Chadema Diaspora
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 480
- 644
CHADEMA: INAKUA KWA KASI YA ROCKET NYANDA/JUU. RUKWA YAONGOZA-MBEYA-NJOMBE; IRINGA INASUA; S.
Mkoa wa Mbeya chaguzi za serikali za mitaa zilizopita CHADEMA kilisimamisha wagombea chini ya 5%; leo hii, CHADEMA imesimamamisha 82% mkoa wa Mbeya
Mkoa wa Iringa bado unaonyesha matatizo kwa CHADEMA; Sana sana Iringa vijijini. Mjini CHADEMA ipo safi
Takwimwi hizi ni kwa hisani ya CHADEMA DIASPORA wakishirikiana na uongozi wa CHADEMA Nyanda za Juu Kusini
Source: CHADEMA DIASPORA : CHADEMA: INAKUA KWA KASI YA ROCKET NYANDA ZA JUU