CHADEMA inaangalia uwezo na uadilifu; maoni binafsi yasichukuliwe kuwa ni msimamo wa CHADEMA

chadema nichama cha kikiristo hata mtoto analijua hilo, mungu hamfichi mnafiki hatimae leo muasisi wachama cha kikiristo chadema mtei kabwabwaja maneno bila kificho akili kichwani kwako ewe mtz

kamwe! Usiombe hii propaganda iwaingie akilini waTZ,make tukipiga kura kidini ie chadema wakristo na ccm waislamu,basing on popln,daima ccm wasingetawala nchi hii!
 
Religion

Main article: Religion in Tanzania
Tanzania's population has been estimated to consist of roughly – Christian 62%, Muslim 35%, followers of indigenous religious groups 3%.[SUP][33][/SUP] The CIA World Factbook however states that 30% of the population is Christian with Muslim being 35% and indigenous beliefs 35%

Ala! kumbe kwahiyo kazeni buti muende mkaitangaze chadema kwa wakristo mtashinda OK!
 
Mnyika,
Ni vyema Kamanda Mtei akarudi tena hapa hapa jukwaani asisitize kwamba yale ni maoni yake na siyo msimamo wa chama.
 
Jitahidini kwenda shule na si kungojea hisani za serikali.Hawakupiga kelele?wanamwogopa?
Sisi hatupigi kelele kiholela.Tumekwenda shule.Ikitokea kavurunda basi hapendwi mtu.Achana na mawazo ya kupendelea dini yako isiyo na maslahi kwako.

Hakuna hoja ambayo naiona kwamba ni mufulisi katika nchi hii kama kusema kwamba "sisi tumesoma sana!" Mkristo wewe umesoma, sawa! Hivi umewahi kujiuliza ni Wakristo wangapi ambao hawajui A wala Be?! Hivi kiburi hiki kwamba nyie mmesoma kuliko wenzenu kinatoka wapi?! Hivi ukitaka kuangalia uwiano wa Wakristo waliosoma na wale ambao hawajasoma unaweza kuongea kwa mbembwe hivyo kwamba "nyinyi mmesoma?" Labda mnadanganyika na matokeo ya shule za seminari ambazo ni kweli zinafanya vizuri…hivi mmewahi kujiuliza ni asilimia ngapi ya Wakristo wote wa Tanzania wanaosoma kwenye hizo shule? Ukisikia ubinafsi ndio huo….unajingalia wewe tu wakati si ajabu hata ndugu zako kibao hata hiyo form IV hawajaigusa! Nilikutana na juha mmoja ambae alikuwa anatamba kwamba Waislamu ndio matajiri nchi hii kwavile matajiri wengi ni waarabu na wahindi ambao wengi wao wana muelekeo wa kiislamu zaidi kuliko ukristo! Hivi wale wanaohangaika bararani wakiuza tai na wengine wakiuza miili yao ni waislamu pekee wale? Hivi hawa waliorundikana Uswahilini huku wengine wakiwa hawana hata uhakika wa kesho ni waislamu pekee? Hivi jamii iliyopiga buku kisawasawa tungebanana kwenye vyumba vya kupanga vya uswahilini?! Acheni ubinafsi wakati wenzenu wanaumia !
 
Religion

Main article: Religion in Tanzania
Tanzania's population has been estimated to consist of roughly – Christian 62%, Muslim 35%, followers of indigenous religious groups 3%.[SUP][33][/SUP] The CIA World Factbook however states that 30% of the population is Christian with Muslim being 35% and indigenous beliefs 35%

Matola nawe unachekesha....same source inasema kuna almost equal population, hapo hapo unakuta Christians 62% na Muslims 35, ukienda chini kidogo unakuta muslim 35%, Christs 30% na bado tu unaleta hapa source kama hiyo!
 
Matola nawe unachekesha....same source inasema kuna almost equal population, hapo hapo unakuta Christians 62% na Muslims 35, ukienda chini kidogo unakuta muslim 35%, Christs 30% na bado tu unaleta hapa source kama hiyo!
Sasa mkuu wangu hapo anayechekesha ni mimi au wao walioweka hizo source? hebu naomba unitendee haki, i have nothing to benefit for any religion population.
 
