Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,439
- 50,957
Nimewasikiliza viongozi wa CHADEMA, wamefungua battle mbili katika madai yao, Battle ya kwanza ni tume huru ya uchaguzi, na battle ya pili ni katiba mpya.
Kisha wamegawana majukumu, Baraza la Wanawake wamewapa jukumu la kupigania Tume huru ya uchaguzi, Baraza la vijana wamewapa jukumu la kupigania katiba mpya.
Kwa kweli sikutegemea kama CHADEMA wanaweza kufanya blunder kama hii, Yaani badala ya nguvu zote kuzielekeza kwenye ajenda moja tu ya kudai katiba mpya, wao wanaigawagawa hiyo nguvu kwenye kupigania vitu viwili.
Kitendo cha kuwapa akina mama kupigania kitu kingine maana yake ni kuwa umeondoa nguvu yao kwenye kupigania katiba mpya
Hili kosa ambalo CHADEMA wanalifanya sasa, litatuchelewesha zana kwenye madai yetu ya msingi ya katiba mpya na athari zake ni hizi zifuatazo
1. kufifisha sauti na nguvu moja kwenye kudai jambo kubwa zaidi na linaloungwa mkono na watu wengi zaidi yaani Katiba mpya
2. Kuwachanganya wananchi wasijue, Ni kitu gani haswa Chadema wanakipa priority, Je ni tume huru ya uchaguzi au katiba ambayo ikipatikana ndani kutakuwa na tume huru ya uchaguzi?
3. Hii kitendo cha kupigania tume huru ya Uchaguzi pararrel na kupigania katiba mpya kumeanza kuwafanya wananchi wadhani kuwa mapambano halisi ya CHADEMA ni kupigania tume huru ya uchaguzi ili waingie madarakani tu ila hii ya kujifamya kudai na katiba mpya ni zuga tu kwa wananchi wadhani wako serious na kudai katiba mpya
4. Kitendo cha kudai tume huru sambamba na katiba mpya, kumeanza kugawa public opinion, watu wameanza kusema eti tupate tume huru ya uchaguzi kwanza ili hiyo tume huru ndo ije isimamie mchakato halali wa kura za maoni kipindi cha mchakato wa katiba mpya utakapokuwa umefikia phase ya kura za maoni. Wakati tjere is no way unaweza kupata tume huru ya uchaguzi bila kufanya mabadiliko ya katiba ya sasa itakayowahusisha CCM ambao ndo majority bungeni. Sasa binge hili la CCM linawezaje kulia time jiru ya uchaguzi?. Kwa mistake hii ya CHADEMA, Wananchi wameanza kugawanyika!
USHAURI WANGU
Kuanzia sasa CHADEMA iwe na Ajenda moja tu, nayo ni KATIBA MPYA. Ndani ya katiba mpya tutapata tume huru ya Uchaguzi.
Kama CHADEMA ikipewa tume huru ya Uchaguzi kabla ya Katiba mpya nayo hatuwezi kuiamini kutuletea katiba mpya baada ya kunufaika na chaguzi, Kwa hiyo Sisi Wananchi tunataka kusikia Sauti moja tu sasa ya KATIBA Mpya. Nje ya sauti hii, tutafikiri kuwa wanasiasa wanapigania madaraka tu
Chadema isifanye kosa kuseparate ajenda hizi mbili, Isimamena kudai katiba mpya, katiba mpya ndiyo itakayotupa tume huru ya uchaguzi na si vinginevyo!
Kisha wamegawana majukumu, Baraza la Wanawake wamewapa jukumu la kupigania Tume huru ya uchaguzi, Baraza la vijana wamewapa jukumu la kupigania katiba mpya.
Kwa kweli sikutegemea kama CHADEMA wanaweza kufanya blunder kama hii, Yaani badala ya nguvu zote kuzielekeza kwenye ajenda moja tu ya kudai katiba mpya, wao wanaigawagawa hiyo nguvu kwenye kupigania vitu viwili.
Kitendo cha kuwapa akina mama kupigania kitu kingine maana yake ni kuwa umeondoa nguvu yao kwenye kupigania katiba mpya
Hili kosa ambalo CHADEMA wanalifanya sasa, litatuchelewesha zana kwenye madai yetu ya msingi ya katiba mpya na athari zake ni hizi zifuatazo
1. kufifisha sauti na nguvu moja kwenye kudai jambo kubwa zaidi na linaloungwa mkono na watu wengi zaidi yaani Katiba mpya
2. Kuwachanganya wananchi wasijue, Ni kitu gani haswa Chadema wanakipa priority, Je ni tume huru ya uchaguzi au katiba ambayo ikipatikana ndani kutakuwa na tume huru ya uchaguzi?
3. Hii kitendo cha kupigania tume huru ya Uchaguzi pararrel na kupigania katiba mpya kumeanza kuwafanya wananchi wadhani kuwa mapambano halisi ya CHADEMA ni kupigania tume huru ya uchaguzi ili waingie madarakani tu ila hii ya kujifamya kudai na katiba mpya ni zuga tu kwa wananchi wadhani wako serious na kudai katiba mpya
4. Kitendo cha kudai tume huru sambamba na katiba mpya, kumeanza kugawa public opinion, watu wameanza kusema eti tupate tume huru ya uchaguzi kwanza ili hiyo tume huru ndo ije isimamie mchakato halali wa kura za maoni kipindi cha mchakato wa katiba mpya utakapokuwa umefikia phase ya kura za maoni. Wakati tjere is no way unaweza kupata tume huru ya uchaguzi bila kufanya mabadiliko ya katiba ya sasa itakayowahusisha CCM ambao ndo majority bungeni. Sasa binge hili la CCM linawezaje kulia time jiru ya uchaguzi?. Kwa mistake hii ya CHADEMA, Wananchi wameanza kugawanyika!
USHAURI WANGU
Kuanzia sasa CHADEMA iwe na Ajenda moja tu, nayo ni KATIBA MPYA. Ndani ya katiba mpya tutapata tume huru ya Uchaguzi.
Kama CHADEMA ikipewa tume huru ya Uchaguzi kabla ya Katiba mpya nayo hatuwezi kuiamini kutuletea katiba mpya baada ya kunufaika na chaguzi, Kwa hiyo Sisi Wananchi tunataka kusikia Sauti moja tu sasa ya KATIBA Mpya. Nje ya sauti hii, tutafikiri kuwa wanasiasa wanapigania madaraka tu
Chadema isifanye kosa kuseparate ajenda hizi mbili, Isimamena kudai katiba mpya, katiba mpya ndiyo itakayotupa tume huru ya uchaguzi na si vinginevyo!