CHADEMA ina ma 'thinkers' na 'Strategists' Wazuri sana, soma hapa

ibange

JF-Expert Member
Dec 31, 2010
1,543
550
Katika vitu ambavyo chadema imefanikiwa ni kuwa na watu wenye fikra za kisiasa na wanazitumia kujenga na kufanya strategies kubwa. Nilikuwa na mkuu mmoja wa chadema nikamuuliza ana maoni gani kuhusu gamba la Lowassa. Yeye alichosema ni kwamba kimkakati chadema wanamuunga mkono Lowassa akiwa ndani ya ccm na wapo tayari kumsaidia apitishwe kugombea urais.

Faida za Lowassa kugombea ni mbili. Kwanza itakuwa ngumu sana kwa ccm kumuuza kwani wao wenyewe ndio waliosema kuwa ni fisadi na gamba na ipo kwenye record. Pili, ndani ya ccm kuna makundi hasimu sana kiasi kwamba watu kama akina Sitta hawawezi kubaki ndani Lowassa akigombea. Hivyo ccm itagawanyika mapande na itakuwa faida kubwa kwa chadema.

Na mbaya zaidi wanahofia atalipiza kisasi kwa wana ccm waliokuwa wanampinga hivyo watakuwa tayari kuona chadema ikishinda kuliko kushinda Lowassa. Wanachosema ambacho hata mimi nakiona hivyo, ccm watapata faida sana kama akiteuliwa kugombea mtu msafi na ambaye hana makundi.

Naomba niliyezungumza nae asinilaumu kwa kuanika mikakati ya chadema, ni kwa ajili ya mjadala tu
 
Hizi ni hisia zako tu na wala si za kiongozi mmoja wa CDM!CCM hawawezi kuwa wajinga kiasi hicho hasa linapokuja suala la U-rais.
Swala ambalo huelewi ni kamba hakuna mtu ndani ya ccm atakayeweza kumzuia Lowassa. Nitajie mwana ccm mmoja ambaye ana nguvu kuliko Lowassa kwa sasa
 
Kwa hali tuliyo nayo na ugumu wa maisha uliopo kinacho shinda ni nguvu ya pesa ni mara chache sana mtu kushinda ktk hali kawaida pasipo njia ajabu kama za kutumia pesa.

EL pesa anayo hata wale mahasimu wake wakipewa pesa tu watalegeza msimamo kama tunavyo soma magazetini kuwa pesa zimemwagwa Dodoma kiasi kwamba hojaya kumvua nafasi zake chamani hazikuzaa matunda

Nenda uendako pesa inanguvu watu hutumia umasikini huu tulionao kujipatia uongozi
Sidhani kama yeye atashindwa kutumia pesa ili hali zipo
 
Mpaka dakika hii ni kitendawili kikubwa sana ndani ya CCM,kuhusu mgombea wao wa urais 2015 maana kuna mgawanyiko sasa hatujui sijui watawasimamisha wagombea wawili,yaani namaanisha CCM original na CCM fake maana ndani ya CCM kunawanaotaka kulipiza visasi na wanao ogopa kulipizwa visasi sasa sijui nani ataibuka kidedea hapo,ngoja tusubili tuone.
 
Lowassa atasaidia mabadiliko ya kudumu kwani ndo itakuwa mwisho wa ccm. Kwani mpaka sasa anatuhumiwa kuwaroga Mwandosya, Mwakyembe so kifupi hata kampeni ikiwa atapitishwa itakuwa kukanyaga Mbeya ni vigumu sana, au akifika huko atauwawa.
 
Katika vitu ambavyo chadema imefanikiwa ni kuwa na watu wenye fikra za kisiasa na wanazitumia kujenga na kufanya strategies kubwa. Nilikuwa na mkuu mmoja wa chadema nikamuuliza ana maoni gani kuhusu gamba la Lowassa. Yeye alichosema ni kwamba kimkakati chadema wanamuunga mkono Lowassa akiwa ndani ya ccm na wapo tayari kumsaidia apitishwe kugombea urais. Faida za Lowassa kugombea ni mbili. Kwanza itakuwa ngumu sana kwa ccm kumuuza kwani wao wenyewe ndio waliosema kuwa ni fisadi na gamba na ipo kwenye record. Pili, ndani ya ccm kuna makundi hasimu sana kiasi kwamba watu kama akina Sitta hawawezi kubaki ndani Lowassa akigombea. Hivyo ccm itagawanyika mapande na itakuwa faida kubwa kwa chadema. Na mbaya zaidi wanahofia atalipiza kisasi kwa wana ccm waliokuwa wanampinga hivyo watakuwa tayari kuona chadema ikishinda kuliko kushinda Lowassa. Wanachosema ambacho hata mimi nakiona hivyo, ccm watapata faida sana kama akiteuliwa kugombea mtu msafi na ambaye hana makundi.

