Sura ya 1 Ibara ya 1(4) ya Rasimu ya Katiba Mpya inasema ''Tanganyika itaitwa jimbo la Tanganyika na Zanzibar itaitwa jimbo la Zanzibar na kila jimbo litaongozwa na Gavana'' Hii ni sera ya CHADEMA ya Majimbo. Cha Kushangaza Mwenyekiti wa Tume alisema Tume haijapendekeza Serikali ya Majimbo. Nimeamini CHADEMA ndio inaongoza nchi indirectly.