CCM inafanya kila inalo wezekana kurudisha majimbo haya mawili Nyamagana na Arusha mjini, je CHADEMA wana mikakati gani sababu CCM imeshaanza mikakati yao.Sasa wanapita sehemu nyingi tu wanatoa pesa kwenye saccos mbalimbali na kumwaga sumu mbaya ya maneno na pesa.