Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
kama kuna chama ambacho kina hali mbaya kisiasa hivi sasa ni CHADEMA . Kama ni mgonjwa atakuwa amelala kwenye machela na anapelekwa Icu.
Hivi kipindi kama hiki ni cha kutafuta huruma kwa wananchi kwa kutumia picha?
Hata kama mwanachama wenu alipigwa na wana CCM tena mwaka 2014 kwa nini muanze kutafuta huruma kwa wananchi?
Hakuna mtanzania anayeweza kuwahurumia. Moja mmeshachafuka mbeke ya jamii. Kitendo cha kupata kashfa ya kutumia vibaya ruzuku na pesa za wabunge kimesha wachafua.
Mbali na hilo kama chama makini ilitakiwa muanze kujipanga kwa ajili ya uchaguzi. Hatusikii hata habari ya ilani ya uchaguzi.
Maswaiba wenu Act wanajitutumua japo hawatatoboa. Mnaweka picha za mtu wenu akipigwa inasaidia nini? Watu hawawataki. Jaribuni kuwabembeleza sio kutaka kuhurumiwa
Hivi kipindi kama hiki ni cha kutafuta huruma kwa wananchi kwa kutumia picha?
Hata kama mwanachama wenu alipigwa na wana CCM tena mwaka 2014 kwa nini muanze kutafuta huruma kwa wananchi?
Hakuna mtanzania anayeweza kuwahurumia. Moja mmeshachafuka mbeke ya jamii. Kitendo cha kupata kashfa ya kutumia vibaya ruzuku na pesa za wabunge kimesha wachafua.
Mbali na hilo kama chama makini ilitakiwa muanze kujipanga kwa ajili ya uchaguzi. Hatusikii hata habari ya ilani ya uchaguzi.
Maswaiba wenu Act wanajitutumua japo hawatatoboa. Mnaweka picha za mtu wenu akipigwa inasaidia nini? Watu hawawataki. Jaribuni kuwabembeleza sio kutaka kuhurumiwa