Religion

Main article: Religion in Tanzania
Tanzania's population has been estimated to consist of roughly – Christian 62%, Muslim 35%, followers of indigenous religious groups 3%.[SUP][33][/SUP] The CIA World Factbook however states that 30% of the population is Christian with Muslim being 35% and indigenous beliefs 35%


Sasa hapo which is which?Tuamini wikipaedia au CIA Factbook?Chama chochote kitakachoendekeza udini kisitegemee kuingia magogoni kamwe!!
 
Sasa mkuu wangu hapo anayechekesha ni mimi au wao walioweka hizo source? hebu naomba unitendee haki, i have nothing to benefit for any religion population.

Uliechekesha ni wewe mkuu uliyeleta pamoja na kuona mapungufu yake!!
 
Afadhali Myika umewawahi baadhi ya watu(wasema hovyo) humu jamiiforums.
 
Kwakweli kwayeyote anayependa mabadiliko ya kisiasa Tanzania lazima ailaani kauli ya Mtei!Huyu kwakweli katurudisha nyuma sana dhidi ya mapambano ya kuitoa CCM madarakani!Ninavyowajua watz hii kauli yake imekwisha wakosesha CDM mamia ya wanachama!!!
 
Kama mmesoma mbona tunawaburuza sasa?Jionyesheni kuwa mmesoma.Kila siku mnalia kuna upendeleo.wenzenu wanazidi kufungua vyuo vikuu.Nyie mmepewa uhisani Morogoro lakini bado wanafunzi hawakitaki simply mhadhiri mwenyewe darasa la madrasa.Aende nani huko.Ndo maana mnajazana kwenye vyuo vya wakristo.

Tunajazana vyuo vyote duniani siyo vya wakristo (a.k.a MoU pesa zetu wote hizo mkuu) hata za wasio na dini kwasababu sisi tunatafuta knowledge popote..waambie wenye vyuo wawafukuze maweeee! tuna uwezo kiakili na kifedha ndio maana tunajazana..

Morogoro university pia tumejazana madarasa, pia tumejazana kila mahali tupo...

Mnatuburaza maweee MUASISI mtei kamsome vizuri kaka nani anaye lia lia
 
Afadhali Myika umewawahi baadhi ya watu(wasema hovyo) humu jamiiforums.

Kamuwahi nani?
Hivi kwa akili zako wadau watafuata aliyeyasema mnyika au mwanzilishi wa chama? unajua maana ya founder? kwa taarifa yako malengo ya chama yanajifunga sana na aliyeanzisha chama kuliko hawa wakina myika waliojiunga hivi karibuni.
Kwa ujumla ujumbe wa mzee mtei umefika na umeeleweka.
 
Mzee mtei ni muasisi na ni muasisisi wa chadema maoni yake yana nguvu katika chama mnyika! hilo halipingiki hata kidogo.

Mwasisi wa ccm Mwl JKN alisema"ccm siyo mama wala baba yangu na ikibidi kuihama"je! Huo ulikuwa msimamo wa sisiem?.Au je!waliomrithi kiti JKN waliathiriwa vp na msimamo binafsi wa JKN?.ACHA KULAZIMISHA MAMBO YA M2 BINAFSI KUWA ISHU YA CHAMA.Pia JKN aliwahisema makabila kama langu la Kisukuma,Nyakyusa,Haya nk hayana haki ya kushika urais wa TZ,je! Huo ni msimamo na sera za ccm?.Au ni kweli kauli hiyo imeathiri chama chenu ndo maana mnampiga vita Sitta na Magufuli wasigombee urais 2015?.ccm tunaizika kesho
 
Mtei ni Mzee mwenye kiburi sana, hakuna
mwenye ubavu wa kumwambia kakosea.Kutokana na kiburi chake ndio maana amethubutu kutoa maneno mazito kama haya. Kifupi Mnyika is nothing to Mtei, hawa ni wale wanaoishi CDM kwa ridhaa ya Mzee Mtei (no objection).

