CHADEMA ilikuwa na uwezo wa kupata Wabunge wengi ila kauli tata za Tundu Lissu zimewagharimu

Sarakasi zote zinazotokea ndani ya CHADEMA sababu kubwa ni Tundu Lissu. Chama hiki pendwa kilikuwa na uwezo wa kupata hata wabunge 150 wa kuchaguliwa lakini kutokana na kuweka mgombea urais wa ovyo ambaye ndiye aliyewaharibia hata kwenye majimbo kutokana na kauli zake tata na za ovyo.

Huwezi kuwaambia wapiga kura utaweka rehani rasilimali zao ili upate misaada kutoka nje halafu waje wakupigie kura. Kipindi hiki cha Magufuli cha miaka 5 Wananchi wengi wameamka kuhusu rasilimali zao kwa hiyo wakisikia mengine ya tofauti hawakuelewi.

Kuna watu 'decent' kama akina Mbowe na Nyalandu wangeweza kukipa chama hiki heshima kama mmoja wao angepewa kijiti cha kugombea Urais yote haya yasingetoke sasa hivi.

Hata kama wasingepata urais lakini chama kingevuna wabunge wengi. Sasa jitu limetoka huko lilikotokea mkalikabidhi bendera yenu matokeo ndiyo haya.

Tuhesabu tu maumivu.
Hivi unawezaje kuandika upumbavu kama huu? Wakati mliiba kura mpaka wenyewe mkaona aibu
Wekeni tume huru muone ccm kama haijaondoka madarakani
 
Ccm mnatamaa ya uongozi mpanga kwenye wenyeviti wa mitaa. Wananchi tukasusa kupiga kura mkajitangaza kupita bila kupingwa
 
Mbona hoja yake iko wazi tu: chadema mliweka zezeta kugombea urais ndo maana mkaangukia pua kwa kishindo. Simpo
Huyu ndio zezeta a.k.a zuzumagic, anatumia mabilioni kuwaondoa wabunge wa upinzani bungeni. Anagundua kuwa bunge litakosa trillion mbili, anatumia mabilioni mengine kuwarudisha wapinzani bungeni kwa sarakasi za hovyo kabisa.
Hivi mnadhani wahisani hawajaona utopolo unaofanywa na Mwenyekiti wenu?
His Excellence Tundu Lissu hakueleweka vyema 2016 aliposema tuna mtu wa ajabu kabisa, Sasa mnajionea wenyewe kwa macho yenu
 
Sarakasi zote zinazotokea ndani ya CHADEMA sababu kubwa ni Tundu Lissu. Chama hiki pendwa kilikuwa na uwezo wa kupata hata wabunge 150 wa kuchaguliwa lakini kutokana na kuweka mgombea urais wa ovyo ambaye ndiye aliyewaharibia hata kwenye majimbo kutokana na kauli zake tata na za ovyo.

Huwezi kuwaambia wapiga kura utaweka rehani rasilimali zao ili upate misaada kutoka nje halafu waje wakupigie kura. Kipindi hiki cha Magufuli cha miaka 5 Wananchi wengi wameamka kuhusu rasilimali zao kwa hiyo wakisikia mengine ya tofauti hawakuelewi.

Kuna watu 'decent' kama akina Mbowe na Nyalandu wangeweza kukipa chama hiki heshima kama mmoja wao angepewa kijiti cha kugombea Urais yote haya yasingetoke sasa hivi.

Hata kama wasingepata urais lakini chama kingevuna wabunge wengi. Sasa jitu limetoka huko lilikotokea mkalikabidhi bendera yenu matokeo ndiyo haya.

Tuhesabu tu maumivu.
Nimeshia njiani kusoma utopolo wako wewe mwenye kichwa bandia kweli unasahau kweli hukumbuki hata uchaguzi wa serekali za mitaa lisu alikuwa ameisha gombea nini hali hii imepangwa mfano nikulipe mimi alafu umtangaze mpinzani pia hata mkipigia kura upande ule sisim ndio itaunda serekali bado unamsingizia lisu mm ni ccm lakini kuwakwangu ccm siosababu yakutokusema ukweli kama wewe
 
Na aliyesema kauliz zifuatazo unamuweka kundi lipi?

1. Nikulipe mshahara, nikupatie gari na nyumba, Kisha umtangaze mpinzani, hiiiiiii.
2. Nataka kufikia mwaka 2020 upinzani uwe umefutika.

