CHADEMA imeupokea ushauri wa CCM na kuufanyia kazi...

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
CCM,ikiona inaikomoa na kuidhihaki CHADEMA,ilikiita chama hicho kikuu cha upinzani nchini-'chama cha msimu'.Ikawataka viongozi wa CHADEMA waimarishe chama chao hasa vijijini.CHADEMA wakasikia.Wakafanyia kazi.Sasa hivi hawashikiki.CCM wamebaki kuweweseka.Hapakaliki,hapaliki.CCM inazidi kudorora.Kama ni mgonjwa anaomba asali.

Inavyoenea CHADEMA ni zaidi ya kimbunga.Sasa ni mtaa kwa mtaa,kijiji kwa kijiji,kata kwa kata,tarafa kwa tarafa,wilaya kwa wilaya na Taifa kwa ....I see!.Mimi pia nimejikuta nipo ndani ila kadi tu ndio sina.Sikumbuki ni lini na ni vipi wamenipata hawa Makamanda.CHADEMA si mchezo...........
 
CCM walikuwa wanafikiri itawawia ngumu kwa CDM kufahamika vijijini kumbe huko ndio rahisi kuliko hata mjini sasa hivi CDM inasambaa kama moto wa petrol CCM hata vijijini wanashindwa kwenda kwa kuogopa kupopolewa na mawe wamebakia kubeba dhambi ya kuua na kuwakatakata kwa mapanga viongozi wa CDM lakini hiyo haitazuia kuchimba kaburi lao
 
CDM acheni kujifariji ninyi ni chama cha msimu ,,, CCm ni chama babu kubwa yenye tawi hadi maporini,,, Mfano mzuri enzi za mzee wa kiraracha ..... atawabomoa ZZZk halafu last MBOWEEEEEEEEEEEEEE
 
Hah kwa taarifa tu ushauri wa CCM kwa Chadema haukuwa wa kukurupuka, ulimaanisha tunafurahi wamefuata ushauri hata kama kuna mahali wameteleza....MTUNGI UUFINYANGE MWENYEWE UKUPE TABU KUUVUNJA UKITAKA? ITAKUWA MAAJABU SANA, UCHONGE MWENYEWE KINYAGO KISHA KIKUTISHE MPAKA UNA KIMBIA... CDM fikirini mara mbili njia mliyofuata.



CCM,ikiona inaikomoa na kuidhihaki CHADEMA,ilikiita chama hicho kikuu cha upinzani nchini-'chama cha msimu'.Ikawataka viongozi wa CHADEMA waimarishe chama chao hasa vijijini.CHADEMA wakasikia.Wakafanyia kazi.Sasa hivi hawashikiki.CCM wamebaki kuweweseka.Hapakaliki,hapaliki.CCM inazidi kudorora.Kama ni mgonjwa anaomba asali.

Inavyoenea CHADEMA ni zaidi ya kimbunga.Sasa ni mtaa kwa mtaa,kijiji kwa kijiji,kata kwa kata,tarafa kwa tarafa,wilaya kwa wilaya na Taifa kwa ....I see!.Mimi pia nimejikuta nipo ndani ila kadi tu ndio sina.Sikumbuki ni lini na ni vipi wamenipata hawa Makamanda.CHADEMA si mchezo...........
 
We Nnauye Jr huko ni kuweweseka. Tatizo lako unakuwa mnafiki kupindukia. Kuwa mkweli bwana. Mwanasiasa makini ni yule anayekuwa mkweli daima. Wewe ni kijana lkn bado umekumbatia kasumba za kizamani za kukwepa ukweli. Zama hizo zimekwisha. Kizazi hicho kimepita. Siasa hizo hazina mshiko kwa sasa. Huko ni kujipa matumaini yasiyokuwepo. Kama unaogopa kutoa ukweli basi kuwa kimya. Hiyo ndo inaweza kuwa busara ya kukulinda anglau.
 
Kweli NAPE unaweweseka brother. Yaani 3d unaanzisha mwenyewe then unachangia mwenyewe. Da jiangalie kaka proganda zako za kizamani siku hizi watu tunajua kusoma na kuandika.
 