Maadam yaliyotamkwa yapo,anapaswa Mtei mwenyewe kujibu aidha kwa kufuta ama kusisitiza.Hatuna haja ya kujua aidha si kauli ama kauli ya Chama, kwani Mtei katika post zake amekuwa akitanguliza ''Nikiwa kama muasisi wa CHADEMA'',quotation hii ni ishara ya ''umiliki'' hivyo si Mtei kama Mtei ila Mwenye Chama.

Sisi Waislam hatuna shaka na hili ila tutaendelea kuupinga udini kwa manufaa ya vizazi vyetu.Mnatufahamu kama mnavyozoea kutuita majina ya ajabu ajabu lakini mtambue Muislam wa leo sio yule wa enzi zile kwani tumeelimika kupitia huko mnapoita shule zenu tena kwa theory ya ''No longer at ease''.Tudumishe umoja kama tunahitaji kuingia magogoni pasipo kikwazo cha Uislam.
 
Pomoja umekuja kuweka wazi msimamo wa Chadema lakini maneno ya Mzee Mtei yameishatoka na Mzee Mtei ndio nembo ya Chadema..

Ulichofanya John Mnyika ni sawa sawa kuziba shimo la panya kwa mkate.

Endeleeni kujitetea lakini watanzania wameishawasoma na wanajua kinachoendelea bahati nzuri kuna wana Chadema humu JF wanayakubali maneno ya Mzee Mtei kuwa ndio msimamo halisi wa Chadema.

Nembo ya CDM ni alama"V"ikimaanisha ushindi kwa umma na siyo Mtei.Sasa unaposema watz wameisoma,labda unamaanisha ww na Demu wako ndo watz.SISI WASUKUMA TUMESHAIKIMBIAGA sisiem
 

Mnyika,
Wakati nayasoma maoni ya Edwin Mtei sikupata shaka yoyote kwamba sio maoni ya CHADEMA bali ni maoni yake binafsi! Isitoshe, mara ya kwanza sikuamini kwamba ni kweli Edwin Mtei Mwasisi wa CHADEMA kwavile hayupo verified!

Lakini pamoja na yote hayo, bado ukweli unabaki pale pale kwamba Mtei bado ni very influencial person ndani ya CHADEMA hivyo maoni yake ni hatari sana yanapoonesha kasoro za wazi wazi!! Post zake nyingi, Edwin Mtei anapenda kuanza kwa kusema "nikiwa kama muasisi wa CHADEMA....!" Hii inaonesha ni jinsi gani bado anajivuna na power yake ya uanzilishi wa chama!! Najua, from political point of view, CHADEMA hawawezi kutoa msimamo kama uliotolewa na Mtei lakini hii bado haiondoi hofu kwamba kumbe one of the most influencial person in the team ana mtazamo hasi katika suala zima la dini! Itakuwa ni kujidanganya mkipuuza kauli kama hizi kwa kisingizio cha kwamba si maoni ya chama! Wewe mwenyewe unafahamu wazi kwamba, ni ngumu kumtenganisha Mtei na CHADEMA....!! Hakuna asiyefahamu nguvu ya Mtei ndani ya CHADEMA, kwahiyo, ni rahisi sana watu wakashindwa kutofautisha kati ya maoni ya CHADEMA na yake binafsi! Si vibaya hata kidogo akiambiwa wazi kwamba, kutokana na nafasi yake katika chama basi ni vyema akawa anachunga kauli zake ingawaje nimempenda kwa kutokuwa mnafiki!

Ushauri na maoni ya namna hii ni constructive
 
CHADEMA wasitoa maelezo mngesema, sasa wametoa maelezo bado mnasema! Mzee Mtei katoa maoni yake CHADEMA wametoa msimamo wa chama mnataka nini tena?

Labda nikuulize, matusi ya Lucinde ni sera ya ccm? Msimamo wa ccm kwenye matusi ya Lucinde ni upi?

BILA SHAKA NI MSIMAMO WA ccm MAANA TAYARI WAMEMKINGIA KIFUA,WALA HAWAJAMKANYA.
 
Waislam tutapita nyumba hadi nyumba tusiichague chadema katika uchaguzi wowote,kauli ya mzee mtei inadhihirisha chadema niya wagalatia
 
Back
Top Bottom