Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,062
- 731
kama hapa Jamvini ndo sehemu ya GT then thinkers wenyewe hawaonyeshi wala kutoa jibu ya nini kifanyike kwa upinzani kushika nchi then CCM itaongoza milele....Anyway Swali nalirudisha kwa mwenye topic MKJJ.
"Kifanyike nini ili upatikane uongozi mbadala?"
Kitu fulani Kimekwisha fanyika. kwamfano mdogo tu,
Mtu 5 bungeni aliwapigisha magoti CCM mpaka PM kibarua kikaota Nyas Baraza la mwaziri likavunjwa.
Mkitaka Jambo lishukalo kutoka mbinguni itabidi muuache wosia kwa vilembwe wenu kwani si leo wala kesho.