Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,457
- 154,323
Huu mpasuko ndani ya CHADEMA je unaimarisha chama au unakisambaratisha?
Vita ya panzi ni furaha kwa kunguru.
Vita ya panzi ni furaha kwa kunguru.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu mpasuko ndani ya CHADEMA je unaimarisha chama au unakisambaratisha?
Vita ya panzi ni furaha kwa kunguru.
Sijapata mantiki sawia juu ya yatokeayo CHADEMA, ukiangalia kwa umakini utagundua aidha ilikuwa ni wimbi la uchaguzi mkuu kwa watu kuibukia na kupata waliyokusudia (nafasi za ubunge/udiwani) ama ni hali ya umamluki uliokithiri. Hainiingii akilini mwangu kuona ni katika kipindi kifupi saana tangu uchaguzi umalizike tukishuhudia malumbano mazito ya kutishiana, kunyoosheana vidole, kutoaminiana na kutoshirikiana miongoni mwa wana-chadema.
Tukitarajia kupata majibu murua ya tathmini ya chadema kwa uchaguzi uliopita bila ya majibu...majibu yamegeuka na kuwa malumbano yasiyotoa dira ya tija kwa taifa letu na hivyo kuonyesha bado hatujawa na upinzani kamili wa kuleta mabadiliko.
Nionavyo: Chama kinayumba na muelekeo wa wenye uchu ni...kukisambaratisha huku KUNGURU akifurahia, tutafakari.
NI MAONI YANGU BINAFSI YASIYOEGEMEA PANDE YOYOTE, nawasilisha!!
Huu mpasuko ndani ya CHADEMA je unaimarisha chama au unakisambaratisha?
Vita ya panzi ni furaha kwa kunguru.
Huu mpasuko ndani ya CHADEMA je unaimarisha chama au unakisambaratisha?
Vita ya panzi ni furaha kwa kunguru.