johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,559
Nawaza tu
Tume ya Jaji Warioba yenye Wajumbe 10 Prof Baregu rip alikuwemo
Kamati ya Mikataba ya madini Zitto Kabwe alikuwemo
Kikosi kazi cha Zanzibar chenye Wajumbe 11 ambapo Wanne tu ndio wanawakilisha Vyama vya Siasa Chadema wamo
Kiukweli Chadema ni makini kwa kiasi fulani
J5 ubarikiwe sana
Tume ya Jaji Warioba yenye Wajumbe 10 Prof Baregu rip alikuwemo
Kamati ya Mikataba ya madini Zitto Kabwe alikuwemo
Kikosi kazi cha Zanzibar chenye Wajumbe 11 ambapo Wanne tu ndio wanawakilisha Vyama vya Siasa Chadema wamo
Kiukweli Chadema ni makini kwa kiasi fulani
J5 ubarikiwe sana