Wadau kuna hoja kwamba nchi kuingia kwenye mgao ni sehemu ya ushindi wa CHADEMA dhidi ya CCM ambao wamefanikiwa kuisambaratisha CCM na kuifanya kipoteze muelekeo kiasi cha kusababisha CCM kugawanyika na kushambuliana wao kwa wao na kisha kushindwa kufanya maamuzi yenye maslahi kwa taifa hadi kufikia hali hiii ya mgao. imekaaje hii?