CHADEMA imekosa Katibu Mkuu Makini

Mwana ccm wewe ni poyoyo kabisa siasi kipindi Cha kikwete na kipindi Cha maghu ni tofauti,kipindi Cha slaa kulikuwepo na Uhuru wa kujieleza na kufanya mikutano,pia vyombo vya habari vilikuwa free na bunge pia lilikuwa free na lenye nguvu,kwa serikali ya Sasa hakuna Uhuru sasa ukimlinganisha mashinji au mnyika na slaa unakosea Sana,huyo slaa unaye msema kwa serikali hii unafikiri siasa angezifanyia wapi?Lisu ni shahidi alijaribu kujititimua dunia inajua Nini kilimkuta,kwa Sasa nivigumu kupata kiongozi shupavu hata ndani ya ccm kutokana na nature ya utawala wa sasa,unamfahamu nape wa kipindai Cha kikwete? unaweza mlinganisha na polepole?au unaweza mfananiaha Dr bashiru na kinana?polepole na bashiru tunawaona kwenye mikutano ya ndani ya chama jamii haiwajui tofauti na kinana na nape walijenga chama kijiji kwa Kijiji,the same kwa slaa alipiga guuuuu Kijiji kwa Kijiji.
We kweli poyoyo wa mwisho..

Hakuna uhuru wa kujieleza wakati kila siku kina mdee wanaieleza huko tweeter na kwenye majimbo yao mpaka wanatukana.

Hakuna uhuru wa kujieleza wakati kina Heche wanagonga mikutano ya hadhara kanda ya ziwa huko?

Hakuna uhuru wa kujieleza au kufanya mikusanyiko ya kisiasa wakati Aikael mara ya mwisho alifanya mkutano wa hadhara kule HAI akazomewa??


Unataka uhuru gani????

Kina mdude nyagali wana uhuru mpaka wanatukana.
 
We kweli poyoyo wa mwisho..

Hakuna uhuru wa kujieleza wakati kila siku kina mdee wanaieleza huko tweeter na kwenye majimbo yao mpaka wanatukana.

Hakuna uhuru wa kujieleza wakati kina Heche wanagonga mikutano ya hadhara kanda ya ziwa huko?

Hakuna uhuru wa kujieleza au kufanya mikusanyiko ya kisiasa wakati Aikael mara ya mwisho alifanya mkutano wa hadhara kule HAI akazomewa??


Unataka uhuru gani????

Kina mdude nyagali wana uhuru mpaka wanatukana.
Wewe ni kuduuu nyamazaaa
 
Mkishaongea pumba zenu muende mkabadilishe katibu mkuu wa chama..

Msije mkapata kipigo cha mbwa koko mwezi oktoba.
 
Pale palimfaa John Heche...acha kujifanya hujui ukweli.


Mnyika kujiongoza mwenyewe shida....
Chadema wote wanafaa kokote ndio maana wote wanaonunuliwa wanapewa vyeo huko na wanapewa kipaumbele cha kuteuliwa ubunge kwa sababu nyie walamba makalio hamna akili kabisa mnasifia kila kitu
 
Chadema wote wanafaa kokote ndio maana wote wanaonunuliwa wanapewa vyeo huko na wanapewa kipaumbele cha kuteuliwa ubunge kwa sababu nyie walamba makalio hamna akili kabisa mnasifia kila kitu
Walamba makalio ndo wanawaongoza mpaka kesho.

Wanawapangia askari barabarani, wanawalinda usiku mfanye mapenzi na vimada wenu...
 
Back
Top Bottom