Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,254
- 33,838
- Thread starter
- #21
Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!Mkuu wengi Bado wanaugulia maumivu, kilichowapata sio Cha dunia hii
Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!Mkuu wengi Bado wanaugulia maumivu, kilichowapata sio Cha dunia hii
Inatokana ja ujinga. Wanaamini kuwa ukiishambulia hiyo CHADEMA, basi mzimu wa marehemu utakusikia.Kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo la Buhingwe huko Mkoani Kigoma, wapiga Kampeni wa vyama vinavyoshiriki kwenye uchaguzi huo, ni LAZIMA kila siku waitaje CHADEMA.
Kuishambulia huko CHADEMA kunatokana na nini wakati CHADEMA haina Mgombea (Ninavyojua mimi) kwenye jimbo hilo?
Mwambe bhana!
Huo uchaguzi CCM watatumia mabilioni kwa kampeni wakati mshindi anajulikana!
Yuko kwenye dozi kumbe? Hopefully sio ile ya muda mrefuBwashee ukimeza dawa zako huwa unaandika mambo ya maana sana. 😜😜😜
Mwambe bhana!
Huo uchaguzi CCM watatumia mabilioni kwa kampeni wakati mshindi anajulikana!
Bwashee ukimeza dawa zako huwa unaandika mambo ya maana sana.
Maruwe ruwe yake johnthebaptist hufanya aone amekutana na mtu anayeitwa Mzee Mgaya.Hahahahahaha ngoja sasa adharau kumeza dawa zake lol! Hahahahahaha
Hahahaaaa...... Eid Mubarak bwashee!Maruwe ruwe yake johnthebaptist hufanya aone amekutana na mtu anayeitwa Mzee Mgaya.
Kumbe ana Double Personality disorder na akifanya mchezo iko siku atasema amekutana na Kinjeketile!!
Chadema kinahusikaje hapo wakati hakina mgombea? Wamwage sera zao kwanini wachaguliwe wao?
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Hii hoja yako nzito Sana!!!Cdm ndio chama kinachokubalika na watu wengi, hivyo kikitajwa ndio inafahamika kuna mambo ya kisiasa eneo hilo.
Unamaanisha hata mwendazake anaitaja huko aliko!?Lazima utaitaja tu Chadema, uwe kaburini, Au kokote pale. Maana chadema IPO mioyon mwa watanzania.
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Inajulikana kuwa CHADEMA ni chama cha wananchi. Kiuhalisia kinawakilisha mtazamo huru na utashi wa wananchi wengi wanaohoji uozo ulioko serikalini. Hata walioko CCM wengi wanategemea CHADEMA kuiweka sawa (balance) serikali ikipinda kupita kiasi.Chadema kinahusikaje hapo wakati hakina mgombea? Wamwage sera zao kwanini wachaguliwe wao?
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app