Chadema ina mgombea Buhingwe?

Kwenye uchaguzi mdogo wa Jimbo la Buhingwe huko Mkoani Kigoma, wapiga Kampeni wa vyama vinavyoshiriki kwenye uchaguzi huo, ni LAZIMA kila siku waitaje CHADEMA.

Kuishambulia huko CHADEMA kunatokana na nini wakati CHADEMA haina Mgombea (Ninavyojua mimi) kwenye jimbo hilo?
Inatokana ja ujinga. Wanaamini kuwa ukiishambulia hiyo CHADEMA, basi mzimu wa marehemu utakusikia.

CCM inaungwa mkono zaidi na wajinga (TWAWEZA).
 
Hahahaha Allen, hivi yale maandamano bado yapo? Yale ya kuongeza muda hadi saba? Nataka niwaunge mkono!
 
Mwambe bhana!

Huo uchaguzi CCM watatumia mabilioni kwa kampeni wakati mshindi anajulikana!
1620916238626.png
 
Chadema kinahusikaje hapo wakati hakina mgombea? Wamwage sera zao kwanini wachaguliwe wao?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Inajulikana kuwa CHADEMA ni chama cha wananchi. Kiuhalisia kinawakilisha mtazamo huru na utashi wa wananchi wengi wanaohoji uozo ulioko serikalini. Hata walioko CCM wengi wanategemea CHADEMA kuiweka sawa (balance) serikali ikipinda kupita kiasi.
 
Back
Top Bottom