrink, mnapewa mapigo na mmeshindwa kulitariate. Hamna mbinu tena. 2020 Chadema hamtopata hata Majimbo matano Tanzania Bara
 
mossad 03 ,

..Unafahamu kwamba Makamu Mwenyekiti na Katibu Mkuu wa CDM wanatokea kanda ya ziwa?

..kuna wakati wana-ccm walikuwa wakiwatuhumu cdm kuwa ni chama cha Wakristo.

..Walipojibiwa kuwa Bob Makani[ r.i.p] Mwenyekiti wa cdm aliyemtangulia Mh.Mbowe alikuwa Muislamu walipigwa na butwaa.

..ccm wasipoituhumu cdm kwa udini, wataituhumu kwa ukabila.

Mashinji ni guise tu, wouldnt you agree kuwa John Mrema anafanya kazi za kiutawala Chadema kuliko Katibu mkuu?

Despite of mapungufu ya CCM, tukubaliane tu, CCM kama chama cha kisiasa cha kitaifa kina Usawa zaidi wa Kikabila, Kikanda na Kidini. Wouldnt you agree?
 
Wasalaam wakuu.
Nimekaa chini na kutafakari saga na hatimaye maamuzi ya kumfukuza Uanachama Zitto miaka almost mitano iliyopita na issue ya ‘Dogo janga’ mapema mwaka huu.

Kwanza, kama ni kweli ulikua mpango, basi niisifu intelligence ya CCM kwenye issue ya Ubunge wa Nassari, ulipangwa na kutekelezwa kwa ustadi wa hali ya juu. Ni kete ambayo Chadema/ Ukawa hawakuona ikichezwa, wamekua typical outclassed.

Je, kuna sababu tofauti na bias ya ukanda zilizosababisha swala la Nassari lisionwe na kushughulikiwa na Chadema mapema? Intelligence ya chama ilikua wapi kuliona hili? Viongozi na Wazee wa chama je?

Hata baada ya maamuzi ya kuvuliwa ubunge wake, bado kulikua na divided opinion ndani ya CHADEMA kuhusu Nassari, vijana makini kama Godlisten Malisa waliweka wazi wasiwasi wao kwa hoja kwamba ni issue staged lakini viongozi wakubwa bado wakaendelea kumuamini dogo janja, hii ikikua ni nafasi ya pili kwa intelligence ya chama kurekebisha makosa yao ( baada ya kushindwa ‘kuzuia’ hii blunder kutokea’) lakini inaonekana wali-side na Viongozi wakubwa walio bias , na uthibitishi wa hilo ni Nassari alivyopewa nafasi ya kufanya Press ofisi kuu ya chama Kinondoni na kutoa sababu dhaifu za kutoonekana bungeni ambazo actually zilikua ni insult kwa wapiga kura wake waliomtuma akawawakilishe Bungeni. Again, sababu kuu iliyoruhusu hili ni ile ile, bias kwa sababu ya Ukanda unaoendelea kuitafuna Chadema.

Issue ya Nassari ni big win kwa CCM na ni matokeo ya kuaminiana kikanda huku mkiamini watu wa maeneo mengine ndani ya Chama ni maadui zenu pale wanaonekana ambitious zaidi ndani ya chama, ukweli ni kuwa watu tofauti na wa kanda ‘ile’ ni walio contained na wasio ambitious.

Ukiachana na malalamiko mengine kuhusu ‘viti maalum’ and the likes, na despite ya makosa ambayo yawezekana Zitto aliyafanya ( kama waliyofanya kina Antony Komu dhidi ya Mayor Jacob, tuhuma za mwenyekiti Mbowe kutumia chama kama leverage kwenye issue zake za biashara, kufutiwa madeni etc na makosa ya viongozi wengine) bado dini na kanda ya Zitto vilisababisha issue yake iwe handled ilivyokua na karma will hit this party hard
We Mossad 3, tumia muda kutafakari mpasuko ulioko chama chenu na jinsi ya kukinusuru na acha kupoteza muda wako kufikiria mambo ya CHADEMA. Hayakuhusu. Pilipili usiyoila inakuwasha nini?
 
mossad 03 ,

..Unafahamu kwamba Makamu Mwenyekiti na Katibu Mkuu wa CDM wanatokea kanda ya ziwa?

..kuna wakati wana-ccm walikuwa wakiwatuhumu cdm kuwa ni chama cha Wakristo.

..Walipojibiwa kuwa Bob Makani[ r.i.p] Mwenyekiti wa cdm aliyemtangulia Mh.Mbowe alikuwa Muislamu walipigwa na butwaa.

..ccm wasipoituhumu cdm kwa udini, wataituhumu kwa ukabila.

Mkuu,
Mwanasiasa yoyote anapokuwa na chama cha siasa anaangalia odds za yeye kukua kisiasa away from mengineyo kama kukijenga chama nk.

Under ceteris peribus, Kijana kutoka kanda na dini yoyote(tofauti) ana probability ya kupewa equal chance na kukua kulingana na potential yake akiwa CCM kuliko akiwa CHADEMA

Alichokua anapigania Chacha Wangwe(RIP) alipotangaza nia ya kugombea uenyekiti unakikumbuka? Ilikua Empowerment ya chama mikoani kwa usawa na sehemu ya ruzuku kusaidia mikoani(almost ruzuku yote ilikua ikiishia Makao makuu), Zitto pia alikua na aim hiyo.
 
Inaonekana move ya zito hukuijua vizuri, rudia tena kuitafiti halafu uilinganishe na hii ya huyu dogo janja, move ya zito ilikuwa ni kukimeza chama kiwe kama cha nccr mageuzi, yaani kilichofanywa na mbatia nccr ndio alichokuwa anakifanya zito zidi ya chadema.
Na nado hakikata tamaa, alippshindwa ndani akaishia kujaribu kukimaliza akiwa nje ya chama kwa kutumia chama chake kilichokuwa kinabebwa na serikali ya mkwere.

Whats your point mkuu? Zinatofautiana Uzito kwa sababu ya value ya wanasiasa hawa wawili lakini zina theme moja, tuhuma za usaliti dhidi ya chama kilichokulea
 
Back
Top Bottom