Chadema imegeuka kuwa Mzigo

Makusudically

JF-Expert Member
Feb 3, 2014
2,201
1,232
Kwa hakika enzi ya Dr Slaa itakumbukwa daima ndani ya chama hiki ambacho sasa hivi kimegeuka kuwa mzigo na chukizo kwa Watanzania hususan ni kuendesha siasa za kikabila na Udini, mfano mgombea Urais wa 2015 Fisadi Lowasa kutangaza hadharani kuwa Walutheli nao wapate Rais ni zamu yao, huu ni udini hatari sana, pia kudai Patrobas Katambi kahamia CCM kwa sababu tu M/kiti wa CCM Taifa ni msukuma, huu ni ukabila hatari mno. Chadema ni chukizo kubwa sana.
 
Kila siku wanachama wanahama
Kila siku wanahangaika na matukio badala ya Sera
Kila siku wanaendesha vikao mitandaoni badala ya jukwaani
Kila siku wanarusha matusi mitandaoni
Kila siku ni kusubilimkono utadondoka kama afanyavyo fisi.
 
mkuu kasema hataki siasa hadi 2020 ilo jukwaa unalosema wakafanye siasa ni lipi zaidi ya mtandaoni.

kweli wanachama wanahama ila wengi ni wahamiaji pia ko ni vema ungesema wanarudi nyumbani (tena sio kwa kupenda ni kubanwa mbavu kwenye ulaji wao)
 
Kila siku wanachama wanahama
Kila siku wanahangaika na matukio badala ya Sera
Kila siku wanaendesha vikao mitandaoni badala ya jukwaani
Kila siku wanarusha matusi mitandaoni
Kila siku ni kusubilimkono utadondoka kama afanyavyo fisi.
Hostels ndio talk of town.
 
Kila siku wanachama wanahama
Kila siku wanahangaika na matukio badala ya Sera
Kila siku wanaendesha vikao mitandaoni badala ya jukwaani
Kila siku wanarusha matusi mitandaoni
Kila siku ni kusubilimkono utadondoka kama afanyavyo fisi.
Tena kwa sasa hivi haya machadema yameacha kila kitu yamejazana yanajadili nyufa za hosteli. Baada ya hapo yatahamia kwingine kama kawaida yao.
 
Eti mzigo, umeubeba wewe.kaa huko na akili zako za kidwanzi za fisiemu. Nyambafuu.
 
Kwa hakika enzi ya Dr Slaa itakumbukwa daima ndani ya chama hiki ambacho sasa hivi kimegeuka kuwa mzigo na chukizo kwa Watanzania hususan ni kuendesha siasa za kikabila na Udini, mfano mgombea Urais wa 2015 Fisadi Lowasa kutangaza hadharani kuwa Walutheli nao wapate Rais ni zamu yao, huu ni udini hatari sana, pia kudai Patrobas Katambi kahamia CCM kwa sababu tu M/kiti wa CCM Taifa ni msukuma, huu ni ukabila hatari mno. Chadema ni chukizo kubwa sana.
Hamna kitu hapo, amini nakwambia pamoja na makosa yao yote hayo, wakipewa uhuru wa kufanya siasa kama wenzao wa CCM hawatakuwa kama walivyo. Hadhira ni ile ile ndugu.
 
Kwa hakika enzi ya Dr Slaa itakumbukwa daima ndani ya chama hiki ambacho sasa hivi kimegeuka kuwa mzigo na chukizo kwa Watanzania hususan ni kuendesha siasa za kikabila na Udini, mfano mgombea Urais wa 2015 Fisadi Lowasa kutangaza hadharani kuwa Walutheli nao wapate Rais ni zamu yao, huu ni udini hatari sana, pia kudai Patrobas Katambi kahamia CCM kwa sababu tu M/kiti wa CCM Taifa ni msukuma, huu ni ukabila hatari mno. Chadema ni chukizo kubwa sana.
We mjinga sana....cdm imekuwa mzigo kwa nani? Kama mzigo kwanini uchaguzi wa juzi militumia mitutu? Kwanini mmezuia mikutano? Kwanini manatia watu risasi? Kwanini mnanunua watu? You're very stupid you woman

Kipimo kikikuwa uchaguzi wa juzi ndo mngejua mbwa nyie
 
Kila siku wanachama wanahama
Kila siku wanahangaika na matukio badala ya Sera
Kila siku wanaendesha vikao mitandaoni badala ya jukwaani
Kila siku wanarusha matusi mitandaoni
Kila siku ni kusubilimkono utadondoka kama afanyavyo fisi.
Mbona wewe ni mzigo lkn baba yako hajakutolea radhi, semea risasi basi za Lisu
 
Kwa hakika enzi ya Dr Slaa itakumbukwa daima ndani ya chama hiki ambacho sasa hivi kimegeuka kuwa mzigo na chukizo kwa Watanzania hususan ni kuendesha siasa za kikabila na Udini, mfano mgombea Urais wa 2015 Fisadi Lowasa kutangaza hadharani kuwa Walutheli nao wapate Rais ni zamu yao, huu ni udini hatari sana, pia kudai Patrobas Katambi kahamia CCM kwa sababu tu M/kiti wa CCM Taifa ni msukuma, huu ni ukabila hatari mno. Chadema ni chukizo kubwa sana.
magu amepiga hela hostel UDSm, muda si mrefu tutakuwa na msiba wa kitaifa
 
Back
Top Bottom