CHADEMA inaangalia uwezo na uadilifu; maoni binafsi yasichukuliwe kuwa ni msimamo wa CHADEMA

MNYIKA unanishangaza sana,mzee mtei ni kiongozi mwenye nguvu sana CHADEMA.mimi naamini hakuteleza hii ni ajenda yake na CDM wanaifanya makusudi.halafu ajabu mpaka ZITTO kamponda ww unajifanya kumtetea.kiufupi chadema ni wadini hata kampeni zao wanaegemea upande mmoja tu.

Nani asiyejua kuwa Zitto ni pandikizi [MOLE] wa ccm katika Chadema!!
 
Pomoja umekuja kuweka wazi msimamo wa Chadema lakini maneno ya Mzee Mtei yameishatoka na Mzee Mtei ndio nembo ya Chadema..

Ulichofanya John Mnyika ni sawa sawa kuziba shimo la panya kwa mkate.

Endeleeni kujitetea lakini watanzania wameishawasoma na wanajua kinachoendelea bahati nzuri kuna wana Chadema humu JF wanayakubali maneno ya Mzee Mtei kuwa ndio msimamo halisi wa Chadema.
Mkuu Ritz kuna mdau kauliza swali; Mwl Nyerere alipopinga azimio la Zanzibari mbona hamkusema ni muasisi wa chama cha CCM tena mkasonga mbele na azimio la ufisadi??????

 
Muheshimiwa Mnyika Tupo Pamoja!! Nchi Imejaa siasa za Maji Taka!! Nadhan Tuzingatie Zaidi Uwezo na si Dini Ya Mhusika Kwani dini ni Mapito Tu!! Mbona Watu wanaweza Kumsema Sofia simba Kuwa na Muislamu safi Kumbe Tayari Yupo kwa mama Lwakatare!! Sasa dini Imembadilisha nini? Cha muhimu Uadilifu Wake ndio zaidi!!
 
Alikuwa wapi kusema serikali ya KIKWETE imeja wakristo kuliko waislamu au hakuliona hilo.ndo twape nchi 2015 subutuuuuuu.
 
kuna haja gani ya kuwa na mzee kama mtei{makapi} kulopoka hovyo hovyo mbele ya mass??kiongozi/mwanasiasa makini ni yule ambae siku zote kauli zake hazileti mtafaruku kwenye jamii.
Mzee katuonesha his true color!!!nafikiri huyu mzee yupo kwenye cc,watu tumepuuza kauli za udini kutoka kwa viongozi wetu wa dini,hili linaturudisha kulekule.!

na kauli za kikwete kwenye kampeni?
 
Kuna msemo wa kiswahili,"NYANI ALIONI KUNDULE", hiyo imethibitika kwa baba mkwe wa mbowe kuwa analaumu uchafu wa nje ya nyumba wakati ndani ni kuchafu zaidi.

Ningeunga mkono tamko la Mzee Mtei kuhusu JK kujaza Waislam katika wajumbe wa katiba iwapo ndani ya CDM kusingekuwa na uovu huu:-

1. Kamati ya Utendaji kujazwa na wakristo
2. Nafasi nyeti za uongozi kushikwa na watu watokao kanda ya kaskazini
3. Ruzuku ya chama kutumiwa katika kanda ya kaskazini
4. Viti maalum kutolewa kiukoo wengiwao toka kanda moja

Eleweni Zanzibar ni nchi kamili yenye bendera na baraza la kutunga sheria.
 
Mkuu MAFILILI;
Leo wana CDM kwa kauli zenu mmeanza kunishawishi kuwa CDM kina wanachama imara sana, na nimeshajua tatizo lipo wapi? ni wamiliki ndio wanaoharibu chama
 
Mzee mtei ni muasisi na ni muasisisi wa chadema maoni yake yana nguvu katika chama mnyika! hilo halipingiki hata kidogo.
Nadhani mzee Mtei pia ni miongoni mwa wazee wanaounda baraza la.wazee wa CDM hivyo kauli yake si sawa na kauli ya mwanachama wa kawaida wa CDM.
 
Mzee mtei ni muasisi na ni muasisisi wa chadema maoni yake yana nguvu katika chama mnyika! hilo halipingiki hata kidogo.

Mtazamo wako,mbona nyie mnakataa kwamba hamkumtuma lusinde atukane?kwamba matusi ni yake si ya ccm?nyani haoni kundule
 
Well explained, tupo nyuma ya bendera ya CDM ktk kila hatua mnayopiga viongozi wetu, we belong to them same movement 4C. Viva to CDM
 
Maji yemshamwagika tena kwenye udongo wa kichanga, hayawezi kuzoleka.
Ila mnyika leo kidogo nimekukubali, ila yameshatokea na huyo mzee wenu ndo keshajulikana his true color.

Ni vema ukakombatia nuru na kulikimbia giza.
Nimekufwatilia mda mrefu nimegundua haupo siriazi na mambo unazoandika. Pia epuka ushabiki wakijinga
 
MNYIKA unanishangaza sana,mzee mtei ni kiongozi mwenye nguvu sana CHADEMA.mimi naamini hakuteleza hii ni ajenda yake na CDM wanaifanya makusudi.halafu ajabu mpaka ZITTO kamponda ww unajifanya kumtetea.kiufupi chadema ni wadini hata kampeni zao wanaegemea upande mmoja tu.

David unanisikitisha unapolazimisha kitu unachokiamini na kukitaka wewe ndiyo kiwe ni ajabu sana hizo nguvu unazompa Mteni wewe ni wewe umeamua lakini kauli ya CHADEMA ndiyo hiyo aliyoitoa mMHESHIMIWA JOHN Mnyika ambaye ndiyo msemaji wa Chama. Kama hilo hutaki basi maana yake wewe una lako jambo.
 
enzi za komu, sijui Tumbo haya mambo yangechukuliwa poa tu na kudhaniwa ni kauli ya chama. Hongera Mnyika
 
Mhe. Myika kwanza nashukuru kwa kutoa tamko hili kwa wakati muafaka kwani maoni ya mzee mtei yalikuwa yameanza kuchafua image ya chadema inayozidi kukua siku hadi siku.

Naomba tu kujua kama chama kitamkana huyo mzee kuacha kutoa matamko amabayo yanapokelewa vibaya ingawa sidhani kama mwenyekiti wa CDM anaweza kufanya hilo?
 
36 Reactions
Reply
Back
Top Bottom