Naomba niliyezungumza nae asinilaumu kwa kuanika mikakati ya chadema, ni kwa ajili ya mjadala tu

Hiyo inaitwa adui muombee mabaya ikiwemo njaa.
 
mimi nitamtetea lowasa mpaka siku naingia kaburini,naombeni mnipe ufisadi wa lowasa ili niwape ufafanuzi kuna thread moja hapo nyuma nimeichangia na kama chadema tutajidanganya kwa lowasa itakula kwtu,
ccm isimamishe mtu yeyote si lowasa kwani atatusumbua sana.
huyu mtu ni jakob zuma.
 
ni ukweli ulio wazi, pamoja na kashfa zilizokuwa zinamwandama EL, makundi hasim ccm waliongeza chumvi mno juu ya el kuwa fisadi, hususani nape. nakubaliana na wengine kabisa kuwa el ni tishio kwa cdm,maana huyu jamaa mbali ya nguvu ya fedha lakini ana maaamuzi, tofauti na rahisi wa sasa,
 
nafikiri wakti unaandika hayo ulikuwa umebanwa kuharisha!! kwa hiyo ukaandika huku unawaza choo kipo wapi!!!!!
CDM has great thinkers but the Lowassa things is non of their plans! Lowassa is never a threat or a strategy to them!
Ningekuambia aliye strategy kwao ila kwa kuwa umeanza kwa pumba ........... BASI NA UBAKI VIVYO HIVYO!!!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Hakuna cha EL wala nani mnaemuona ana nguvu ndani ya CCM,kwanza mtueleweshe hizo nguvu mnazozungumzia ni nguvu zipi?za ufisadi au?kwa picha hii ya juzi kule dodoma nadhani wananchi wanaojihurumia hawatakuwa tayari kuiunga mkono CCM,maana ushahidi umetolewa wazi na EL mwenyewe ya kwamba kumbe hata JK ni fisadi,kwa hiyo ccm kwngu ni chama kinachosubiri kukata roho,ni chama cha kulea na kutetea mafisadi,wote ni wachafu hao hata mkinitajia nani naona ni the same.Kuweni na kumbumkumbu ya matukio ya kifisadi na athari zilizosababishwa na matokeo ya ufisadi huo kwa taifa letu kisha ndo tuanze kufikiri nani agombee wapi na kwa nafasi ipi.
 
Czan kama hılı nı jıpya sana!
Sıtegemeı anguko la CCM kwa mgombea awaye yoyote yule!
Muundo na utaratıbu mzıma wa upıgajı kura ndanı ya Nchı yetu nı kıtendawılı kıgumu kwa chama chochote cha upınzanı kuchukua madaraka.
Kwa mfano, ktk chaguzı zote Zanzıbar CUF walıshında, ndg zangu wana JF wote nı mashahıdı jınsı chaguzı zıle zılıvyoenda na ubabe wa CCM kujıhalalıshıa ushındı kwa nguvu ya dora!
Mahubırı ya free and faır electıon katıka ukanda wa Afrıka na Mıddle East yatachukua zaıdı ya mıongo kadhaa kwa watawala wanaohodhı madaraka kukubalıana na dhana nzıma unless mzımu wa watu wazalendo kama Mwl JK Nyerere uwatembelee.
Hasa kwa Taıfa kama Tanganyıka amabalo asılımıa kubwa ya wananchı hawajuı elımu ya uraıa, waoga na watu wanaokumbatıa amanı ılıyopotoshwa n akuhongwa kanga,kofıa chumvı n.k
Tutavuja mate sana humu JF lakn nawahakıkıshıa mabadılıko ya kwelı hayataletwa na katıba mpya wala sıasa ya vyama vıngı zaıdı ya mıongo mıtatu ıjayo!
Vıngınevyo vıjana wazalendo wa Nchı hıı waongoze mapınduzı ya kwelı!
 
Katika vitu ambavyo chadema imefanikiwa ni kuwa na watu wenye fikra za kisiasa na wanazitumia kujenga na kufanya strategies kubwa. Nilikuwa na mkuu mmoja wa chadema nikamuuliza ana maoni gani kuhusu gamba la Lowassa. Yeye alichosema ni kwamba kimkakati chadema wanamuunga mkono Lowassa akiwa ndani ya ccm na wapo tayari kumsaidia apitishwe kugombea urais. Faida za Lowassa kugombea ni mbili. Kwanza itakuwa ngumu sana kwa ccm kumuuza kwani wao wenyewe ndio waliosema kuwa ni fisadi na gamba na ipo kwenye record. Pili, ndani ya ccm kuna makundi hasimu sana kiasi kwamba watu kama akina Sitta hawawezi kubaki ndani Lowassa akigombea. Hivyo ccm itagawanyika mapande na itakuwa faida kubwa kwa chadema. Na mbaya zaidi wanahofia atalipiza kisasi kwa wana ccm waliokuwa wanampinga hivyo watakuwa tayari kuona chadema ikishinda kuliko kushinda Lowassa. Wanachosema ambacho hata mimi nakiona hivyo, ccm watapata faida sana kama akiteuliwa kugombea mtu msafi na ambaye hana makundi.

Naomba niliyezungumza nae asinilaumu kwa kuanika mikakati ya chadema, ni kwa ajili ya mjadala tu

Siyo aliyekwambia tu bali hata roho mtakatifu hakubaliani na huo uhuni wako; mtu anakuamini anakwambia secreat yake wewe unai expose ili tu upate tija kwa nafsi yako duuh ningekuwa mm ndo huyo siku nyingine ningekuwa nakuingiza chaka tu ili uwe unaaibika kila siku!
 
Back
Top Bottom