Turudi nyuma mwaka mmoja, mwaka 2019 upipofanyika uchaguzi wa serikali za mitaa, uchaguzi uliharibika kwa kuwa Tundu Lisu aligombea?
Na vipi uchaguzi wa marudio kwa majimbo Kama Kinondoni, mgombea alikuwa Lisu.

Bila shaka senzighe Ni certified IDIOT.
Wakati mwingine nafikiria kuwa watu hawaekewi upinzani na nia ya upinzani. Nitaanza mfano mdogo tu. Tegemeo na ombi kubwa la Simba (chama cha mpira) ni kuhakikisha Yanga haiendi mbali. Tegemeo na ombi kubwa la Yanga ni kuhakikisha Simba haiendi mbali. Yanga hata isipochukuwa kombe la nchii ikiifunga Simba washabiki wake huridhika na hivyo hivyo ndivyo ilivyo kwa simba. Ili Simba au Yanga kushinda ni lazima kuwatafuta wachezaji wazuri na wawe naye kocha mahiri. Katika hili hakuna mabishano.
Vyama vya siasa navyo vinatakiwa kuwa na uangalifu katika kuajiri kocha (na wasaidizi wake) nikiwa na maana uongozi na kutafuta wachezaji wazuri wa uanjani nikiwa na maana ya wagombea. Kila mara tunasikia Simba na Yanga wananyang'anyana wachezeji. Nia kubwa ya hili ni kudhoofishana. yaani ukiwachukuwa wachezaji mahiri unaidhoofisha timu maana inachukuwa muda kupata wengine.
Sisi tunashindwa kutambuwa kuwa siasa TZ haiendi na itikadi saana. Ukiangalia katika kampeni yale wanayotaka kufanya CHADEMA/upinzani ndiyo yaleyale. Hakuna chama chenye itikadi ambayo inauzika kwa wananchi, na wakaona hii ndiyo itikadi nzuri. Wote utasikia visima, barabara, shule, etc. Upinzani kwa mfano unasema elimu yetu imeanguka na sisi tutaiimarisha. Ili kuimarisha itabidi tuangalie bajeti yetu ili kuona tunguze nini na tuongeze wapi. Inabidi tuangalie je uwezo na mzigo wa elimu bure tunauweza? Lakini upinzani umeogopa kutoa ukweli, kwa vile unajuwa elimu bure inakubalika, na huwezi ukawa na elimu bure na uwezo wa kujenga shule nzuri, kuajiri walimu n.k. Sasa kama upunzani unaogopa kutetea itikadi yao hata kama wanajuwa watabezwa, basi ni sawa na kutokuwa na itikadi.
Upinzani siku zote umeboronga katika kuchaguwa wachezaji, hasa kapteni wa wachezaji (mgombea wa uraisi). Upinzani hasa CHADEMA wamekuwa wepesi wa kutumia hulka kuteua mgombea uraisi. Wameshindwa kujenga watu wao, wamekuwa ni wa kuokoteza waganga njaa. Ilikuwa ni makosa kutomteua Dr. Slaa kugombea Uraisi. Dr. Slaa alikuwa anakubalika kitaifa, lakini kukubalika kwake kulikuwa ni hatari kwa Mbowe. Matokeo yake wakamkaribisha Lowassa ambaye kawakimbia. Pia walijikuta na tatizo pale walipotaka kulazimisha ...... kugombea uongozi wa Ji,mbo la Mashariki. Wananchi walikuwa na busara kumchaguwa mwenzao kuliko mjaleo.
Dr. Slaa kaondoka, Kabwe kaondoka, sasa safu nzima ya wakina mama wameondoka, lakini hapo pote CHADEMA haijajuwa namna ya kuwashiki;ia wale wanakiimarisha chama. Ukija juu unakatwa kichwa. Kwenye hili mkoa wa Mara ulikuwa na watu wenye kuiinua ajenda ya CHADEMA, lakini sasa wote wameondolewa, na mwingine inasemekana aliuwawa na dereva aliyetumwa na chama, kwa sababu alikuwa tishio kwa mkuu.
 
