MTK
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 8,927
- 6,850
You are partially right; lakini haitoshi kusema achana naye Nape ndivyo alivyo, maneno yanaumba; yasipokanushwa yanaweza kuwafanya raia wakaamini uvuvuzela wa Nape;
Tufike mahali afundwe kwa njia ya mkono wa sheria kwamba there will be consequences if he continues to allow his big mouth to go off like a loose canon; shoot first take aim later! nops!
Chama makini hakiwezi kufumbia macho tabia za namna hiyo, let the law take its own cause! ni kwa njia hiyo tu umma utafahamu tofauti baina ya mchele na chuya.
Tufike mahali afundwe kwa njia ya mkono wa sheria kwamba there will be consequences if he continues to allow his big mouth to go off like a loose canon; shoot first take aim later! nops!
Chama makini hakiwezi kufumbia macho tabia za namna hiyo, let the law take its own cause! ni kwa njia hiyo tu umma utafahamu tofauti baina ya mchele na chuya.