Hah kwa taarifa tu ushauri wa CCM kwa Chadema haukuwa wa kukurupuka, ulimaanisha tunafurahi wamefuata ushauri hata kama kuna mahali wameteleza....MTUNGI UUFINYANGE MWENYEWE UKUPE TABU KUUVUNJA UKITAKA? ITAKUWA MAAJABU SANA, UCHONGE MWENYEWE KINYAGO KISHA KIKUTISHE MPAKA UNA KIMBIA... CDM fikirini mara mbili njia mliyofuata.

hivi wewe kwa nini huimbi taarabu..maana maneno yako ni mipasho tupu.....hivi CCJ inaendeleaje
 
Join Date : 14th September 2008
Posts : 288
Rep Power : 552
Likes Received296
Likes Given0
Hah kwa taarifa tu ushauri wa CCM kwa Chadema haukuwa wa kukurupuka, ulimaanisha tunafurahi wamefuata ushauri hata kama kuna mahali wameteleza....MTUNGI UUFINYANGE MWENYEWE UKUPE TABU KUUVUNJA UKITAKA? ITAKUWA MAAJABU SANA, UCHONGE MWENYEWE KINYAGO KISHA KIKUTISHE MPAKA UNA KIMBIA... CDM fikirini mara mbili njia mliyofuata.

Inavyoonekana Nnauye jr, una matatizo ya akili tena akili mgando! jitafakari umekuwa member wa JF kwa muda mrefu sasa lakini kila unalolisema humu ndani ni MPUMBA * MAPOVU + KIDUMBWENDUMBWE = MZOGA-CCM. Ndo maana hata jamaa zako hawajawahi kukuunga mkono japo kwa kukupa "LIKE". Shame on U!!!!!:israel:
 
Hah kwa taarifa tu ushauri wa CCM kwa Chadema haukuwa wa kukurupuka, ulimaanisha tunafurahi wamefuata ushauri hata kama kuna mahali wameteleza....MTUNGI UUFINYANGE MWENYEWE UKUPE TABU KUUVUNJA UKITAKA? ITAKUWA MAAJABU SANA, UCHONGE MWENYEWE KINYAGO KISHA KIKUTISHE MPAKA UNA KIMBIA... CDM fikirini mara mbili njia mliyofuata.
hivi wewe kijana mara ya mwisho kupima akili zako ilikua lini?hembu kacheki inawezekana uvuvuzela wako wa kujifanya unaponda magamba matatu wameshakuozesha akili na hujijui..kusoma huwezi hata kuona huoni????
 
Acheni kujifariji kama askari wa Saddam.
Hali ye ccm ni mbaya na inazidi kuwa mbaya.

Hah kwa taarifa tu ushauri wa CCM kwa Chadema haukuwa wa kukurupuka, ulimaanisha tunafurahi wamefuata ushauri hata kama kuna mahali wameteleza....MTUNGI UUFINYANGE MWENYEWE UKUPE TABU KUUVUNJA UKITAKA? ITAKUWA MAAJABU SANA, UCHONGE MWENYEWE KINYAGO KISHA KIKUTISHE MPAKA UNA KIMBIA... CDM fikirini mara mbili njia mliyofuata.
 
Hah kwa taarifa tu ushauri wa CCM kwa Chadema haukuwa wa kukurupuka, ulimaanisha tunafurahi wamefuata ushauri hata kama kuna mahali wameteleza....MTUNGI UUFINYANGE MWENYEWE UKUPE TABU KUUVUNJA UKITAKA? ITAKUWA MAAJABU SANA, UCHONGE MWENYEWE KINYAGO KISHA KIKUTISHE MPAKA UNA KIMBIA... CDM fikirini mara mbili njia mliyofuata.

Nilikuwa anagalau bado nafikiri wewe ni kijana makini napengine bado unajifunza na ungeweza kuwa kiongozi bora huko tuendako lakini kwa kauli yako hii nimekushusha sana, wewe kama kiongozi tena wa juu wa ccm hukupaswa kutoa kauli hii, yaani kwa kauli hii unadhirisha hujuma zote wafanyiwazo Chadema zinatoka kwenu, yaani umedhihirisha kitu kikubwa sana, siku nyingine fikiri kabla hujakurupuka.
 
Nape siamini,
Umeendelea kuuthibitishia umma pasipo shaka kuwa CCM mliifanya nchi hii kuwa ni personal property. Kwamba mnaweza kuivunja/kubomoa amani na umoja wa kitaifa mkipenda.....maana ndio mambo mnayojisifia (kimakosa) kuwa mliyajenga.

Nikutahadharishe kwa hizo mbinu na mikakati yenu michafu haitakuwa rahisi, na mtalipa gharama kubwa tu. Mark it!
 
Hah kwa taarifa tu ushauri wa CCM kwa Chadema haukuwa wa kukurupuka, ulimaanisha tunafurahi wamefuata ushauri hata kama kuna mahali wameteleza....MTUNGI UUFINYANGE MWENYEWE UKUPE TABU KUUVUNJA UKITAKA? ITAKUWA MAAJABU SANA, UCHONGE MWENYEWE KINYAGO KISHA KIKUTISHE MPAKA UNA KIMBIA... CDM fikirini mara mbili njia mliyofuata.

kama tu mwigulu naye alivyoilinganisha ccm na barcelona huku cdm akisema ni manyema fc kwenye uchaguzi wa arumeru mashariki.Na kweli ccm tuliuona ubarcelona wenu,ongezeni bidii kuichafua cdm lakini ukumbuke nyuki huwa hakumbatiwi...
 
