Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Ziondoshwe mbao kuukuu na mpya zitiwe... wenye fikra mgando na ung'ang'anizi wa madaraka waondolewe, wenye fikra pevu na uwezo mkubwa wa maamuzi waingie madarakani. wenye jazba na kukosa uvumilivu wa kisiasa wakae kando, wenye weledi wa siasa na mambo mbalimbali ya mahusiano na wenye itikadi tofauti. Wasiokubali kupingwa kwenye maamuzi wajitoe na wanaokubaliana na demokrasia waingie.... ili UKAMILIFU WA LILE NENO: CHAMA CHA MAENDELEO NA DEMOKRASIA yatimie. La kama si hivyo basi kitabaki kuwa chama cha Maendeleo ya wasiotaka Demokrasia!!
Hapa ndipo utakapojua kwamba Mh. Zito anawazidi mbali sana viongozi wengi wa Chadema na ndio maana sasa wanamuona kama mwiba kwao, ila kiukweli anabaki kuwa mtu stahiki wa kuiongoza CHADEMA.....
Hapa ndipo utakapojua kwamba Mh. Zito anawazidi mbali sana viongozi wengi wa Chadema na ndio maana sasa wanamuona kama mwiba kwao, ila kiukweli anabaki kuwa mtu stahiki wa kuiongoza CHADEMA.....