KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Katika uchaguzi uliopita mwaka 2010,ccm walieneza propaganda mbaya sana kwa waislam juu ya chadema,wakidai chadema ni chama cha wakristo!!propaganda hiyo japo chadema walionekana kuipuuza lakini ilikua imewaingia vibaya sana waislam kutokana na jinsi ilivyoandaliwa "kisayansi" na makada wa ccm kwa msaada wa usalama wa taifa,waislam wengi wakaichukia chadema hawkutaka hata kusikiliza sera zake wakawa wameenda moja kwa moja kwa conclusion kwamba cdm ni cha "kanisa" wakasahau kwamba walikuwa ni hao hao ccm miaka michache iliyopita walipoiona cuf ina nguvu walipita kila mtaa na kuoneza propaganda kwa wakristo kwamba cuf ni chama cha waislam(haikua kweli)!!!
Swali langu kwa chadema baada ya uchaguzi wa 2010 kuisha wamefanya jitihada gani mpaka sasa kujivua hilo "gamba" ukristo walilovalishwa kwa hila na ccm ili wapoteze umaarufu kwa waislam??kiufupi propaganda hiyo ndio umekuwa mtaji wa ccm kila uchaguzi unapokaribia toka ,mfumo wa vyama vingi uanze,wamekua wakitumia ujanja huu wa kuhakikisha waislam na wakristo kwa umoja wao hawaungani na kuwa kitu kimoja nje ya ccm!!wanajua wakiiruhusu hiyo wanaondoka madarakani,lakini bahati mbaya sana viongozi wa upinzani hapa nawalenga cdm kwa kuwa ndio wako juukwa sasa bado wamelala usingizi kuhusu hili,wanaona kama ni kitu kidogo!kiufupi bandugu ili uingie ikulu unahitaji kura za waislam na wakristo kwa pamoja,hao ndio majority na ccm wanashindia hapo amkeni chadema,tafuteni strategy ya kuzipata kura za waislam,ni muhimu!
Swali langu kwa chadema baada ya uchaguzi wa 2010 kuisha wamefanya jitihada gani mpaka sasa kujivua hilo "gamba" ukristo walilovalishwa kwa hila na ccm ili wapoteze umaarufu kwa waislam??kiufupi propaganda hiyo ndio umekuwa mtaji wa ccm kila uchaguzi unapokaribia toka ,mfumo wa vyama vingi uanze,wamekua wakitumia ujanja huu wa kuhakikisha waislam na wakristo kwa umoja wao hawaungani na kuwa kitu kimoja nje ya ccm!!wanajua wakiiruhusu hiyo wanaondoka madarakani,lakini bahati mbaya sana viongozi wa upinzani hapa nawalenga cdm kwa kuwa ndio wako juukwa sasa bado wamelala usingizi kuhusu hili,wanaona kama ni kitu kidogo!kiufupi bandugu ili uingie ikulu unahitaji kura za waislam na wakristo kwa pamoja,hao ndio majority na ccm wanashindia hapo amkeni chadema,tafuteni strategy ya kuzipata kura za waislam,ni muhimu!