Hah kwa taarifa tu ushauri wa CCM kwa Chadema haukuwa wa kukurupuka, ulimaanisha tunafurahi wamefuata ushauri hata kama kuna mahali wameteleza....MTUNGI UUFINYANGE MWENYEWE UKUPE TABU KUUVUNJA UKITAKA? ITAKUWA MAAJABU SANA, UCHONGE MWENYEWE KINYAGO KISHA KIKUTISHE MPAKA UNA KIMBIA... CDM fikirini mara mbili njia mliyofuata.
You sound like you're comfortable and pleased with the outcome of your advice to CDM, are you?
 
Hah kwa taarifa tu ushauri wa CCM kwa Chadema haukuwa wa kukurupuka, ulimaanisha tunafurahi wamefuata ushauri hata kama kuna mahali wameteleza....MTUNGI UUFINYANGE MWENYEWE UKUPE TABU KUUVUNJA UKITAKA? ITAKUWA MAAJABU SANA, UCHONGE MWENYEWE KINYAGO KISHA KIKUTISHE MPAKA UNA KIMBIA... CDM fikirini mara mbili njia mliyofuata.

Siku zote serekali ya ccm imepewa msaada wa kuendeleza vyama vya siasa nchini kwahiyo hawana ubavu wa kuvivunja,maana waliotoa msaada wao wanaangalia pia,usitudanganye kuwa una ubavu wa kuvivunja hivi vyungu maana vimeshakomaa na vimekuwa vigumu sana kiasi kwamba ili uvunje na wewe utaumia bro,Kinyago unaweza ukakichonga mwenyewe lakini ukikiweka mahali pabaya ukakiangukia kitakujeruhi na huna cha kukifanya zaidi ya kukitupa.tetetete.
 
Hah kwa taarifa tu ushauri wa CCM kwa Chadema haukuwa wa kukurupuka, ulimaanisha tunafurahi wamefuata ushauri hata kama kuna mahali wameteleza....MTUNGI UUFINYANGE MWENYEWE UKUPE TABU KUUVUNJA UKITAKA? ITAKUWA MAAJABU SANA, UCHONGE MWENYEWE KINYAGO KISHA KIKUTISHE MPAKA UNA KIMBIA... CDM fikirini mara mbili njia mliyofuata.

Hivi ni wewe Nape wa CCM au kuna mtu anatumia ID yako, mbona hoja zako hazilingani na wadhifa wako. Yaani umekuja kimipasho zaidi kuliko kujenga hoja.
 
Mkuu ni kweli unayo yasema moto wa chadema unakasi ya ajabu ambayo hata ccm hawakutegemea maana jana nilienda kutafuta chakula cha usiku mida ya saa 3 bar nikamkuta mama mmoja kajifunga bendera ya chadema mabegani akiandikisha wanachama wapya nakutoa kadi kwa tshs.1,500.kwa mara ya kwanza nilizani ni mawakara wa tigo lakini niliposogea nikakuta ni mwana mama wachadema.nawapongeza kwakasi hiyo hakuna kulala kweli mpaka kieleweke kweli KAHAMA CHADEMA MMEJIPANGA KWA KASI YA MABADILIKO.
 
Hah kwa taarifa tu ushauri wa CCM kwa Chadema haukuwa wa kukurupuka, ulimaanisha tunafurahi wamefuata ushauri hata kama kuna mahali wameteleza....MTUNGI UUFINYANGE MWENYEWE UKUPE TABU KUUVUNJA UKITAKA? ITAKUWA MAAJABU SANA, UCHONGE MWENYEWE KINYAGO KISHA KIKUTISHE MPAKA UNA KIMBIA... CDM fikirini mara mbili njia mliyofuata.

Nape, Ni vema kabla ya kuandika fikiri impact ya sentense zako. Tanzania sio mali ya CCM na nchi ni ya wantanzania wote. CCM haina mamlaka ya kuendelea kuongoza nchi kama wananchi hawahiitaji!! Na kumbuka wenye nchi hii ni pamoja na wanaJF.

Kwa umri wako na utashi ulionao hukutakiwa kuandika sentense za namna hii. Kumbuka kwamba bado una safari ndefu katika umri wako na katika siasa za Tanzania. Ni vema kutulia na kusoma alama za nyakati na usikurupuke. Shame on you!!
 
Back
Top Bottom