CHADEMA imwombe radhi Paul Makonda kwa kumchafulia jina

1628834762049.png
 
Akiwa Mkuu wa Mkoa wa DSM, CHADEMA walimchafua sana Makonda na kumsingizia mambo mengi.

Ugaidi,Uuaji, utesaji n.k tena walienda mbali na kumhusisha na dhulma kubwa kubwa,rushwa na upigwaji risasi wa Tundu Lissu.

CHADEMA waliuaminisha Umma kuwa Makonda atakuja shtakiwa kwa makosa yake lukuki kwa namna ambavyo waliyatanabaisha. Nmesubiria kusikia hata kesi moja dhidi ya Makonda kuhusiana na Shutma hizo. Mpaka leo kimya.

Hii inaonesha Makonda alichukiwa na kuonewa sana na Chadema. Huyu jamaa ndo alikuwa punching bag ya Chadema. Baada ya kutokuwa Mkuu wa Mkoa imeonekana kumbe hakuwa a makosa yoyote yale. Issue ilikuwa ni Ukuu wa Mkoa.

Natoa wito Chadema kumwomba Radhi Makonda Paul na kuahidi kuwa hawatarudia tena tabia hizo za kuchafua watu.
Naona unamtafutia promo baada ya kusahaulika
 
Akiwa Mkuu wa Mkoa wa DSM, CHADEMA walimchafua sana Makonda na kumsingizia mambo mengi.

Ugaidi,Uuaji, utesaji n.k tena walienda mbali na kumhusisha na dhulma kubwa kubwa,rushwa na upigwaji risasi wa Tundu Lissu.

CHADEMA waliuaminisha Umma kuwa Makonda atakuja shtakiwa kwa makosa yake lukuki kwa namna ambavyo waliyatanabaisha. Nmesubiria kusikia hata kesi moja dhidi ya Makonda kuhusiana na Shutma hizo. Mpaka leo kimya.

Hii inaonesha Makonda alichukiwa na kuonewa sana na Chadema. Huyu jamaa ndo alikuwa punching bag ya Chadema. Baada ya kutokuwa Mkuu wa Mkoa imeonekana kumbe hakuwa a makosa yoyote yale. Issue ilikuwa ni Ukuu wa Mkoa.

Natoa wito Chadema kumwomba Radhi Makonda Paul na kuahidi kuwa hawatarudia tena tabia hizo za kuchafua watu.
We ni kiazi,

Kwan wewe hukuiona clip inamuonesha huyo makonda anaingia studio na mtutu kwa sababu za kipumbafu??

Yale makontena yake unayakumbuk?

Umetumwa na familia kumsafisha bashite?
 
Mkuu kipindi hiki ndo nimeamini kuongoza watanzania ni ngumu mnooo,,inabd uvae gamba gumu sana..
Yule jamaa anaonekana kweli kayabeba mengi sana moyoni,
Alifanywa punching bag na chadema,na dust bin ya serikali ya awamu ya tano,alikua ndo shock absorber wao 😁😁 wa matukio yote ya ajabu ajabu,,..
Naelewa kwann kuna nyakati alikua analia lia madhabahuni.
Watanzania hawana noma Mkuu, tatizo ni Chadomo, wakishasambaratishwa hao utaona nchi itavyotulia
 
Akiwa Mkuu wa Mkoa wa DSM, CHADEMA walimchafua sana Makonda na kumsingizia mambo mengi.

Ugaidi,Uuaji, utesaji n.k tena walienda mbali na kumhusisha na dhulma kubwa kubwa,rushwa na upigwaji risasi wa Tundu Lissu.

CHADEMA waliuaminisha Umma kuwa Makonda atakuja shtakiwa kwa makosa yake lukuki kwa namna ambavyo waliyatanabaisha. Nmesubiria kusikia hata kesi moja dhidi ya Makonda kuhusiana na Shutma hizo. Mpaka leo kimya.

Hii inaonesha Makonda alichukiwa na kuonewa sana na Chadema. Huyu jamaa ndo alikuwa punching bag ya Chadema. Baada ya kutokuwa Mkuu wa Mkoa imeonekana kumbe hakuwa a makosa yoyote yale. Issue ilikuwa ni Ukuu wa Mkoa.

