VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
CCM,ikiona inaikomoa na kuidhihaki CHADEMA,ilikiita chama hicho kikuu cha upinzani nchini-'chama cha msimu'.Ikawataka viongozi wa CHADEMA waimarishe chama chao hasa vijijini.CHADEMA wakasikia.Wakafanyia kazi.Sasa hivi hawashikiki.CCM wamebaki kuweweseka.Hapakaliki,hapaliki.CCM inazidi kudorora.Kama ni mgonjwa anaomba asali.
Inavyoenea CHADEMA ni zaidi ya kimbunga.Sasa ni mtaa kwa mtaa,kijiji kwa kijiji,kata kwa kata,tarafa kwa tarafa,wilaya kwa wilaya na Taifa kwa ....I see!.Mimi pia nimejikuta nipo ndani ila kadi tu ndio sina.Sikumbuki ni lini na ni vipi wamenipata hawa Makamanda.CHADEMA si mchezo...........
Inavyoenea CHADEMA ni zaidi ya kimbunga.Sasa ni mtaa kwa mtaa,kijiji kwa kijiji,kata kwa kata,tarafa kwa tarafa,wilaya kwa wilaya na Taifa kwa ....I see!.Mimi pia nimejikuta nipo ndani ila kadi tu ndio sina.Sikumbuki ni lini na ni vipi wamenipata hawa Makamanda.CHADEMA si mchezo...........