Babe la mji
JF-Expert Member
- Dec 14, 2019
- 983
- 2,052
Najua hili bandiko litawakela Sana ndugu zangu wa Chadema lakini inabidi tuvumiliane tu.
Kwa jinsi chama kilivoasisiwa inaonyesha kabisa kina nguvu kubwa sana ya kimfumo kutoka kaskazini. Sasa kwa hali hiyo isingewezekana mwaka 2015 na 2020 kupewa nchi.
Hali hii ingeleta swala la ukabila kwenye uongozi wa nchi Sasa kwa kuona Hilo ndo maana yalitokea yaliyotokea.
Pamoja kwamba CCM imechoka lakini bado inaonyesha hiki chama ni cha Kitanzania kwa upande wa mfumo wake.
Hivo basi jiandaeni kwa mabadiliko makubwa yanayokuja ili kuifanya Chadema iwe chama cha kitaifa. Wenye macho wameshaona nini kinaenda kutokea. Vigezo vikififikiwa ndo mtakija kupewa Nchi.
Jumapili njema.
Kwa jinsi chama kilivoasisiwa inaonyesha kabisa kina nguvu kubwa sana ya kimfumo kutoka kaskazini. Sasa kwa hali hiyo isingewezekana mwaka 2015 na 2020 kupewa nchi.
Hali hii ingeleta swala la ukabila kwenye uongozi wa nchi Sasa kwa kuona Hilo ndo maana yalitokea yaliyotokea.
Pamoja kwamba CCM imechoka lakini bado inaonyesha hiki chama ni cha Kitanzania kwa upande wa mfumo wake.
Hivo basi jiandaeni kwa mabadiliko makubwa yanayokuja ili kuifanya Chadema iwe chama cha kitaifa. Wenye macho wameshaona nini kinaenda kutokea. Vigezo vikififikiwa ndo mtakija kupewa Nchi.
Jumapili njema.