Natoa wito Chadema kumwomba Radhi Makonda Paul na kuahidi kuwa hawatarudia tena tabia hizo za kuchafua watu.
Umetumwa???,Kutoshitakiwa haimaanishi kuwa hana hatia,Kwa taarifa yako Watu wengi tuna hatia za makosa kibao tu ambayo tunatenda kila siku lkn utofauti wetu na wale walioko Magerezani ni kuwa"Wale walioko Magerezani ni wakosefu waliokutwa na hatia wakati sisi tulioko mtaani tukila bata,ni wakosefu ambao bado hatujakutwa na hatia".
 
HADI SASA HAKUNA ANAELIMUDU HILI JIJI SIO MAKALLA WALA YULE ALIEPITA KUNENGE
Kulimudu kwa namna gani?, Kusema Wanawake waliotelekezwa na waume zao waende Ofisini kwa mkuu wa mkoa?, Kupima DNA?,Kukithiri kwa miili ya watu kwenye viroba ktk fukwe za bahari?,Kutamka maneno ya hovyo kwa Watumishi wa Serikali sikukuu ya Mei mosi kuwa "Laiti wangekuja na mabango yanayodai nyongeza ya mishahara angewachapa bakora?,Kuwadharau viongozi wenzake waandamizi km Mr.Chongolo utadhani mtoto mdogo?,Kujitapa mbele ya viongozi wenzake waandamizi kuwa Mkuu wa nchi anamsikiliza yeye?,Au kujifanya analeta kontena la madawati kutoka China Kumbe ni upigaji?,Kuchangisha michango ya maendeleo ya Elimu halafu hakuna Ripoti ya matumizi ya pesa hiyo?.Usitufanye Watanzania ni Wajinga.
 
Akiwa Mkuu wa Mkoa wa DSM, CHADEMA walimchafua sana Makonda na kumsingizia mambo mengi.

Ugaidi,Uuaji, utesaji n.k tena walienda mbali na kumhusisha na dhulma kubwa kubwa,rushwa na upigwaji risasi wa Tundu Lissu.

CHADEMA waliuaminisha Umma kuwa Makonda atakuja shtakiwa kwa makosa yake lukuki kwa namna ambavyo waliyatanabaisha. Nmesubiria kusikia hata kesi moja dhidi ya Makonda kuhusiana na Shutma hizo. Mpaka leo kimya.

Hii inaonesha Makonda alichukiwa na kuonewa sana na Chadema. Huyu jamaa ndo alikuwa punching bag ya Chadema. Baada ya kutokuwa Mkuu wa Mkoa imeonekana kumbe hakuwa a makosa yoyote yale. Issue ilikuwa ni Ukuu wa Mkoa.

Natoa wito Chadema kumwomba Radhi Makonda Paul na kuahidi kuwa hawatarudia tena tabia hizo za kuchafua watu.
Utaamsha yaliyolala...alienusurika baada ya kifo cha mkuu wa awamu ya tano akae kimya na ndo maana Makonda ka kabisa wewe unataka kumzulia balaa...
 
Akiwa Mkuu wa Mkoa wa DSM, CHADEMA walimchafua sana Makonda na kumsingizia mambo mengi.

Ugaidi,Uuaji, utesaji n.k tena walienda mbali na kumhusisha na dhulma kubwa kubwa,rushwa na upigwaji risasi wa Tundu Lissu.

CHADEMA waliuaminisha Umma kuwa Makonda atakuja shtakiwa kwa makosa yake lukuki kwa namna ambavyo waliyatanabaisha. Nmesubiria kusikia hata kesi moja dhidi ya Makonda kuhusiana na Shutma hizo. Mpaka leo kimya.

Hii inaonesha Makonda alichukiwa na kuonewa sana na Chadema. Huyu jamaa ndo alikuwa punching bag ya Chadema. Baada ya kutokuwa Mkuu wa Mkoa imeonekana kumbe hakuwa a makosa yoyote yale. Issue ilikuwa ni Ukuu wa Mkoa.

Natoa wito Chadema kumwomba Radhi Makonda Paul na kuahidi kuwa hawatarudia tena tabia hizo za kuchafua watu.

Sema KIMEUMANA!
 
Back
Top Bottom