Bado naamini lissu ni mgonbea wa hivyo kabisa kuwahi kutolewa na upinzani
Nilipokua nikisema uchaguzi utakuwa mwepesii kwa ccm,watu hawakuelewa
Lissu alikua anaomba kura kwa kuponda barabara,hospitali na madaraja,kosa kubwa sana Hilo kiufundi,lakini nyumbu hawaelewi
 
Wakati mwingine nafikiria kuwa watu hawaekewi upinzani na nia ya upinzani. Nitaanza mfano mdogo tu. Tegemeo na ombi kubwa la Simba (chama cha mpira) ni kuhakikisha Yanga haiendi mbali. Tegemeo na ombi kubwa la Yanga ni kuhakikisha Simba haiendi mbali. Yanga hata isipochukuwa kombe la nchii ikiifunga Simba washabiki wake huridhika na hivyo hivyo ndivyo ilivyo kwa simba. Ili Simba au Yanga kushinda ni lazima kuwatafuta wachezaji wazuri na wawe naye kocha mahiri. Katika hili hakuna mabishano.
Vyama vya siasa navyo vinatakiwa kuwa na uangalifu katika kuajiri kocha (na wasaidizi wake) nikiwa na maana uongozi na kutafuta wachezaji wazuri wa uanjani nikiwa na maana ya wagombea. Kila mara tunasikia Simba na Yanga wananyang'anyana wachezeji. Nia kubwa ya hili ni kudhoofishana. yaani ukiwachukuwa wachezaji mahiri unaidhoofisha timu maana inachukuwa muda kupata wengine.
Sisi tunashindwa kutambuwa kuwa siasa TZ haiendi na itikadi saana. Ukiangalia katika kampeni yale wanayotaka kufanya CHADEMA/upinzani ndiyo yaleyale. Hakuna chama chenye itikadi ambayo inauzika kwa wananchi, na wakaona hii ndiyo itikadi nzuri. Wote utasikia visima, barabara, shule, etc. Upinzani kwa mfano unasema elimu yetu imeanguka na sisi tutaiimarisha. Ili kuimarisha itabidi tuangalie bajeti yetu ili kuona tunguze nini na tuongeze wapi. Inabidi tuangalie je uwezo na mzigo wa elimu bure tunauweza? Lakini upinzani umeogopa kutoa ukweli, kwa vile unajuwa elimu bure inakubalika, na huwezi ukawa na elimu bure na uwezo wa kujenga shule nzuri, kuajiri walimu n.k. Sasa kama upunzani unaogopa kutetea itikadi yao hata kama wanajuwa watabezwa, basi ni sawa na kutokuwa na itikadi.
Upinzani siku zote umeboronga katika kuchaguwa wachezaji, hasa kapteni wa wachezaji (mgombea wa uraisi). Upinzani hasa CHADEMA wamekuwa wepesi wa kutumia hulka kuteua mgombea uraisi. Wameshindwa kujenga watu wao, wamekuwa ni wa kuokoteza waganga njaa. Ilikuwa ni makosa kutomteua Dr. Slaa kugombea Uraisi. Dr. Slaa alikuwa anakubalika kitaifa, lakini kukubalika kwake kulikuwa ni hatari kwa Mbowe. Matokeo yake wakamkaribisha Lowassa ambaye kawakimbia. Pia walijikuta na tatizo pale walipotaka kulazimisha ...... kugombea uongozi wa Ji,mbo la Mashariki. Wananchi walikuwa na busara kumchaguwa mwenzao kuliko mjaleo.
Dr. Slaa kaondoka, Kabwe kaondoka, sasa safu nzima ya wakina mama wameondoka, lakini hapo pote CHADEMA haijajuwa namna ya kuwashiki;ia wale wanakiimarisha chama. Ukija juu unakatwa kichwa. Kwenye hili mkoa wa Mara ulikuwa na watu wenye kuiinua ajenda ya CHADEMA, lakini sasa wote wameondolewa, na mwingine inasemekana aliuwawa na dereva aliyetumwa na chama, kwa sababu alikuwa tishio kwa mkuu.
Mbona unaandika kama darasa la pili?
 
Sarakasi zote zinazotokea ndani ya CHADEMA sababu kubwa ni Tundu Lissu. Chama hiki pendwa kilikuwa na uwezo wa kupata hata wabunge 150 wa kuchaguliwa lakini kutokana na kuweka mgombea urais wa ovyo ambaye ndiye aliyewaharibia hata kwenye majimbo kutokana na kauli zake tata na za ovyo.

