britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,635
- 29,967
Swali dogo, kama ambavyo tunaona CCM imeshaingia mikonon mwa mtu mmoja,
Chama kikuu Cha upinzani kina
Kina ubavu wa kumwondoa mwenyekiti wake madarakani kama ANC ya Afrika Kusini ilichomfanyia Zuma?
Ni swali Tu,
Je kwanini vyama vingi vya siasa vya Tanzania vinaonekana kuonekana kuwa chini ya maamuzi ya mtu mmoja??
Nasema haya kwasababu mbowe kafeli katika yafuatayo
1. Kukikuza chama katika misingi yake ya awali ya kukataa ufisadi
2. Chama kinashangilia Sana uvunjifu wa Amani Zaid ya kukemea
3. Maamuzi makubwa bila makubaliano yenye tija ya chama yame base mwelekeo wa Mwenyekiti anataka nini
Britanicca
Chama kikuu Cha upinzani kina
Kina ubavu wa kumwondoa mwenyekiti wake madarakani kama ANC ya Afrika Kusini ilichomfanyia Zuma?
Ni swali Tu,
Je kwanini vyama vingi vya siasa vya Tanzania vinaonekana kuonekana kuwa chini ya maamuzi ya mtu mmoja??
Nasema haya kwasababu mbowe kafeli katika yafuatayo
1. Kukikuza chama katika misingi yake ya awali ya kukataa ufisadi
2. Chama kinashangilia Sana uvunjifu wa Amani Zaid ya kukemea
3. Maamuzi makubwa bila makubaliano yenye tija ya chama yame base mwelekeo wa Mwenyekiti anataka nini
Britanicca