Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,332
Wakati wa utawala wa awamu ya NNE, nilipojiunga NCCR Mageuzi nabaadae CCM, CCM walipotaka kujua historia yangu kichama na utendaji wangu ndani ya chadema, viongozi wa CHADEMA walitoa taarifa za uongo na kunikana kuwa hawanijui.
Leo Lema yuko gerezani, nawanaoongoza kutoa siri za lema ni wafuasi wa CHADEMA, tena wengine wakimponda. Huwezi amini sasa wanaona heri Focus kuliko Lema laana itawatafuna sana kwa kuwakana watu mliofanya nao kazi kisa mnaogopa watapewa vyeo. Vita vya panzi furaha ya watawala.
Ndio maana hata swala la Ben linaonekana kama ni propaganda kutokana na tabia ya kuwakana viongozi wenu wanao hama chama chenu. Mbona CCM hawakumkana Lowassa, Sumaye wala Mgeja kisa wamekuja CHADEMA? Badilikeni wadogo zangu, sisi ndio tumewapa maisha, Leo mnatukana na kutuzalilisha. Kazi kwenu.@Deogratius Kisandu
Leo Lema yuko gerezani, nawanaoongoza kutoa siri za lema ni wafuasi wa CHADEMA, tena wengine wakimponda. Huwezi amini sasa wanaona heri Focus kuliko Lema laana itawatafuna sana kwa kuwakana watu mliofanya nao kazi kisa mnaogopa watapewa vyeo. Vita vya panzi furaha ya watawala.
Ndio maana hata swala la Ben linaonekana kama ni propaganda kutokana na tabia ya kuwakana viongozi wenu wanao hama chama chenu. Mbona CCM hawakumkana Lowassa, Sumaye wala Mgeja kisa wamekuja CHADEMA? Badilikeni wadogo zangu, sisi ndio tumewapa maisha, Leo mnatukana na kutuzalilisha. Kazi kwenu.@Deogratius Kisandu