Huwezi kuwaambia wapiga kura utaweka rehani rasilimali zao ili upate misaada kutoka nje halafu waje wakupigie kura. Kipindi hiki cha Magufuli cha miaka 5 Wananchi wengi wameamka kuhusu rasilimali zao kwa hiyo wakisikia mengine ya tofauti hawakuelewi.

Kuna watu 'decent' kama akina Mbowe na Nyalandu wangeweza kukipa chama hiki heshima kama mmoja wao angepewa kijiti cha kugombea Urais yote haya yasingetoke sasa hivi.

Hata kama wasingepata urais lakini chama kingevuna wabunge wengi. Sasa mtu ametoka huko alikotokea mkalikabidhi bendera yenu matokeo ndiyo haya.

Tuhesabu tu maumivu.
Hakuna mtu wakulaumiwa kwa jambo hili tayari ilikuwa ni mkakati wa ccm muda mrefu kuwaondoa chadema wote wasirudi bungeni
Kiufupi tu hakukuwa na uchaguzi
 
Sarakasi zote zinazotokea ndani ya CHADEMA sababu kubwa ni Tundu Lissu. Chama hiki pendwa kilikuwa na uwezo wa kupata hata wabunge 150 wa kuchaguliwa lakini kutokana na kuweka mgombea urais wa ovyo ambaye ndiye aliyewaharibia hata kwenye majimbo kutokana na kauli zake tata na za ovyo.

Huwezi kuwaambia wapiga kura utaweka rehani rasilimali zao ili upate misaada kutoka nje halafu waje wakupigie kura. Kipindi hiki cha Magufuli cha miaka 5 Wananchi wengi wameamka kuhusu rasilimali zao kwa hiyo wakisikia mengine ya tofauti hawakuelewi.

Kuna watu 'decent' kama akina Mbowe na Nyalandu wangeweza kukipa chama hiki heshima kama mmoja wao angepewa kijiti cha kugombea Urais yote haya yasingetoke sasa hivi.

Hata kama wasingepata urais lakini chama kingevuna wabunge wengi. Sasa mtu ametoka huko alikotokea mkalikabidhi bendera yenu matokeo ndiyo haya.

Tuhesabu tu maumivu.
Lilikuwa ni kosa kumpa bendera mtu wa kuja kama mtalii. Jukwaa alilitumia hovyo. Tumejifunza mengi sana
 
Sarakasi zote zinazotokea ndani ya CHADEMA sababu kubwa ni Tundu Lissu. Chama hiki pendwa kilikuwa na uwezo wa kupata hata wabunge 150 wa kuchaguliwa lakini kutokana na kuweka mgombea urais wa ovyo ambaye ndiye aliyewaharibia hata kwenye majimbo kutokana na kauli zake tata na za ovyo.

Huwezi kuwaambia wapiga kura utaweka rehani rasilimali zao ili upate misaada kutoka nje halafu waje wakupigie kura. Kipindi hiki cha Magufuli cha miaka 5 Wananchi wengi wameamka kuhusu rasilimali zao kwa hiyo wakisikia mengine ya tofauti hawakuelewi.

Kuna watu 'decent' kama akina Mbowe na Nyalandu wangeweza kukipa chama hiki heshima kama mmoja wao angepewa kijiti cha kugombea Urais yote haya yasingetoke sasa hivi.

Hata kama wasingepata urais lakini chama kingevuna wabunge wengi. Sasa mtu ametoka huko alikotokea mkalikabidhi bendera yenu matokeo ndiyo haya.

Tuhesabu tu maumivu.
Kwenye kiswahili,hatuna neno "ovyo", tuna "hovyo".
Kwa hilo tu,bandiko lako limekosa sifa ya kujadiliwa.
Huko Tanzania MEMKWA imefutwa!?
 
Lisu hakuja Tanzania kugombea alikuja tu kutafuta platform ya kumtukana Magufuli
 
Tunaoujua ukweli tumenyamaza
Acha wasioujua ukweli waendelee kuongea ~ mwenyekiti wa ccm mkoa flani
 
Tunaoujua ukweli tumenyamaza
Acha wasioujua ukweli waendelee kuongea ~ mwenyekiti wa ccm mkoa flani
 
Back
Top Bottom